Binti yangu, Kamwe usikubali kuishi na mwanaume anayekupiga au kukutukana matusi ya nguoni Kamwe!

Kupiga mke ni kilele cha udhaifu wa mwanaume yoyote Dunia

Na mara nyingi wanaume wanaopiga Wake Zao ukifuatilia hawajawahi kupigana na wanaume wenzao. Sijajua inasababishwa na nini.

Alafu wale wanaume wakorofi, wapiganaji wanaopigana mtaani na wanaume wenzao ni nadra Sana kupigana na wanawake
 
Wapendwa wa kipigana jua kuna moja anapenda mwenzie kupitiliza haiko tayari kumuacha.

Lakini yupo tayari kumuumiza karibu kumuua?
😃😃

Mkuu unajua kumpiga mtu au kumtukana matusi ya nguoni hakuwezi kufanywa na mtu anayekupenda na mwenye AKILI?
 
Na mara nyingi wanaume wanaopiga Wake Zao ukifuatilia hawajawahi kupigana na wanaume wenzao. Sijajua inasababishwa na nini.
Alafu wale wanaume wakorofi, wapiganaji wanaopigana mtaani na wanaume wenzao ni nadra Sana kupigana na wanawake
kuna dogo mmoja ni mwanajeshi,ni mteja wangu sasa siku kaja yeye na mkewe na mtoto mdogo na mke ni mjamzito,akaingia ofisini akaanza kuniambia ninaumwa kiuono huku analia ,nikajua mimba nikaagiza afanyiwe utrasound lakini analia sana ,kuita mume kumbe kashaondoka huko nje,baadae akaniambia kanipiga tena mbele ya mama mzazi wa mwanaume na ndugu wengine,aliporudi nikamwambia dogo acha unaa unapigaje mwanamke mangumi mpaka kababuka?
 

Fuatilia. Huyo hajawahi kupigana na Wanaume.

Mwanamke hawezi mletea ujinga mwanaume anayejua fika anapiganaga na wanaume wenzake.

Mwanamke hawezi kuleta ukorofi na dharau kwa mwanaume anayejua atamuacha akifanya kosa hilo
 
Wanapigwa wanawake wasiojielewa. Watumwa, wajinga, tegemezi, wasiopenda HAKI.

Hao utakuwa na ujasiri wa kuwapiga. Vinginevyo hakuna rangi utaacha kuona.

Wewe huna ziada yoyote ya kumpiga mtu mwingine labda aamue kukuachia tuu
Ndoa hujengwa na watu wawili kila mmoja akikubali kukaa nafasi yake na kuendelea kudumu katika upendo na heshima
Kutofautiana ni sehemu ya maisha ya ndoa na kubebeana madhaifu pia, unapozungumzia utegemezi sijui unalenga upande gani lakini kwenye ndoa huwa tunategemeana kikubwa tu kila mmoja amsikilize mwenziwe

Huo upande wa haki unawapoteza wanawake wengi, hatukatai waishi na haki zao ila muwasaidie muwaoneshe mpaka ulipo
 
Endelea kuwa mbunifu kuhakikisha unawafundisha mabinti elimu za ndoa nawazitumie kwelikweli ivivi tu kazi ipo yaani wanafeli vibaya hasa vitandani na hapo tatizo linaanza ugomvi hadi anajibu vibaya tyr atatukanwa na atapigwa tu
 
Kumpiga mtu ni kosa kisheria sijui kama unajua jambo Hilo.

Pili, hakuna sababu hata moja ya kumpiga Mkeo/mumeo.
Kama mmeshindwana, hamuelewani peaneni Talaka.
Nikimpa talaka utalea watoto wangu wewe? mwanamke anatia hasira pale anapoelekezwa kitu hafanyi na wengine kujibu palepale kuwa hataki kabisa na fuatilia watoto wengi wanalelewa na mzazi mmoja sababu kubwa ni mwanamke kushindwa kumtii mme
 
Wanawake wa kikurya wanacoment wapi?
Wanawake wa Mara wanacoment wapi?
 
Hakuna kusanyiko linaongozwa bila order, iwe serikali, shuleni, kanisani au msikitini.
Order inawekwa ku maintain peace and stability.
Order haingalii fairness bali long-term stability and hermony, ndio maana kuna sheria zinawabeba watu flani na kunyonya kundi flani.
Violation ya order inaangukia kwenye descpline measure, sijasema kuonewa
 
Mdogo wangu je umeoa?
Anyway naomba nikushauri yafuatayo.

Wanawake wote wanafanana asije kukudanganya. Mama yao ni mmoja.

Kama suluhisho kuu ni "kuachana na mwanamke" kama unavyopendekekeza. Basi utakuwa unaona kutwa mara mbili, maana yake ndani ya mwezi utakuwa umeoa wanawake 60.

Kipigo kwa mwanamke mkaidi, mwenye mdomo, jeuri na asiyekuwa na adabu ni sahihi kabisa na tena ni halali. Ni sawa tu na mwanafunzi mkaidi ambaye adhabu ya viboko vinamnyoosha.

Mwisho, hizi habari za haki sawa, sijui kumuwezesha mwanamke na bla bla nyingi waachieni wazungu. Ishini katika utamaduni wa mwafrika ambayo ndiyo inasisitizwa kwenye vitabu vitakatifu.
 

Wewe ukikosa discipline unashughulikiwaje?
 
Mdogo wangu je umeoa?

Mwaka wa nane huu. Watoto wawili ninao.
Ulikuwa unataka kusemaje?
Anyway naomba nikushauri yafuatayo.

Wanawake wote wanafanana asije kukudanganya. Mama yao ni mmoja.

Hapa unatoa maoni. Mama yao Mmoja kwenye ishu ipi?
Hata kama angekuwa Mmoja sio sababu ya kumpiga u kumtukana mtu matusi ya nguoni
Kama suluhisho kuu ni "kuachana na mwanamke" kama unavyopendekekeza. Basi utakuwa unaona kutwa mara mbili, maana yake ndani ya mwezi utakuwa umeoa wanawake 60.

Kuliko umpige ni Bora uoe hata kila usiku.


Kipigo kwa mwanamke mkaidi, mwenye mdomo, jeuri na asiyekuwa na adabu ni sahihi kabisa na tena ni halali. Ni sawa tu na mwanafunzi mkaidi ambaye adhabu ya viboko vinamnyoosha.

Na kumwagia Mafuta ya Moto mume mkaidi, jeuri, asiye na adabu kwa mkewe kwako utakuwa Halali?
Mwisho, hizi habari za haki sawa, sijui kumuwezesha mwanamke na bla bla nyingi waachieni wazungu. Ishini katika utamaduni wa mwafrika ambayo ndiyo inasisitizwa kwenye vitabu vitakatifu.

Vitabu vitakatifu vipi embu nitajie kimoja. Nione.

Hivyo vitabu sio vya wazungu
 
Hiyo inaitwa "PROVE THAT EQN" in mathematics.

Or Validate the statement by logic law.

Kwanini Mwanamke Asipigwe Kwa kauli kama hiyo?

Wewe ukiambiwa uvue nguo kama ni mwanaume au umpige mama ako kama ni mwanaume utafanya ili kuthibitisha uanaume wako?
 
Uzuri wa mwanamke uko mdomoni, wanaopigwa wengi wana midomo michafu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…