Binti wa kishua, mwenye shahada toka Marekani amejiajiri kuuza makande, dada zetu maskini wanachagua kazi

Binti wa kishua, mwenye shahada toka Marekani amejiajiri kuuza makande, dada zetu maskini wanachagua kazi

Nimejifunza kitu kwa huyu dogo, kwanza kupika ni passion yake hicho ni kitu muhimu kabisa, pili amejua kusudi lake na analifanyia kazi kwa udanisi na furaha (Nanauka anasema tambua kusudi lako) tatu, anafanya biashara ya kuuza chakula na kunasiku maalumu anapika makande, nampa hongera kwa kujua kusudi lake, elimu alikua anapuyanga tu bora angesomea upishi mapema, lakini hajachelewa. So muandishi anasema eti kaamua kupika makande!?!??!?! Halafu tunaanza kulaumiana?!! Wasomi wa nchi hii wako confused kabisa! Jua kusudi lako basi. Sio kudanganyana msomi anapika makande na anatoboa, huyo anafanya biashara ya chakula na kuna siku ya makande, akijiongeza atapika na ugali was mtama. Hongera dogo kwa kujua kusudi lako. Sijapenda heading ya uzi imekaa kibiashara sana
Lazima tuendelee kuajiwa tu. Kama akili zetu ndo hizi humu hakuna namna

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo maana nawashauri wazazi wasipoteze hela kusomesha mtoto nje ya tz
Hakuna tofauti zaidi utatumia mihela mingi sana na mishahara ya tz yajulikana

Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi ulitaka aanzishe biashara ya kuwafurahisha? au ulitaka afanye kile unacho waza?

kwamba mmawazo yake sio lolote?

Kiongozi kwako biashara ni zipi? ni za kuuza Magari? Au Maduka ya Nguo na viatu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Idea yake haiwezi kukufurahisha wewe. vipi angefungua saloon? au vipi angefungua duka La Viatu? ungeongea? make hizo ndo biashara mnazo zijua

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wanaamini kwenye kushindwa mkuu na ndio maana wanamuangalia kwa jicho la leo wanasahau kumwangalia miaka mitano ijayo (kazi zingine watu wanafanya kama daraja kuwapeleka hatua flani ya maisha katika kutimiza malengo yao na ndio maana bidada ameanza kwa makande lakini kichwani kuna ndoto yake anayo ili aweze kuifikia lazima aanzie sehemu flani i.e. kuuza makande).

Watu wamezoea mpaka afungue duka kubwa la nguo ama viatu ambalo ukiliangalia lina vitu vya milioni kadhaa lakini kuna siku mtu hatoki hata na mauzo ya 30,000
 
Huko ni kujipa matumaini tu kwa kiwango cha kipuuzi kabisa. Huko ni kwa mtu alieshindwa kutumia nafasi na fursa aliyoipata vizuri.Kama hachagui kazi huo msemo ilitakiwa aitumie akiwa marekani. Kule kuna kazi nyingi za kwenye mashoprite ya kupanga mabox tu,hata kama unasoma,una uwezo wa kutengeneza hela,tena hela sio hizi. Kule unalipwa kwa masaa. Nina mifano miiiiiingi isiyo idadi. Nina familia jirani,huyo mama ni mzee sasa ana watoto wa4,mkubwa yuko uingereza,ndie alianza kwenda kama kusoma,lakini akaanza na kazi hizo za kwenye mashoprite kupanga mabox,baadae alivyomaliza masomo akatafuta kazi huko huko. Kifupi kwenda kusoma ilikuwa gear tu. Baada ya kuseto akampigia pande mdogoake akaenda,akampa michongo mizima. Dogo baada ya muda pale UK,akasepa uswiswi,nae akamvuta dogo mwingine,huyo dogo wa 3 baada ya muda akasepa marekani,baada ya muda nae akamvuta wa 4. Wa 4 yuko Canada. Familia iko njema sana. Mama akiamua kuzunguka kote kwa wanae. Kazi walizoanza nazo ni hizo ambazo wazungu hawazitaki za kupanga mabox wanaziona ni za chini. Lakini zina mshahara wa kukufikisha ukawa milionea ukija huku kwetu. Hata ufanye ndani ya miaka 10 tu wewe ni bilionea ili mradi uwe na malengo,achana na statehe za kwao

Sent using Jamii Forums mobile app
Hana mawazo kama yako? Unazani kila mtu anawaza jinsi unavyo waza?

Yaani Biaashara aanzishe yeye ila muumie wengine?

Ulitaka afanye Jambo kuwafurahisha?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huko ni kujipa matumaini tu kwa kiwango cha kipuuzi kabisa. Huko ni kwa mtu alieshindwa kutumia nafasi na fursa aliyoipata vizuri.Kama hachagui kazi huo msemo ilitakiwa aitumie akiwa marekani. Kule kuna kazi nyingi za kwenye mashoprite ya kupanga mabox tu,hata kama unasoma,una uwezo wa kutengeneza hela,tena hela sio hizi. Kule unalipwa kwa masaa. Nina mifano miiiiiingi isiyo idadi. Nina familia jirani,huyo mama ni mzee sasa ana watoto wa4,mkubwa yuko uingereza,ndie alianza kwenda kama kusoma,lakini akaanza na kazi hizo za kwenye mashoprite kupanga mabox,baadae alivyomaliza masomo akatafuta kazi huko huko. Kifupi kwenda kusoma ilikuwa gear tu. Baada ya kuseto akampigia pande mdogoake akaenda,akampa michongo mizima. Dogo baada ya muda pale UK,akasepa uswiswi,nae akamvuta dogo mwingine,huyo dogo wa 3 baada ya muda akasepa marekani,baada ya muda nae akamvuta wa 4. Wa 4 yuko Canada. Familia iko njema sana. Mama akiamua kuzunguka kote kwa wanae. Kazi walizoanza nazo ni hizo ambazo wazungu hawazitaki za kupanga mabox wanaziona ni za chini. Lakini zina mshahara wa kukufikisha ukawa milionea ukija huku kwetu. Hata ufanye ndani ya miaka 10 tu wewe ni bilionea ili mradi uwe na malengo,achana na statehe za kwao

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaa Unawaza kuajiriwa? yeye huko hayupo na ndo kama hivyo?

Hakuna anaye jifariji ila wewe ndo uwezo wako mdogo sana.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwasiku laki2, kwa mwezi anapata Milion 6, sasa mwenye hiyo degree akiajiriwa anaweza kufikia mshahara wenye kiwango hiki???

Sent using unknown device
Hicho kiwango ni mshahara wa msomi wa miezi 6 tena ana miaka kadhaa kazini, though hapo kuna gharama za uendeshaji kama kununua vyakula, usafiri etc lakini kwa biashara ya chakula ilivyo 75% ni faida maana vyombo anavyotumia ni vile vile baada ya kuwekeza mtaji kwa kununua mara moja vyombo na kubaki kununua chakula cha kupika tu
 
Ndio maana wapo hata hapa hapa walio kwenye nafasi ya kufanikiwa na wanalazimishwa wafuate njia za mafanikio lakini wanaishia kuchezea hizo nafasi. Kwa hiyo walioko huko na wakashindwa kufanikiwa ni ksbb ya akili zao tu. Soma hapo juu nilipofafanua familia iliyofanikiwa sana kwa kuwa ulaya

Sent using Jamii Forums mobile app
Una akili ndogo sana. kwa hiyo wewe usha moangia hatawanikiwa? au kwako kufanikiwa ilikuwa lazima akae huko Afanyw kazi?

Wewe ndo unajua Business planing yake?
alisha share na wewe na ukanona hakuna kitu pale?.au unaongea tu kwa hisia?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na tena anavyoendelea kuuza ndio anazidi kujitengenezea jina na kufanya awe na wateja wengi, yaani baada ya miezi mitatu utakuta anacheza na wateja 80+, kizembe zembe anaweza akatoka sawa na mbunge
Hicho kiwango ni mshahara wa msomi wa miezi 6 tena ana miaka kadhaa kazini, though hapo kuna gharama za uendeshaji kama kununua vyakula, usafiri etc lakini kwa biashara ya chakula ilivyo 75% ni faida maana vyombo anavyotumia ni vile vile baada ya kuwekeza mtaji kwa kununua mara moja vyombo na kubaki kununua chakula cha kupika tu

Sent using unknown device
 
Huyo hajakataa mshahara muongo, sema asingeweza kuendelea kuishi USA kama mhamiaji haramu, baada ya kumaliza shule. Huyu binti kasema ukweli, karudi nyumbani kwa sababu USA asingependa kuendelea kuishi huko bila makaratasi, baada ya student visa kuisha.
Shida nini hasa? yeye kujijiari?.na je mlitaka hasa afanye biashara ipi?.zile za.mkumbo za kila mtu? Kama Duka, Hard ware, Saloon?

Nazani wazungu kama wanapitia humu huwa wanafurahi sana ba kuona jinsi Safari yao ya kuja Bongo na Laptop na kurudi na pesa itakavyo kuwa rahisi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa mkuu. Naongea kitu ninachokifahamu wala sio hadithi,na sio hiyo familia tu,nina wengi wa kuwatolea mifano,na wala sio ndoto,ni ndoto kwenu nyie mkienda ulaya mnajifanya machinoo,mnaiga maisha wanayoishi wazungu. Na kuhusu kutembea,kuna uwezekano mimi nimetembea zaidi yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hao wengi wana kusaidia nini? sasa unataka awe kama hao wengi unao watolea mifano?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina bro tumetoka kijiji kimoja ni afisa wa ubarozi nchi fulani za Scandinavia,yuko huko kikazi kuanzia kipindi cha mkapa. Wakati anaenda kule alikuwa na vijana wawili,halafu kule akaenda kuzaa mtoto mmoja,hao watoto sasa wana uraia wa huko,ni wakubwa sasa. Mafundisho yake kwa watoto ilikuwa ni namna ya kutumia fursa za kuwa kwao kule. Mpaka sasa hao watoto wana akaunti ya pamoja,lakini ina hela ya kutosha. Ksbb wote wakitoka masomoni wanapumzika then wanaingia kazini masaa mengine yasiyo ya masomo na siku zisizo za masomo. Ila kwa nyie mnaoenda mnaiga maisha ya kule badala ya kufikiria na kutumia fursa vizuri hiyo. Mnadharau

Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo naoma umekomaa sana kutolea watu mifano. halafu unataka wote wafanane na hao unao watolea mifano.

Hahahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mnhhhhh hii ni prove tosha,wazazi wa change mind set zao,nina uhakika huyo binti angesema anaenda kusomea upishi wazazi wangekataa kumsomesha….

Anyway tusidanganyane,huyo binti amecheza na fursa ...ameangalia nini cha kufanya kwa wakati huu..hii haimpunguzii lolote,in the future anaweza kupata kazi inayoendana na kipato chake,cha muhimu ana degree yake under the belt....

Katika nchi yetu,swala la passion halipo,watu wanasoma kutoka na nafasi chache zilizopo katika soko la ajira,mambo ya passion/interests/talents halipo katika nchi yetu…
Vipi ange fungua Yard ya Magari au Duka la nguo?

make naona shida hapa ni yeye kuuza kande.

Unajua Mwanzilishi wa Macdonard alivyo anza?

KFC unajua alivyo anza?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna point ya msingi sana kaongea ambayo Wengi wenu hamuitilii maanani. Kasema hivi fanyeni kitu mnachokipenda. Ofcoz yeye anapenda kuuza makande it doesn’t matter imemchukua miaka mingapi kutambua kwamba anapenda kuuza makande. Mbona kuna watu ni na professor kitambo but wamekuja jitambua juzi kuwa kumbe ni wanasiasa. We jiulize mpaka sa hivi hapo ulipo are happy with your job? Au ndo hivo tonge kinywani. If you do what you makes you happy money will come naturally. Na Ndo maana unaona kuna mtu ni mpiga picha na Ana passion nayo anatoboa ila we unaepiga picha sababu huna option hutakaa utoboe. Hii story itumie kujiaccess wewe zaidi kuliko huyo dada, after all nani kasema kapoteza muda? Kwani anawahi wapi?


Sent from my iPhone using JamiiForums
Shida kubwa ya Wabongo wanataka ufanye kile wanacho penda wao na sio kile unacho penda.

Ndo zile ushari tunaendaga kupeana tukiwa baa kwamba kalime tikitika mara kafungue Hard ware inalipa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizi ndo mentality za umasikini. kwa mawazo haya wacha tuendelee kuajiriwa na wachina na Wahindi na wazungu.

Unataka afanye kile unacho penda wewe?

sasa kama yeye hiyo ndo Hoby yake unataka aiache kwa sababu hampendi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu,

Salaam nyingi zikufikie hapo nyuma ya keyboard.

Dhumuni la barua ni kukufahamisha juu ya kuquote mtu na kutoa busara zisizo na busara.

Kwahiyo mimi ninataka binti afanye ninachopenda jambo ambalo ni tabia mbaya, au siyo?

Ila wewe unataka niandike unachopenda??

Ama hakika umeufedhehesha ukoo wako wote.

Eh ngoja nilale,

Ndimi,
MentalityYaUmaskini.
 
Habari wadau...

Nimekutana na habari ya Nancy Lema wa Mwanza nikaona ku-share nanyi wadau mtoe maoni.. je binti yupo sahihi au wrong?

Kafanya Shahada yake St Marys University of Minnesota na masters university of Minnesota huko USA.

Baada ya kumaliza masomo yake akaamua kurudi nyumbani kujiajiri kwa kuuza makande kisasa na kwao ni mambo safi hasa hasa...

Nawaza tu why dada zetu maskini hawapendi kujishughulisha huku washua hawachagui kazi.

Nimemkumbuka na Mercy Kitomari Nelwa Gelato naye ana degree ya U.K ila amerudi Tanzania anauza ice cream tu kisasa


Sitaki kuongea mengi lakini niko na shaka kubwa kwa hii masters degree ambayo huyu binti anaye, kwanza amesema hi ya finance, hii ndio ukweli , marekani ukiwa na masters in finance kazi ni tele, na pia kupata kibali cha kuishi huko amerika sio shinda, ukiajiliwa ile kamupuni au mtu alikuajili ana haki ya kwenda na kukuezesha upate resident permit sababu uko na kazi,lakini kando na hilo, sioni ANY MOTIVATION, huyu dada anawapa watu wanaotafuta ajira, kaa hii ni masters ya toka mzumbe au dar, hio singeona shinda kubwa nae, lakini huwezi kwenda toka tz mpaka usa ukapata masters, ukapata all that knowledge toka first world, ukawa exposed to all that technology, innovation and yale yote ambayo hufanyika pahali kaa marekani and for sure you came back to bongo to sell makande!!!!!!!!!!,sasa hata huko marekani angekuwa amepata ujuzi na maarifa ya kufanya kitu ambacho kitakuwa tofauti na mtu ambae amesoma tu bongo, yaani angeazisa hata micro finance credit inst, hata kaa sio kubwa kutumia hio ujuzi wa finance education ako nae,au hata kaa hana mtaji, then angeaza a consultancy firm ya kuwapa ushauri wale wanataka kuaza biashara ndogo au kubwa,au hata achukua hii nafasi ya ile kitu kinaitwa AGOA aaze ku export vitu huko amerika, mimi naona ajabu sana na huyu binti yetu, na ndio ninasema niko na mashaka makubwa kuhusu hii masters yake, this is not the way a person who trained in usa , who has a masters should be doing things, she ought to do something innovative and mordern in tech ways,
 
Nawaonea huruma mnaocomment ujinga. Hamjafahamu tu kiasi chenu cha upumbavu na jinsi gani kitawafanya muendelee kuwa maskini.
mkuu pengine ile comment unaona kwako ni ujinga ni comment wengine ambao ni wasomi wa hali ya juu wanaona hio ndio point safi, in short intelligence is relative sir, be wise
 
Huko ni kujipa matumaini tu kwa kiwango cha kipuuzi kabisa. Huko ni kwa mtu alieshindwa kutumia nafasi na fursa aliyoipata vizuri.Kama hachagui kazi huo msemo ilitakiwa aitumie akiwa marekani. Kule kuna kazi nyingi za kwenye mashoprite ya kupanga mabox tu,hata kama unasoma,una uwezo wa kutengeneza hela,tena hela sio hizi. Kule unalipwa kwa masaa. Nina mifano miiiiiingi isiyo idadi. Nina familia jirani,huyo mama ni mzee sasa ana watoto wa4,mkubwa yuko uingereza,ndie alianza kwenda kama kusoma,lakini akaanza na kazi hizo za kwenye mashoprite kupanga mabox,baadae alivyomaliza masomo akatafuta kazi huko huko. Kifupi kwenda kusoma ilikuwa gear tu. Baada ya kuseto akampigia pande mdogoake akaenda,akampa michongo mizima. Dogo baada ya muda pale UK,akasepa uswiswi,nae akamvuta dogo mwingine,huyo dogo wa 3 baada ya muda akasepa marekani,baada ya muda nae akamvuta wa 4. Wa 4 yuko Canada. Familia iko njema sana. Mama akiamua kuzunguka kote kwa wanae. Kazi walizoanza nazo ni hizo ambazo wazungu hawazitaki za kupanga mabox wanaziona ni za chini. Lakini zina mshahara wa kukufikisha ukawa milionea ukija huku kwetu. Hata ufanye ndani ya miaka 10 tu wewe ni bilionea ili mradi uwe na malengo,achana na statehe za kwao

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu hata acha hio yote amesema ako na masters, kaa uko na masters haswa usa hukosi kazi haswa in finance and project managment, yule anekuajiri ndio huwezesha upate kibali cha kuishi, mimi simuamini huyu dada kabisa
 
Back
Top Bottom