Binti wa kishua kanipenda ila nina mke na mtoto

Pole sana dadangu kajua kutuletea sadaka ya sisi free mason hapa home
 
Ila dalili niliziona tangu siku ile mkuu anyway nitafuata ushauri wako mkuu ahsante
 
Ushauri mzuri sana huu brother, sisi vijana tunavimambo fulani vinavyotushusha sana.
 
Nashukuru mkuu kwa mchango wako
 
Hili jamaa lishawaza ngono tayari! Wewe kukuambia mkutane tu tayari ushajua unaenda kutongozwa?

Eti unajuta kuoa mapema, aisee unasikitisha sana! Mpende mkeo acha uasherati ndugu.
Mkuu kwa umri nilikuwa nao najua anachomaanisha na jana nimetoka kuongea naye akinisisitiza ile ahadi yetu ndani ya weekend hii
 
Umeoana; eti "akaniambia leo sikutembea na akiba" hivi kumbe watu wanatembea na mafuta ya akiba wakati tenki ni empti!

Hii chai haina hata sukari
Mkuu wengi huweka mafuta kwenye Buti la gari Kule nyuma
 
Hamnaga demu wa kishua anaeishiwa mafuta kwenye gari we boya!

Taa ikiwaka tu ngoma inaingia TOTAL inapigwa wese mpaka mshale unagota kwenye Mswaki au Fadhili (F)! Demu anatembelea gari ambayo inawaka taa mpaka inazima unamuona wa kishua?
Mkuu elewa hivyo ndiyo ilishatokea
 
Nakazia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…