Binti wa miaka 17 ajinyonga baada ya kuachika mara tatu kwenye ndoa

Binti wa miaka 17 ajinyonga baada ya kuachika mara tatu kwenye ndoa

Ni upumbavu haswaaa, chakushangaza pia ameachika 3times akiwa na 17! Nasema hivi ni upumbavu haswaaaa.
 
Kuna kitu hakipo sawa kwenye jamii ambacho ndio kimepelekea maamuzi ya kujitoa uhai.

Miaka 17 mtu kuwa ameolewa mara tatu nalo ni jambo linafikirisha sana, kuwa ndoa zinyewe zinadumu kwa muda gani? Ni ndoa zinazotambulika kimila/kidini/kiserikali? Changamoto ya ndoa hizo kuvunjika ni ipi?

Ni mambo jamii yote kwa ujumla inapaswa kukaa chini na kuyatafakari vinginevyo tutakuwa tunapambana na matokeo kila siku badala ya kutatua mzizi wa shida yenyewe.
Wifi yangu miaka 18 ndoa ya tatu sasa
 
Miaka 17 kashaachika mara tatu loh, kaanza kunyanduana akiwa tumboni mwa mzazi wake au? Kuna tatizo somewhere.
 
Pole yao sana wafiwa... alikua na matatizo...

Dida sugu sana, hata hajali...
 
Duh, at 17 bado nilikua naangalia katuni...
Au ni 27 imekosewa? Wazazi na jamii badilikeni
 
Kuna kitu hakipo sawa kwenye jamii ambacho ndio kimepelekea maamuzi ya kujitoa uhai.

Miaka 17 mtu kuwa ameolewa mara tatu nalo ni jambo linafikirisha sana, kuwa ndoa zinyewe zinadumu kwa muda gani? Ni ndoa zinazotambulika kimila/kidini/kiserikali? Changamoto ya ndoa hizo kuvunjika ni ipi?

Ni mambo jamii yote kwa ujumla inapaswa kukaa chini na kuyatafakari vinginevyo tutakuwa tunapambana na matokeo kila siku badala ya kutatua mzizi wa shida yenyewe.
Umaskini . Kuna watu wana hali mbaya sana.

Ukute akiachika wazazi hawamkaribishi km mtoto wao tena, ndio kwanza wanampagaza mume mwengine ili wasaidiwe ulezi. Kuna matukio duniani we acha tu.
 
Back
Top Bottom