Binti yangu, Kamwe usikubali kuishi na mwanaume anayekupiga au kukutukana matusi ya nguoni Kamwe!

Binti yangu, Kamwe usikubali kuishi na mwanaume anayekupiga au kukutukana matusi ya nguoni Kamwe!

Kupiga mke ni kilele cha udhaifu wa mwanaume yoyote Dunia

Na mara nyingi wanaume wanaopiga Wake Zao ukifuatilia hawajawahi kupigana na wanaume wenzao. Sijajua inasababishwa na nini.

Alafu wale wanaume wakorofi, wapiganaji wanaopigana mtaani na wanaume wenzao ni nadra Sana kupigana na wanawake
 
Wapendwa wa kipigana jua kuna moja anapenda mwenzie kupitiliza haiko tayari kumuacha.

Lakini yupo tayari kumuumiza karibu kumuua?
😃😃

Mkuu unajua kumpiga mtu au kumtukana matusi ya nguoni hakuwezi kufanywa na mtu anayekupenda na mwenye AKILI?
 
Na mara nyingi wanaume wanaopiga Wake Zao ukifuatilia hawajawahi kupigana na wanaume wenzao. Sijajua inasababishwa na nini.
Alafu wale wanaume wakorofi, wapiganaji wanaopigana mtaani na wanaume wenzao ni nadra Sana kupigana na wanawake
kuna dogo mmoja ni mwanajeshi,ni mteja wangu sasa siku kaja yeye na mkewe na mtoto mdogo na mke ni mjamzito,akaingia ofisini akaanza kuniambia ninaumwa kiuono huku analia ,nikajua mimba nikaagiza afanyiwe utrasound lakini analia sana ,kuita mume kumbe kashaondoka huko nje,baadae akaniambia kanipiga tena mbele ya mama mzazi wa mwanaume na ndugu wengine,aliporudi nikamwambia dogo acha unaa unapigaje mwanamke mangumi mpaka kababuka?
 
Na mara nyingi wanaume wanaopiga Wake Zao ukifuatilia hawajawahi kupigana na wanaume wenzao. Sijajua inasababishwa na nini.

kuna dogo mmoja ni mwanajeshi,ni mteja wangu sasa siku kaja yeye na mkewe na mtoto mdogo na mke ni mjamzito,akaingia ofisini akaanza kuniambia ninaumwa kiuono huku analia ,nikajua mimba nikaagiza afanyiwe utrasound lakini analia sana ,kuita mume kumbe kashaondoka huko nje,baadae akaniambia kanipiga tena mbele ya mama mzazi wa mwanaume na ndugu wengine,aliporudi nikamwambia dogo acha unaa unapigaje mwanamke mangumi mpaka kababuka?

Fuatilia. Huyo hajawahi kupigana na Wanaume.

Mwanamke hawezi mletea ujinga mwanaume anayejua fika anapiganaga na wanaume wenzake.

Mwanamke hawezi kuleta ukorofi na dharau kwa mwanaume anayejua atamuacha akifanya kosa hilo
 
Wanapigwa wanawake wasiojielewa. Watumwa, wajinga, tegemezi, wasiopenda HAKI.

Hao utakuwa na ujasiri wa kuwapiga. Vinginevyo hakuna rangi utaacha kuona.

Wewe huna ziada yoyote ya kumpiga mtu mwingine labda aamue kukuachia tuu
Ndoa hujengwa na watu wawili kila mmoja akikubali kukaa nafasi yake na kuendelea kudumu katika upendo na heshima
Kutofautiana ni sehemu ya maisha ya ndoa na kubebeana madhaifu pia, unapozungumzia utegemezi sijui unalenga upande gani lakini kwenye ndoa huwa tunategemeana kikubwa tu kila mmoja amsikilize mwenziwe

Huo upande wa haki unawapoteza wanawake wengi, hatukatai waishi na haki zao ila muwasaidie muwaoneshe mpaka ulipo
 
BINTI YANGU, KAMWE USIKUBALI KUISHI NA MWANAUME ANAYEKUPIGA AU KUKUTUKANA MATUSI YA NGUONI. KAMWE!

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Sisi watibeli hatupigi Wake zetu, Wala binti zetu hawapigwi Wala kutukanwa MATUSI ya nguoni.

Wala hatutishii kuwapiga, Wala wao hawatishiwi kupigwa. Na katika hayo hakuna kuteleza, hakuna bahati mbaya, hakuna kuzidiwa na hasira.

Tangu mwanzo mwambie mchumbaako kuwa moja ya mambo ambayo hutoruhusu na Wala kuvumilia ni kupigwa hata Kofi moja, Wala kutukanwa matusi yoyote ya nguoni.

Na endapo itatokea mwanaume akafanya hivyo usisite kumchukulia hatua zinazomstahili. Mtendee HAKI. Jicho lako lisiwe na huruma. Kama yeye alivyokosa huruma vivyohivyo nawe mchukulie hatua stahiki.

BINTI yangu, Mimi Baba yako nimeshuhudia mengi, zaidi ninaijua saikolojia ya watu wenye uwezo wa kupiga Wake Zao. Wenye uwezo wa kutukana MATUSI ya nguoni Wake Zao.

Hawana adabu.
Hawawezi kudhibiti hisia zao.
Hawajui nini chakufanya, hawana maamuzi sahihi.
Wanadharau na kukuona wewe ni Kama mnyama au mtoto au mtumwa au sio lolote sio chochote.

Binti yangu, mwanaume akikupiga jiulize huo ujasiri WA kukupiga umetoka wapi? Je ni ukichaa?
Je ni dharau juu yako?
Je ni ukosefu wa adabu?
Je ni ukosefu wa maarifa?

Wewe ni mtu.
Wewe ni mwanamke kama alivyo yeye ni mwanaume.
Hakuna sababu hata moja ya maana, na ya HAKI inayomfanya astahili kukupiga au kukutukana matusi ya nguoni. Hakuna hiyo sababu.

Nilikuambia, binti yangu ili uwe mtu lazima uweze kujitegemea. Lazima ufanye Kazi. Lazima uweze kuyaongoza maisha yako wewe mwenyewe. Sio umtegemee mumeo kwa kila kitu kama mtoto mdogo. Ndio maana utapigwa na kutukanwa matusi ya nguoni kama Mtu aliyedharauliwa, aliyelaanika.

Mwambie, watibeli hawanaga huruma kwa watu wenye dharau za makusudi kabisa. Watibeli hawanaga huruma na waovu wanaofanya uovu kimakusudi wakitegemea kuomba msamaha.

Asije akakudanganya mtu kuwa hutaolewa binti yangu.
Kama kuolewa kwenyewe ni kuolewa na wanaume wasiotenda HAKI ni Bora usiolewe kabisa.
Nilikuambia siku zote utende HAKI.
HAKI ni pamoja na kujiheshimu na kuheshimu wengine.

Usimuinulie sauti mwanaume , mheshimu mwanaume lakini kwa mambo ya HAKI. Kamwe! Kamwe! Kamwe! Usije ukakubali kumheshimu mtu yeyote aliyeamua kuivua heshima yake kwenyewe. Hiyo Sio HAKI.

Wasije wanaume wapumbavu wakakuambia maneno ya kipuuzi kuwa Mungu alituumba Sisi waume tuwatawale hata katika mabaya.
Asije akakuambia mtu yeyote kuwa unatakiwa umtii mumeo hata kwa Mabaya. Nope! Sio kwa Sisi Watibeli.

Mwanaume utamtii kwa mambo mema. Na sio Mabaya.

Mvumilie Mumeo kwa changamoto za maisha kama Hali za kiuchumi, labda kipato kidogo kutokana na riziki kuwa Haba.
Mvumilie Mumeo kwa Maradhi.
Lakini kamwe usimvumilie kwa mambo ya uovu.
Ndoa sio sehemu ya kuvumiliana maovu. Kuvumilia uovu ni kuusapoti uovu.

Makosa yanavumilika lakini sio uhalifu. Makosa yanavumilika lakini sio uovu/dhambi.
Makosa ni Kama wewe upige ugali uunguze, au unyooshe nguo iungue. Uvunje kitu kwa bahati mbaya.
Upoteze pesa kwa bahati mbaya (uzembe).

Sio mtu anakutukana matusi kwa dhamiri kabisa ili akuumize, anamtukana Mama yako, alafu mbaya zaidi sio mara moja yaani ni kila mara.

Mwambie Wala usimuogope, kama pombe akinywa zitamfanya akose akili ya kujizuia akafanya uovu akakupiga au kukutukana mwambie wewe hutohesabu kama ni pombe.

Ni aidha achague Pombe au Wewe.
Usiogope Wala kusita kuvunja ndoa na mwanaume anayepigapiga au kukutukana matusi ya nguoni. Mwanaume asiye HAKI.
Watibeli hatupo hivyo binti yangu.

Hayo yote ayajue mapema kabisa Kipindi cha mwanzoni ili yatakapoenda kinyume asije kusema hukumwambia. Mhakikishie kuwa hutokuwa na huruma.

Nimekufundisha kutenda HAKI. Basi iishi hiyo HAKI.

Acha Baba yako nipumzike sasa.

Nawatakia maandalizi Mema ya Sabato.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Endelea kuwa mbunifu kuhakikisha unawafundisha mabinti elimu za ndoa nawazitumie kwelikweli ivivi tu kazi ipo yaani wanafeli vibaya hasa vitandani na hapo tatizo linaanza ugomvi hadi anajibu vibaya tyr atatukanwa na atapigwa tu
 
Kumpiga mtu ni kosa kisheria sijui kama unajua jambo Hilo.

Pili, hakuna sababu hata moja ya kumpiga Mkeo/mumeo.
Kama mmeshindwana, hamuelewani peaneni Talaka.
Nikimpa talaka utalea watoto wangu wewe? mwanamke anatia hasira pale anapoelekezwa kitu hafanyi na wengine kujibu palepale kuwa hataki kabisa na fuatilia watoto wengi wanalelewa na mzazi mmoja sababu kubwa ni mwanamke kushindwa kumtii mme
 
BINTI YANGU, KAMWE USIKUBALI KUISHI NA MWANAUME ANAYEKUPIGA AU KUKUTUKANA MATUSI YA NGUONI. KAMWE!

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Sisi watibeli hatupigi Wake zetu, Wala binti zetu hawapigwi Wala kutukanwa MATUSI ya nguoni.

Wala hatutishii kuwapiga, Wala wao hawatishiwi kupigwa. Na katika hayo hakuna kuteleza, hakuna bahati mbaya, hakuna kuzidiwa na hasira.

Tangu mwanzo mwambie mchumbaako kuwa moja ya mambo ambayo hutoruhusu na Wala kuvumilia ni kupigwa hata Kofi moja, Wala kutukanwa matusi yoyote ya nguoni.

Na endapo itatokea mwanaume akafanya hivyo usisite kumchukulia hatua zinazomstahili. Mtendee HAKI. Jicho lako lisiwe na huruma. Kama yeye alivyokosa huruma vivyohivyo nawe mchukulie hatua stahiki.

BINTI yangu, Mimi Baba yako nimeshuhudia mengi, zaidi ninaijua saikolojia ya watu wenye uwezo wa kupiga Wake Zao. Wenye uwezo wa kutukana MATUSI ya nguoni Wake Zao.

Hawana adabu.
Hawawezi kudhibiti hisia zao.
Hawajui nini chakufanya, hawana maamuzi sahihi.
Wanadharau na kukuona wewe ni Kama mnyama au mtoto au mtumwa au sio lolote sio chochote.

Binti yangu, mwanaume akikupiga jiulize huo ujasiri WA kukupiga umetoka wapi? Je ni ukichaa?
Je ni dharau juu yako?
Je ni ukosefu wa adabu?
Je ni ukosefu wa maarifa?

Wewe ni mtu.
Wewe ni mwanamke kama alivyo yeye ni mwanaume.
Hakuna sababu hata moja ya maana, na ya HAKI inayomfanya astahili kukupiga au kukutukana matusi ya nguoni. Hakuna hiyo sababu.

Nilikuambia, binti yangu ili uwe mtu lazima uweze kujitegemea. Lazima ufanye Kazi. Lazima uweze kuyaongoza maisha yako wewe mwenyewe. Sio umtegemee mumeo kwa kila kitu kama mtoto mdogo. Ndio maana utapigwa na kutukanwa matusi ya nguoni kama Mtu aliyedharauliwa, aliyelaanika.

Mwambie, watibeli hawanaga huruma kwa watu wenye dharau za makusudi kabisa. Watibeli hawanaga huruma na waovu wanaofanya uovu kimakusudi wakitegemea kuomba msamaha.

Asije akakudanganya mtu kuwa hutaolewa binti yangu.
Kama kuolewa kwenyewe ni kuolewa na wanaume wasiotenda HAKI ni Bora usiolewe kabisa.
Nilikuambia siku zote utende HAKI.
HAKI ni pamoja na kujiheshimu na kuheshimu wengine.

Usimuinulie sauti mwanaume , mheshimu mwanaume lakini kwa mambo ya HAKI. Kamwe! Kamwe! Kamwe! Usije ukakubali kumheshimu mtu yeyote aliyeamua kuivua heshima yake kwenyewe. Hiyo Sio HAKI.

Wasije wanaume wapumbavu wakakuambia maneno ya kipuuzi kuwa Mungu alituumba Sisi waume tuwatawale hata katika mabaya.
Asije akakuambia mtu yeyote kuwa unatakiwa umtii mumeo hata kwa Mabaya. Nope! Sio kwa Sisi Watibeli.

Mwanaume utamtii kwa mambo mema. Na sio Mabaya.

Mvumilie Mumeo kwa changamoto za maisha kama Hali za kiuchumi, labda kipato kidogo kutokana na riziki kuwa Haba.
Mvumilie Mumeo kwa Maradhi.
Lakini kamwe usimvumilie kwa mambo ya uovu.
Ndoa sio sehemu ya kuvumiliana maovu. Kuvumilia uovu ni kuusapoti uovu.

Makosa yanavumilika lakini sio uhalifu. Makosa yanavumilika lakini sio uovu/dhambi.
Makosa ni Kama wewe upige ugali uunguze, au unyooshe nguo iungue. Uvunje kitu kwa bahati mbaya.
Upoteze pesa kwa bahati mbaya (uzembe).

Sio mtu anakutukana matusi kwa dhamiri kabisa ili akuumize, anamtukana Mama yako, alafu mbaya zaidi sio mara moja yaani ni kila mara.

Mwambie Wala usimuogope, kama pombe akinywa zitamfanya akose akili ya kujizuia akafanya uovu akakupiga au kukutukana mwambie wewe hutohesabu kama ni pombe.

Ni aidha achague Pombe au Wewe.
Usiogope Wala kusita kuvunja ndoa na mwanaume anayepigapiga au kukutukana matusi ya nguoni. Mwanaume asiye HAKI.
Watibeli hatupo hivyo binti yangu.

Hayo yote ayajue mapema kabisa Kipindi cha mwanzoni ili yatakapoenda kinyume asije kusema hukumwambia. Mhakikishie kuwa hutokuwa na huruma.

Nimekufundisha kutenda HAKI. Basi iishi hiyo HAKI.

Acha Baba yako nipumzike sasa.

Nawatakia maandalizi Mema ya Sabato.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Wanawake wa kikurya wanacoment wapi?
BINTI YANGU, KAMWE USIKUBALI KUISHI NA MWANAUME ANAYEKUPIGA AU KUKUTUKANA MATUSI YA NGUONI. KAMWE!

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Sisi watibeli hatupigi Wake zetu, Wala binti zetu hawapigwi Wala kutukanwa MATUSI ya nguoni.

Wala hatutishii kuwapiga, Wala wao hawatishiwi kupigwa. Na katika hayo hakuna kuteleza, hakuna bahati mbaya, hakuna kuzidiwa na hasira.

Tangu mwanzo mwambie mchumbaako kuwa moja ya mambo ambayo hutoruhusu na Wala kuvumilia ni kupigwa hata Kofi moja, Wala kutukanwa matusi yoyote ya nguoni.

Na endapo itatokea mwanaume akafanya hivyo usisite kumchukulia hatua zinazomstahili. Mtendee HAKI. Jicho lako lisiwe na huruma. Kama yeye alivyokosa huruma vivyohivyo nawe mchukulie hatua stahiki.

BINTI yangu, Mimi Baba yako nimeshuhudia mengi, zaidi ninaijua saikolojia ya watu wenye uwezo wa kupiga Wake Zao. Wenye uwezo wa kutukana MATUSI ya nguoni Wake Zao.

Hawana adabu.
Hawawezi kudhibiti hisia zao.
Hawajui nini chakufanya, hawana maamuzi sahihi.
Wanadharau na kukuona wewe ni Kama mnyama au mtoto au mtumwa au sio lolote sio chochote.

Binti yangu, mwanaume akikupiga jiulize huo ujasiri WA kukupiga umetoka wapi? Je ni ukichaa?
Je ni dharau juu yako?
Je ni ukosefu wa adabu?
Je ni ukosefu wa maarifa?

Wewe ni mtu.
Wewe ni mwanamke kama alivyo yeye ni mwanaume.
Hakuna sababu hata moja ya maana, na ya HAKI inayomfanya astahili kukupiga au kukutukana matusi ya nguoni. Hakuna hiyo sababu.

Nilikuambia, binti yangu ili uwe mtu lazima uweze kujitegemea. Lazima ufanye Kazi. Lazima uweze kuyaongoza maisha yako wewe mwenyewe. Sio umtegemee mumeo kwa kila kitu kama mtoto mdogo. Ndio maana utapigwa na kutukanwa matusi ya nguoni kama Mtu aliyedharauliwa, aliyelaanika.

Mwambie, watibeli hawanaga huruma kwa watu wenye dharau za makusudi kabisa. Watibeli hawanaga huruma na waovu wanaofanya uovu kimakusudi wakitegemea kuomba msamaha.

Asije akakudanganya mtu kuwa hutaolewa binti yangu.
Kama kuolewa kwenyewe ni kuolewa na wanaume wasiotenda HAKI ni Bora usiolewe kabisa.
Nilikuambia siku zote utende HAKI.
HAKI ni pamoja na kujiheshimu na kuheshimu wengine.

Usimuinulie sauti mwanaume , mheshimu mwanaume lakini kwa mambo ya HAKI. Kamwe! Kamwe! Kamwe! Usije ukakubali kumheshimu mtu yeyote aliyeamua kuivua heshima yake kwenyewe. Hiyo Sio HAKI.

Wasije wanaume wapumbavu wakakuambia maneno ya kipuuzi kuwa Mungu alituumba Sisi waume tuwatawale hata katika mabaya.
Asije akakuambia mtu yeyote kuwa unatakiwa umtii mumeo hata kwa Mabaya. Nope! Sio kwa Sisi Watibeli.

Mwanaume utamtii kwa mambo mema. Na sio Mabaya.

Mvumilie Mumeo kwa changamoto za maisha kama Hali za kiuchumi, labda kipato kidogo kutokana na riziki kuwa Haba.
Mvumilie Mumeo kwa Maradhi.
Lakini kamwe usimvumilie kwa mambo ya uovu.
Ndoa sio sehemu ya kuvumiliana maovu. Kuvumilia uovu ni kuusapoti uovu.

Makosa yanavumilika lakini sio uhalifu. Makosa yanavumilika lakini sio uovu/dhambi.
Makosa ni Kama wewe upige ugali uunguze, au unyooshe nguo iungue. Uvunje kitu kwa bahati mbaya.
Upoteze pesa kwa bahati mbaya (uzembe).

Sio mtu anakutukana matusi kwa dhamiri kabisa ili akuumize, anamtukana Mama yako, alafu mbaya zaidi sio mara moja yaani ni kila mara.

Mwambie Wala usimuogope, kama pombe akinywa zitamfanya akose akili ya kujizuia akafanya uovu akakupiga au kukutukana mwambie wewe hutohesabu kama ni pombe.

Ni aidha achague Pombe au Wewe.
Usiogope Wala kusita kuvunja ndoa na mwanaume anayepigapiga au kukutukana matusi ya nguoni. Mwanaume asiye HAKI.
Watibeli hatupo hivyo binti yangu.

Hayo yote ayajue mapema kabisa Kipindi cha mwanzoni ili yatakapoenda kinyume asije kusema hukumwambia. Mhakikishie kuwa hutokuwa na huruma.

Nimekufundisha kutenda HAKI. Basi iishi hiyo HAKI.

Acha Baba yako nipumzike sasa.

Nawatakia maandalizi Mema ya Sabato.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Wanawake wa Mara wanacoment wapi?
 
Mbona wanaume wanaopiga Wake zao ndio wanaongoza kwa udhaifu karibu kila idara?

Hiyo kusema mwanamke ni kama mtoto ni maoni tuu binafsi maana hata wao wanasema vivyohivyo kuwa wanaume ni kama watoto na wanafundishwa hivyo kitchen Party.

Swali Linakuja, kama nyumba ikiongozwa na maoni na Wala sio facts kama uliyosema.
Ikiwa unamchukulia Mkeo kama mtoto kumbe naye anakuchulia vivyohivyo.
Wewe ukikosea kwa maana kwa hakika utakosea tuu. Je akumwagie maji ya Moto maana nguvu ya kukupiga Hana?
Hakuna kusanyiko linaongozwa bila order, iwe serikali, shuleni, kanisani au msikitini.
Order inawekwa ku maintain peace and stability.
Order haingalii fairness bali long-term stability and hermony, ndio maana kuna sheria zinawabeba watu flani na kunyonya kundi flani.
Violation ya order inaangukia kwenye descpline measure, sijasema kuonewa
 
Mdogo wangu je umeoa?
Anyway naomba nikushauri yafuatayo.

Wanawake wote wanafanana asije kukudanganya. Mama yao ni mmoja.

Kama suluhisho kuu ni "kuachana na mwanamke" kama unavyopendekekeza. Basi utakuwa unaona kutwa mara mbili, maana yake ndani ya mwezi utakuwa umeoa wanawake 60.

Kipigo kwa mwanamke mkaidi, mwenye mdomo, jeuri na asiyekuwa na adabu ni sahihi kabisa na tena ni halali. Ni sawa tu na mwanafunzi mkaidi ambaye adhabu ya viboko vinamnyoosha.

Mwisho, hizi habari za haki sawa, sijui kumuwezesha mwanamke na bla bla nyingi waachieni wazungu. Ishini katika utamaduni wa mwafrika ambayo ndiyo inasisitizwa kwenye vitabu vitakatifu.
 
Hakuna kusanyiko linaongozwa bila order, iwe serikali, shuleni, kanisani au msikitini.
Order inawekwa ku maintain peace and stability.
Order haingalii fairness bali long-term stability and hermony, ndio maana kuna sheria zinawabeba watu flani na kunyonya kundi flani.
Violation ya order inaangukia kwenye descpline measure, sijasema kuonewa

Wewe ukikosa discipline unashughulikiwaje?
 
Mdogo wangu je umeoa?

Mwaka wa nane huu. Watoto wawili ninao.
Ulikuwa unataka kusemaje?
Anyway naomba nikushauri yafuatayo.

Wanawake wote wanafanana asije kukudanganya. Mama yao ni mmoja.

Hapa unatoa maoni. Mama yao Mmoja kwenye ishu ipi?
Hata kama angekuwa Mmoja sio sababu ya kumpiga u kumtukana mtu matusi ya nguoni
Kama suluhisho kuu ni "kuachana na mwanamke" kama unavyopendekekeza. Basi utakuwa unaona kutwa mara mbili, maana yake ndani ya mwezi utakuwa umeoa wanawake 60.

Kuliko umpige ni Bora uoe hata kila usiku.


Kipigo kwa mwanamke mkaidi, mwenye mdomo, jeuri na asiyekuwa na adabu ni sahihi kabisa na tena ni halali. Ni sawa tu na mwanafunzi mkaidi ambaye adhabu ya viboko vinamnyoosha.

Na kumwagia Mafuta ya Moto mume mkaidi, jeuri, asiye na adabu kwa mkewe kwako utakuwa Halali?
Mwisho, hizi habari za haki sawa, sijui kumuwezesha mwanamke na bla bla nyingi waachieni wazungu. Ishini katika utamaduni wa mwafrika ambayo ndiyo inasisitizwa kwenye vitabu vitakatifu.

Vitabu vitakatifu vipi embu nitajie kimoja. Nione.

Hivyo vitabu sio vya wazungu
 
Hiyo inaitwa "PROVE THAT EQN" in mathematics.

Or Validate the statement by logic law.

Kwanini Mwanamke Asipigwe Kwa kauli kama hiyo?

Wewe ukiambiwa uvue nguo kama ni mwanaume au umpige mama ako kama ni mwanaume utafanya ili kuthibitisha uanaume wako?
 
BINTI YANGU, KAMWE USIKUBALI KUISHI NA MWANAUME ANAYEKUPIGA AU KUKUTUKANA MATUSI YA NGUONI. KAMWE!

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Sisi watibeli hatupigi Wake zetu, Wala binti zetu hawapigwi Wala kutukanwa MATUSI ya nguoni.

Wala hatutishii kuwapiga, Wala wao hawatishiwi kupigwa. Na katika hayo hakuna kuteleza, hakuna bahati mbaya, hakuna kuzidiwa na hasira.

Tangu mwanzo mwambie mchumbaako kuwa moja ya mambo ambayo hutoruhusu na Wala kuvumilia ni kupigwa hata Kofi moja, Wala kutukanwa matusi yoyote ya nguoni.

Na endapo itatokea mwanaume akafanya hivyo usisite kumchukulia hatua zinazomstahili. Mtendee HAKI. Jicho lako lisiwe na huruma. Kama yeye alivyokosa huruma vivyohivyo nawe mchukulie hatua stahiki.

BINTI yangu, Mimi Baba yako nimeshuhudia mengi, zaidi ninaijua saikolojia ya watu wenye uwezo wa kupiga Wake Zao. Wenye uwezo wa kutukana MATUSI ya nguoni Wake Zao.

Hawana adabu.
Hawawezi kudhibiti hisia zao.
Hawajui nini chakufanya, hawana maamuzi sahihi.
Wanadharau na kukuona wewe ni Kama mnyama au mtoto au mtumwa au sio lolote sio chochote.

Binti yangu, mwanaume akikupiga jiulize huo ujasiri WA kukupiga umetoka wapi? Je ni ukichaa?
Je ni dharau juu yako?
Je ni ukosefu wa adabu?
Je ni ukosefu wa maarifa?

Wewe ni mtu.
Wewe ni mwanamke kama alivyo yeye ni mwanaume.
Hakuna sababu hata moja ya maana, na ya HAKI inayomfanya astahili kukupiga au kukutukana matusi ya nguoni. Hakuna hiyo sababu.

Nilikuambia, binti yangu ili uwe mtu lazima uweze kujitegemea. Lazima ufanye Kazi. Lazima uweze kuyaongoza maisha yako wewe mwenyewe. Sio umtegemee mumeo kwa kila kitu kama mtoto mdogo. Ndio maana utapigwa na kutukanwa matusi ya nguoni kama Mtu aliyedharauliwa, aliyelaanika.

Mwambie, watibeli hawanaga huruma kwa watu wenye dharau za makusudi kabisa. Watibeli hawanaga huruma na waovu wanaofanya uovu kimakusudi wakitegemea kuomba msamaha.

Asije akakudanganya mtu kuwa hutaolewa binti yangu.
Kama kuolewa kwenyewe ni kuolewa na wanaume wasiotenda HAKI ni Bora usiolewe kabisa.
Nilikuambia siku zote utende HAKI.
HAKI ni pamoja na kujiheshimu na kuheshimu wengine.

Usimuinulie sauti mwanaume , mheshimu mwanaume lakini kwa mambo ya HAKI. Kamwe! Kamwe! Kamwe! Usije ukakubali kumheshimu mtu yeyote aliyeamua kuivua heshima yake kwenyewe. Hiyo Sio HAKI.

Wasije wanaume wapumbavu wakakuambia maneno ya kipuuzi kuwa Mungu alituumba Sisi waume tuwatawale hata katika mabaya.
Asije akakuambia mtu yeyote kuwa unatakiwa umtii mumeo hata kwa Mabaya. Nope! Sio kwa Sisi Watibeli.

Mwanaume utamtii kwa mambo mema. Na sio Mabaya.

Mvumilie Mumeo kwa changamoto za maisha kama Hali za kiuchumi, labda kipato kidogo kutokana na riziki kuwa Haba.
Mvumilie Mumeo kwa Maradhi.
Lakini kamwe usimvumilie kwa mambo ya uovu.
Ndoa sio sehemu ya kuvumiliana maovu. Kuvumilia uovu ni kuusapoti uovu.

Makosa yanavumilika lakini sio uhalifu. Makosa yanavumilika lakini sio uovu/dhambi.
Makosa ni Kama wewe upige ugali uunguze, au unyooshe nguo iungue. Uvunje kitu kwa bahati mbaya.
Upoteze pesa kwa bahati mbaya (uzembe).

Sio mtu anakutukana matusi kwa dhamiri kabisa ili akuumize, anamtukana Mama yako, alafu mbaya zaidi sio mara moja yaani ni kila mara.

Mwambie Wala usimuogope, kama pombe akinywa zitamfanya akose akili ya kujizuia akafanya uovu akakupiga au kukutukana mwambie wewe hutohesabu kama ni pombe.

Ni aidha achague Pombe au Wewe.
Usiogope Wala kusita kuvunja ndoa na mwanaume anayepigapiga au kukutukana matusi ya nguoni. Mwanaume asiye HAKI.
Watibeli hatupo hivyo binti yangu.

Hayo yote ayajue mapema kabisa Kipindi cha mwanzoni ili yatakapoenda kinyume asije kusema hukumwambia. Mhakikishie kuwa hutokuwa na huruma.

Nimekufundisha kutenda HAKI. Basi iishi hiyo HAKI.

Acha Baba yako nipumzike sasa.

Nawatakia maandalizi Mema ya Sabato.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Uzuri wa mwanamke uko mdomoni, wanaopigwa wengi wana midomo michafu
 
Back
Top Bottom