Binti wa miaka ishirini amekubali niweke bili na malipo ni siku za matumizi.

Binti wa miaka ishirini amekubali niweke bili na malipo ni siku za matumizi.

Tumekubaliana kila nikihitaji nimwambie awe anakuja. Atakuwa ananitumia ratiba yake ya mzunguko kila mwezi ili nisimuite siku zisizokuwa nzuri kwake.

Uzuri ni kwamba tumeshapima na bei/tozo elekezi tumekubaliana.
Wenzako tunagonga buree na mihela yako anatuletea tunagawana
 
Mkuu haka nimeenda nako kupima kwasababu sitaki kufanya sharing na mtu.[emoji41][emoji41]
ndo unavonidanganya hapo wahuni wanajichotea bila hata kupima hao tunawaitaga utumbo
 
Hakuna kitabu cha dini chochote kinachosema mbinguni kuna moto
Yohana 21:25 "....... Kama yote yangeliandikwa, nadhani hata ulimwengu wote usingekuwa na nafasi ya kutosha kuweka vitabu vyote ambavyo vingeandikwa. Amen."
 
Na msikaribie uzinzi ,huo ni uchafu na ni njia mbaya,acha uzinzi ndugu.
 
Back
Top Bottom