Binti wa kishua, mwenye shahada toka Marekani amejiajiri kuuza makande, dada zetu maskini wanachagua kazi

Ili uwe mtaji inatakiwa iwe sh ngapi?
 
Wewe nadhani hujawahi kutoka hata nje ya hicho kijiji chenu. Ungewahi kuishi kidogo tu marekani au uingereza usingeandika upuuzi huu huu hapa. Tanzania maisha ni rahisi sana na opportunity ni nyingi kuliko huko marekani na ulaya unaposema. Wacheni ndoto vijana.
 
Ficha ujinga wako unamshamgaa mtu anauza makande mbona humshangai bakhresa anauza chapati na maandazi?
Kweli mkuu wabongo wana visingizio tena vya kijinga. Eti mtu kasoma marekani,halafu anakuja kubana nafasi za akina mama wauza kande eti wanamsifia badala kumpatia shule upya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sa Safiri na kufanya kazi na kulipa bills kwenye hizo nchi unazosema ndiyo unaweza ukapata picha kwanini kaamua kurudi na kuanzisha biashara yake ya chakula.
 
Mkuu Freelancer unakosea!

Hapa wadau hatutaelewa popoma ni nani kati ya wanaomsifia au wanaomkosoa,wewe unaona yupo sahihi kwa elimu yake hiyo kufanya biashala ya chakula?

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Biashala = biashara

Mtu mwenyewe hata kuandika hujui sasa unajua nini?
 
Uza karanga
Hivi kwanini watu mliofanikiwa kupata kitu fulani kwenye maisha huwa mnakosa akili na busara? Wengine tulienda shule ili tusiwe wauza karanga au wachoma mahindi,tungetaka kuchoma mahindi au kuuza karanga tungeishia kidato cha nne na kuanza kuuza karanga.....hizi kejeri mnamezeshwa na serikali yenu ya CCM kuwa vijana wajiajiri,mmeshindwa kuzalisha ajira na mmeshindwa kuwawezesha vijana kujiajiri kwa mali au hali,MSITAKE VIJANA TUONEKANE WAVIVU WAKATI TUMEWAKABIDHI HII NCHI ILI MTENGENEZE MWANGA WA MAISHA YA WATANZANIA....narudia tena HAKUNA ASIYEPENDA KUFANYA KAZI WA KULA BURE.
 
Acha upopoma wewe kande za kisasa na kande za kawaida zinatofauti ushazoea zile za kuchanganya na mchicha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka lakini ulivyosema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo hajakataa mshahara muongo, sema asingeweza kuendelea kuishi USA kama mhamiaji haramu, baada ya kumaliza shule. Huyu binti kasema ukweli, karudi nyumbani kwa sababu USA asingependa kuendelea kuishi huko bila makaratasi, baada ya student visa kuisha.
 
Ukiachana na hapo kwenye miaka 10 kuwa bilionea hapo kwenye kuvutana vutana hebu nieleweshe vizuri au kma ikibidi nipe mkanda mzima maana ninandugubyangu yupogo huko nashangaaa hanivuti mimi ndugu yake wakati kumbe uwezekano upo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa mkuu. Naongea kitu ninachokifahamu wala sio hadithi,na sio hiyo familia tu,nina wengi wa kuwatolea mifano,na wala sio ndoto,ni ndoto kwenu nyie mkienda ulaya mnajifanya machinoo,mnaiga maisha wanayoishi wazungu. Na kuhusu kutembea,kuna uwezekano mimi nimetembea zaidi yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
She has a long way to go...

Kwani wangapi wanasoma huko huko na hata hicho kidogo hawana.

Akaze buti, akijibrand vizuri few years to come atakuwa mtu mwingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Biashala = biashara

Mtu mwenyewe hata kuandika hujui sasa unajua nini?
Sawa sawa baba mwanaidi nikupongeze wewe umesoma vizuri mimi nilikimbia shule kwa hiyo naomba kila utakapokuta humu jukwaani nimekosea unisahihishe kama ulivyofanya hapa na naahidi nitakuwa mwanafunzi bora.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…