Binti wa kishua, mwenye shahada toka Marekani amejiajiri kuuza makande, dada zetu maskini wanachagua kazi


Kweli nimeamini "Writing is an art"
Mwandiko wa kizazi sana huo
 
Nonsense. Kwa vacancies gani zilizopo nchini?!!. Hadi tuseme ni vema kila graduate asimame kwenye career yake.

Acha kupotosha Umma mkuu, hiki kinachoendelea hivi sasa...kipo sahihi kabisa, kulingana na hali ilivyo hapa nchini. So acha vijana wapambane, kujikwamua kutoka kwenye poverty cycles zao.

Ningeona umeongea point, if ungekuja na hoja ya kupigania mitaala yetu ya elimu, ifanyiwe marekebisho. Ili taasisi zote za elimu nchini, ziweze kuleta product (graduates), ambao ni wanted katika societies. Kwakufanya hivyo tunaweza kutatua, tatizo la joblessness na hatimahe kila mtu atafanya kazi za career yake.

Ni hayo tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Safi sana....umeongea logic tupu.

Now naanza kuwa na taswira ya tofauti, juu ya mwanamama anayeitwa Kasie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
umekimbilia kuangalia faida na kulinganisha na watu wa kawaida ujapiga hesabu ya vifungashio,mchakato wa kuunga (viungo vyake)

jumlisha na ada ya elimu yake, anakuja fanya upumbavu alafu mna muunga mkono
Kwaio ulitaka alale ndani sio?!!! Embu stop it bhana.

Hivi atakama anatoa costs zake zote za uzalishaji, tu assume anabaki na laki 1 per day. Ni kiasi kidogo hiko kwa maisha ya sasa...?!!

Just think twice, ni watanzania wangapi wenye kipato cha namna hiyo per day?. Then utaona logic ya kile anachokifanya huyo binti wa watu. Binafsi namuunga mkono 100%, sioni mbaya....maana yeye anapigania maisha yake, ambayo yamekuwa shaped na mifumo mibovu ya nchi yetu.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Exactly.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Safi sana....umeongea logic tupu.

Now naanza kuwa na taswira ya tofauti, juu ya mwanamama anayeitwa Kasie

Sent using Jamii Forums mobile app


Hhahahahahaaa sio kweli, saa ingine Ddadii huwa ananiandikiaga vitu vya kujibu huku JF.

Mie nnayotoa kichwani kwangu ni Mahaba tuu, mengine chaliii heheheheee

Thanks by the way.
 
Hhahahahahaaa sio kweli, saa ingine Ddadii huwa ananiandikiaga vitu vya kujibu huku JF.

Mie nnayotoa kichwani kwangu ni Mahaba tuu, mengine chaliii heheheheee

Thanks by the way.
Ahahhhaah hapana sio kweli. Sema sometimes huwa unajichetuaga tu.

Noamba nikubatize jina hili, "Tym yes, tym no"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dada muuza vyakula na hasa makande anapondwa bila sababu, kusoma ni kama kuondoa ujinga, kusomea fani utakayo ili uifanyie kazi siyo kosa, ila kuitumia hiyo elimu uliyosomea kwa gharama kubwa yategemea na ajira, sasa kama ajira hamna ufanye nini?!
Kule Uk wanadai kuna graduates wa elimu za tofauti wameamuwa na waliamuwa kwenda kufanya kazi za ufundi, kama za kuwa plumber, electricians, na hata builders (baada ya kupata ka elimu ka hizo kazi kupitia City & Guild).
Ukisomea Banking, kazi hupati, haimanishi ukiamuwa kuwa mama ntilie au mwanaume mpika chapati umekosea, la hasha, yaaminisha ni lazima uingize hela ya kukidhi maisha yako, na hapo hapo kwenye hizo biashara ndogo ndogo ukitumia vizuri akili yako na usomi wako waweza kuikuza hiyo biashara ikawa ya maana kabisa...
Nigeria yenye wasomi wengi kuliko sisi, wale wasiokuwa na kazi wanafanya za kila aina, kuanzia boda, bajaj, kilimo, kuchoma mahindi, konda kwenye daladala, baba au mama ntilie, kuuza duka, kuokota vyuma chakavu n.k. n.k.
Sasa wewe mwenye degree endelea kuwa kula kulala ukitegemea utapata kazi uliyosomea tuone utaishia wapi..
Hongera dada pika na uza kande maisha yaende, wale wanapoponda hawajuwi wasemalo...
 
umekimbilia kuangalia faida na kulinganisha na watu wa kawaida ujapiga hesabu ya vifungashio,mchakato wa kuunga (viungo vyake)

jumlisha na ada ya elimu yake, anakuja fanya upumbavu alafu mna muunga mkono
So pathetic halafu unakuta mtu km wewe una degree yako halafu unaandika upumbavu km huu....hebu kasome kampuni ambazo leo hii zina thaman ya mabilion ya pesa km starbucks zilianzishwa vipi....starbucks ilianzishwa ma idea simpo tu km ya hyu dada leo hii imeajiri wafanyakazi almost 3 million

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Kuwa msomi ni lazima kujifunza kutokubaliana na wengine" very true

Sent using Jamii Forums mobile app
 
utaendelea soma leta shuhuda bila kuangalia mazingira ya ulaya na hapa kande buku 5 ikawe kimataifa umelogwa wewe

ulaya watu wana uwezo wa kununua vp kwetu huku kama wastani wa pato ni chini ya elfu 10 iyo elfu tano kamlenga nani?

kama wewe nae msomi ndo wale mnao ishia kujaza mawazo ya kiulaya yasiyo endana na mazingira yetu
 

Ndio maana halisi ya elimu, kujiongeza, kutojali, kujaribu, uthubutu wa mambo mapya. Ukishindwa umeshindwa unajaribu vitu vingine.

Hongera Nancy, upate mafanikio.
 
Mkuu akili yako iko timamu?? Rudia kusoma tena na tena... Ukisoma nimeweka bayana kuwa tunafanya kwa sababu ya umasikini wetu n sera mbovu za nchi yetu... AU HUJAELEWA MANTIKI YA HAYO MANENO HAPO??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahahahahahahah kasie bhana. We mama unavituko kama vyote.....

I wish siku nioteshwe usku, "huyu ndio kasie" nikuone tyu unafananiaje.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hehehehee hapana, sina hata vituko niko mpoleee hehehehee.

Usijali, muone Mshana Jr atakusaidia utapata ndoto ya kumuona Kasie anafananaje kupitia kioo chake.

Kigagula kizee Kasie, kitata ...😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…