Binti wa miaka ishirini amekubali niweke bili na malipo ni siku za matumizi.

Binti wa miaka ishirini amekubali niweke bili na malipo ni siku za matumizi.

Hii mbinu nzur sana,itabid na mimi niitumie ila mim nitaishi nae kabisa ili kuepusha kugongewa
 
Makazi ya Mungu
Mbona hata shetani mbinguni hakati mguu.
Ayubu 1:6 "Siku moja wana wa Mungu walikwenda kujionyesha mbele za Bwana. Shetani naye akaja pamoja nao. 7Bwana akamwambia Shetani, “Umetoka wapi?”
Shetani akamjibu Bwana, “Natoka kuzunguka pote duniani, nikitembea huku na huko humo.”
 
Mbona hata shetani mbinguni hakati mguu.
Ayubu 1:6 "Siku moja wana wa Mungu walikwenda kujionyesha mbele za Bwana. Shetani naye akaja pamoja nao. 7Bwana akamwambia Shetani, “Umetoka wapi?”
Shetani akamjibu Bwana, “Natoka kuzunguka pote duniani, nikitembena huku na huko humo.”
We nae tutachoshana bure. Naishia hapa
 
Back
Top Bottom