we wazo lako la kuku wa kichina unaona upo nje ya comfort zone?Yes kwa sababu amefanya kile ambacho kiko nje ya levo zako za kuwaza. Nikuambia leta wazo lako hapa kama haitakuwa MPESA basi itakuwa Baaa au Saloon au Duka la Hard ware au kuuza Nguo za kike na za watoto.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah sijawahi kuwaza hizo makitu boss napenda kuwa uniqueYes kwa sababu amefanya kile ambacho kiko nje ya levo zako za kuwaza. Nikuambia leta wazo lako hapa kama haitakuwa MPESA basi itakuwa Baaa au Saloon au Duka la Hard ware au kuuza Nguo za kike na za watoto.
Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi, nimempenda bure huyu dada Nancy.....normally kitu anachokifanya, kimewashinda wenzake wengi sana. So anahitaji kupongezwa na kuungwa mkono kwa kiasi kikubwa sana...ili aendelee kuwa icon kwa vijana wengine wa kitanzania.Habari wadau...
Nimekutana na habari ya Nancy Lema wa Mwanza nikaona ku-share nanyi wadau mtoe maoni.. je binti yupo sahihi au wrong?
Kafanya Shahada yake St Marys University of Minnesota na masters university of Minnesota huko USA.
Baada ya kumaliza masomo yake akaamua kurudi nyumbani kujiajiri kwa kuuza makande kisasa na kwao ni mambo safi hasa hasa...
Nawaza tu why dada zetu maskini hawapendi kujishughulisha huku washua hawachagui kazi.
Nimemkumbuka na Mercy Kitomari Nelwa Gelato naye ana degree ya U.K ila amerudi Tanzania anauza ice cream tu kisasa
Kwahiyo mkuu ilitakiwa afanye kazi alipwe mshahara kiasi gani ili ionekana kuna usawa wa mshahara wake na pesa alizotumia kusoma?.
Usomi wa hali ya juu ni kitu gani? Kuna wenye vyeti hakuna wasomi hapamkuu pengine ile comment unaona kwako ni ujinga ni comment wengine ambao ni wasomi wa hali ya juu wanaona hio ndio point safi, in short intelligence is relative sir, be wise
Huwezi kufahamu utofauti buku hujazitumia kiongozi,lakini angalia hizo kande bei yake nafikiri utaona utofauti.hili sikubaliani nalo kabisa hizo kande anazouza zina utofauti gani na tunazopika majumbani kwetu?huyu anaitaji maombi
Lakini hiyo kampuni iliyotaka kumuajiri ingeweza kumuombea kupata kibali cha kuishi na kufanya kazi Marekani.( Hapa nazungumzia huyo jamaa aliekataa mshahara wa zaidi ya mil 300)Huyo hajakataa mshahara muongo, sema asingeweza kuendelea kuishi USA kama mhamiaji haramu, baada ya kumaliza shule. Huyu binti kasema ukweli, karudi nyumbani kwa sababu USA asingependa kuendelea kuishi huko bila makaratasi, baada ya student visa kuisha.
Uhamiaji wangeiuliza kampuni mmekosa mzawa mwenye hizo sifa?Nani asiependa kufanya kazi marekani?????Mnadanywa tu. Huyo mhindi makaratasi ya uanafunzi yaliisha akawa hana jinsi na ikabidi arudi nyumbani. Hiyo sijui ya kukaataa kuajiriwa marekani ni strategy tu ili mumuone yeye ni hot cake.Na kweli kafanikiwa wewe ukiwa mmojawapo umemuamini.Lakini hiyo kampuni iliyotaka kumuajiri ingeweza kumuombea kupata kibali cha kuishi na kufanya kazi Marekani.( Hapa nazungumzia huyo jamaa aliekataa mshahara wa zaidi ya mil 300
Uhamiaji wangeiuliza kampuni mmekosa mzawa mwenye hizo sifa?Nani asiependa kufanya kazi marekani?????Mnadanywa tu. Huyo mhindi makaratasi ya uanafunzi yaliisha akawa hana jinsi na ikabidi arudi nyumbani. Hiyo sijui ya kukaataa kuajiriwa marekani ni strategy tu ili mumuone yeye ni hot cake.Na kweli kafanikiwa wewe ukiwa mmojawapo umemuamini.
Nakubaliana na hoja yako kiasi ila sidhani kama kampuni iliyotaka kumuajiri haikujua taratibu zote hizo kuhusu raia wa kigeni kufanya kazi nchini kwao. Kwa maelezo yake yeye ni kwamba alishapatiwa ajira kabisa ila akaikataa that means alikua na vigezo vyote vya kuanza kazi ila ni yeye tu kwa utashi wake akakataa hiyo ajiraUhamiaji wangeiuliza kampuni mmekosa mzawa mwenye hizo sifa?Nani asiependa kufanya kazi marekani?????Mnadanywa tu. Huyo mhindi makaratasi ya uanafunzi yaliisha akawa hana jinsi na ikabidi arudi nyumbani. Hiyo sijui ya kukaataa kuajiriwa marekani ni strategy tu ili mumuone yeye ni hot cake.Na kweli kafanikiwa wewe ukiwa mmojawapo umemuamini.
Kinachokushangaza nini hapo?marekani?makande?mtoto wa kishua?Nani kasema wauze makande?.
Umeuliza kwahiyo watoto wote wakishua wauze makande?.
Ahahahahaha,naona upuuzi wako unauona ni content ya maana,punguwani wa head.Tulia wewe huna content ya maana.
Haha Aise ..hauzi makande pekee ..demu ana miliki restaurant ya kisasa inayouza vyakula mbali mbali ...makande ni. Msosi mmoja wapo unao patikana kwenye menu ya huo mgahawa
Zamani sanaaa nilikuwa namawazo kama haya. Kwamba mtaji ni tatizo... Lakini huyo MTU anayelalamika mtaji hata ukimuuliza anataka mtaji kiasi gani hajui, na mtaji anataka ili aanzishe biashara gani ataanza kujing'ata tu .Kiukweli umeongea point ya maana lakin walio wengi humu Kwa unafki wao hatokosa sababu ya kupinga hoja yako ila kiukweli mitaji ndio inawakwamisha sana vijana katika kufikia malengo
Sio tu hana elfu kumi bali anamaliza na deni la million 4-6 HESLB!