Binti wa Kireno kaondoka na akili zangu kwenye foleni ya chakula cha bure Jijini Geneva (Switzerland)

Mkuu ni mji wa zamani kweli lakini bado unatambulika labda Kuna mambo umechanganya
 
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ™ŒπŸΌπŸ™ŒπŸΌ Aiseee
 
Kama Mama yake haumwi au kalazwa hospital, kama simu yake haijadumbukia kwenye maji, kama haendi kusuka, kama kesho sio birthday yake... na vingine vingi ambavyo husemwa na wadada was kibongo, basi tumeshampitisha kuwa shemeji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa nini mkuu?

Mengi tu mkuu.,
La kwanza unakula bata ughaibuni - hilo lilikua moja ya ndoto zangu kabisa za Maisha ila ndio hivo tena uzee unaninyemelea bado nikiwa bongo.

La pili kutafuna mtoto wa kireno - yani kiharaka haraka imenijia picha kama ile mitoto ya kibrazil kwenye porn ilionitesa sana kwa musterbation
 
Uko Geneva ya Mongo la Ndege eeh
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…