Binti yangu (miaka 24) anataka kuondoka nyumbani akapange

Binti yangu (miaka 24) anataka kuondoka nyumbani akapange

Habari wadau,

Kama nilivyoaandika katika title ni kuwa binti yangu anataka kuleft home AKAPANGE! Hili Jambo limenishangaza Sana ukizingatia hapa nyumbani Kuna kila kitu na nahitaji yote Nampa je kunaweza kukawa na kitu nyuma ya pazia?
Mwache akapange ajifunze maisha mkuu. Hata kama kunakitu nyuma ya pazia acha kimpate hiyo ndiyo elimu dunia. Kisicho kuua kitakuimarisha kiakili. Cha msingi mpe baraka zako kama baba mengine mwachie MUNGU full stop
 
Habari wadau,

Kama nilivyoaandika katika title ni kuwa binti yangu anataka kuleft home AKAPANGE! Hili Jambo limenishangaza Sana ukizingatia hapa nyumbani Kuna kila kitu na nahitaji yote Nampa je kunaweza kukawa na kitu nyuma ya pazia?
hata kama ana hiyo miaka bado ni mtoto tu pili kama hana kazi hilo ni tatizo jingine.Endapo kuna mtu pembeni ndo anafanya hayoyote huyo ni tapeli tu maana kama ana mpenda kweli aje nyumbani
 
Ndo acha wafanyane na kuzalishwa sana, muda wao ndo huo.
Wafaidi utamu wa maisha, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3] wanataka wafaidi wenyewe tu, ubinafsi!
 
[emoji3][emoji3][emoji3] wanataka wafaidi wenyewe tu, ubinafsi!
Hapo sasa, ila chuo life tamu sana, hasa uwe na maokoto plus boom.
Aaaah afu una babee ako una muelewa nae anakukubalii.

Huhuhuh nime enjoy sana!! Natamani nirudi kusoma postgraduate ila naona ladha haitakua km ya undergraduate.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wewe wizo acha uwaki, kwahiyo tusijipambanie tusubiri kuolewa na kubebwa km kifurushi??
Mtoto wa kike anajipambania nini 😂😂😂 mtoto wa kike ni kusubiri ndoa na kutunzwa basi... unapambana kwani we ni Goliati?

Kama ulitaka kuwa goliati si ungesema tu! 🥱
 
Mtoto wa kike anajipambania nini 😂😂😂 mtoto wa kike ni kusubiri ndoa na kutunzwa basi... unapambana kwani we ni Goliati?

Kama ulitaka kuwa goliati si ungesema tu! 🥱
Unataka nikateseke kwa mume?? Akhu! 😂😂😂
We mwenyewe mpk leo hujaolewa na ushakuwa mshangazi
 
Back
Top Bottom