Binti yangu (miaka 24) anataka kuondoka nyumbani akapange

Binti yangu (miaka 24) anataka kuondoka nyumbani akapange

Habari wadau,

Kama nilivyoaandika katika title ni kuwa binti yangu anataka kuleft home AKAPANGE! Hili Jambo limenishangaza Sana ukizingatia hapa nyumbani Kuna kila kitu na nahitaji yote Nampa je kunaweza kukawa na kitu nyuma ya pazia?
USIRUHUSUUU HUO UJINGAA labda kama ana miaka 40 huyo binti akaforce kuolewa huko anakoenda hapo mnambana sana ila kama ni under 35 atulie hapo
 
Habari wadau,

Kama nilivyoaandika katika title ni kuwa binti yangu anataka kuleft home AKAPANGE! Hili Jambo limenishangaza Sana ukizingatia hapa nyumbani Kuna kila kitu na nahitaji yote Nampa je kunaweza kukawa na kitu nyuma ya pazia?
Unampa kila kitu ila anamiss kupigwa mboo
Yawezekana kwako geti kali
 
Mtoto wa kike anajipambania nini 😂😂😂 mtoto wa kike ni kusubiri ndoa na kutunzwa basi... unapambana kwani we ni Goliati?

Kama ulitaka kuwa goliati si ungesema tu! 🥱
Anajipambania apate ndoa ya kuforce sogea tukaee... umrii unakwendaaa 😀 😀 😀
 
JE AKIHTAJI RAFIKI AKE WA KIUME KUMPA PIPE .........HAPO KWAKOO JE UTAMRUHUSU ?
 
wangu aliondoka akiwa na miaka 24.
Ana kipato kinachomwezesah kupanga.
Anakaa karibu na ofisini kwake, kwangu ni mbali na mji so inamgharomu muda na pesa kwenda na kurudi kazini!
Nilimruhusu , akajifunze na maisha binafsi, gharama binafsi na maamuzi binafsi kabla hajaingia kwenye ndoa.

Check ups tu za hapa na pale although wala sina tu time nazo KIHIIIIVYO!
 
wangu aliondoka akiwa na miaka 24.
Ana kipato kinachomwezesah kupanga.
Anakaa karibu na ofisini kwake, kwangu ni mbali na mji so inamgharomu muda na pesa kwenda na kurudi kazini!
Nilimruhusu , akajifunze na maisha binafsi, gharama binafsi na maamuzi binafsi kabla hajaingia kwenye ndoa.

Check ups tu za hapa na pale although wala sina tu time nazo KIHIIIIVYO!
Watu wanaona kama wana hati miliki na watoto wao wa kike,
Mtoto akishafika miaka 23+ hapa aende tu,
Unless unaona hana akili ana mapepe sana
 
Habari wadau,

Kama nilivyoaandika katika title ni kuwa binti yangu anataka kuleft home AKAPANGE! Hili Jambo limenishangaza Sana ukizingatia hapa nyumbani Kuna kila kitu na nahitaji yote Nampa je kunaweza kukawa na kitu nyuma ya pazia?
Nyumbani kwako inawezekana kuwa GATE KALI. Huyo mtu hata yeye ni binadamu mwenye hisia, sio jiwe. Hebu muache akapange mkuu.
 
Watu wanaona kama wana hati miliki na watoto wao wa kike,
Mtoto akishafika miaka 23+ hapa aende tu,
Unless unaona hana akili ana mapepe sana
yes
lazima tuwaandae watoto kujitegemea wakiwa responsible wenyewe. Hatuwezi kutarajia watoto watakua chini ya mbawa zetu tu.
Tai huachia makinda pia.
baada ya trainings za kuruka ofcourse! sasa kama huandai mtoto kwa ajili ya kukabiliana na ulimwengu huu dhalimu sijui hata tunatarajia nn!
Mimi kwa kweli mtoto akishamaliza chuo , anatosha kabisa kuachwa akaone ulimwengu halisi ni upi!
 
Nakumbuka siku namwambia mama yangu nataka kua na chumba changu nje ya nyumbani nilijibiwa hivi hapa nyumbani hauko huru?? huli?? hulali?? unakwenda unakotaka uliwahi kuzuiwa?? uhuru gani mwanangu unaoutaka zaidi ya huo?? hapa kwangu utatoka ukiwa either umeolewa au umekufa ukiwa katika hali ya maiti


na ndio siku nilipogairi huo upuuzi.
 
Utakuta binti lengo lake wala sio kupanga bali anataka uhuru wa kwenda kuwapanga.
Siku hizi ni mwendo wa foleni tu.
 
Back
Top Bottom