Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Kwa siku sioHalafu na nyie wanaume mnapewa nguvu za kupiga mizigo mia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa siku sioHalafu na nyie wanaume mnapewa nguvu za kupiga mizigo mia
Naaaam sheikhKwa siku sio
Ngoja tuendelee kuzinoaNaaaam sheikh
Huo ni muda wa wanaume tu, maana yake wanawake tuinjoi duniani wanaume wataenda kuinjoi mbinguni 😁😁Na sisi wanawake tutapewa nini eti?
Mbinguni hakuna moto. Moto upo Jehanamu ndugu.acha unzinzi kuna moto huko mbinguni dogo...
Ha haaa hii imekaa vizuri sana. Ngoja nichakarike maana maisha yenyewe mafupiHuo ni muda wa wanaume tu, maana yake wanawake tuinjoi duniani wanaume wataenda kuinjoi mbinguni 😁😁
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Ni butu???Ngoja tuendelee kuzinoa
Hapana ipo fit kupiga show 3 kwa siku🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Ni butu???
Basi inoe kwa ajili ya 97 tenaHapana ipo fit kupiga show 3 kwa siku
Wenzako tunagonga buree na mihela yako anatuletea tunagawanaTumekubaliana kila nikihitaji nimwambie awe anakuja. Atakuwa ananitumia ratiba yake ya mzunguko kila mwezi ili nisimuite siku zisizokuwa nzuri kwake.
Uzuri ni kwamba tumeshapima na bei/tozo elekezi tumekubaliana.
ndo unavonidanganya hapo wahuni wanajichotea bila hata kupima hao tunawaitaga utumboMkuu haka nimeenda nako kupima kwasababu sitaki kufanya sharing na mtu.[emoji41][emoji41]
Ushawahi kufika?Mbinguni hakuna moto
Hakuna kitabu cha dini chochote kinachosema mbinguni kuna motoUshawahi kufika?
Yohana 21:25 "....... Kama yote yangeliandikwa, nadhani hata ulimwengu wote usingekuwa na nafasi ya kutosha kuweka vitabu vyote ambavyo vingeandikwa. Amen."Hakuna kitabu cha dini chochote kinachosema mbinguni kuna moto