Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 12,001
- 27,175
[emoji23][emoji23]Wadau wa kiswahili tafuteni namna ya kukinusuru kiswahili kinaangamia kwetu wakati ughaibuni kinatamalaki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23]Wadau wa kiswahili tafuteni namna ya kukinusuru kiswahili kinaangamia kwetu wakati ughaibuni kinatamalaki
Wifi yangu miaka 18 ndoa ya tatu sasaKuna kitu hakipo sawa kwenye jamii ambacho ndio kimepelekea maamuzi ya kujitoa uhai.
Miaka 17 mtu kuwa ameolewa mara tatu nalo ni jambo linafikirisha sana, kuwa ndoa zinyewe zinadumu kwa muda gani? Ni ndoa zinazotambulika kimila/kidini/kiserikali? Changamoto ya ndoa hizo kuvunjika ni ipi?
Ni mambo jamii yote kwa ujumla inapaswa kukaa chini na kuyatafakari vinginevyo tutakuwa tunapambana na matokeo kila siku badala ya kutatua mzizi wa shida yenyewe.
Makasirikio at work!!!Usione anakusaidia hapo anakuandaa kuwa kiburi kwenye ndoa mwisho wake utaishia kuwa single mama, ndoa ni utumwa huru.
Duuh anavunja ungo na miaka 8 itakuwa Sasa, inasikitisha sanaMnashangaa hayo? Niliyaona Kibiti, binti wa Kindengereko ana umri wa miaka 15 na keshaolewa mara nne na sasa yupo chungu cha tano. Walijua hilo!
Kapiga hattrick ya ndoa kaondoka na mpira wakeDuh
Ova
Umaskini . Kuna watu wana hali mbaya sana.Kuna kitu hakipo sawa kwenye jamii ambacho ndio kimepelekea maamuzi ya kujitoa uhai.
Miaka 17 mtu kuwa ameolewa mara tatu nalo ni jambo linafikirisha sana, kuwa ndoa zinyewe zinadumu kwa muda gani? Ni ndoa zinazotambulika kimila/kidini/kiserikali? Changamoto ya ndoa hizo kuvunjika ni ipi?
Ni mambo jamii yote kwa ujumla inapaswa kukaa chini na kuyatafakari vinginevyo tutakuwa tunapambana na matokeo kila siku badala ya kutatua mzizi wa shida yenyewe.
Cc: FaizaFoxyRebecca AMEFARIKI DUNIA BAADA YA KUJINYONGA hadi KUPOTEZA MAISHA.
Huko shuleni huwa mnaenda kusomea ujinga?
Umeona eeh. So sadDuh, at 17 bado nilikua naangalia katuni...
Au ni 27 imekosewa? Wazazi na jamii badilikeni