Binti yangu (miaka 24) anataka kuondoka nyumbani akapange

Binti yangu (miaka 24) anataka kuondoka nyumbani akapange

Habari wadau,

Kama nilivyoaandika katika title ni kuwa binti yangu anataka kuleft home AKAPANGE! Hili Jambo limenishangaza Sana ukizingatia hapa nyumbani Kuna kila kitu na nahitaji yote Nampa je kunaweza kukawa na kitu nyuma ya pazia?
Unampa na nanihii?
 
Habari wadau,

Kama nilivyoaandika katika title ni kuwa binti yangu anataka kuleft home AKAPANGE! Hili Jambo limenishangaza Sana ukizingatia hapa nyumbani Kuna kila kitu na nahitaji yote Nampa je kunaweza kukawa na kitu nyuma ya pazia?
Anataka kula Tango 24×7days
 
Aise 24 alafu unamzui kwenda kupanga jamani! Acheni hizo mwachie binti akagegedwe vizuri huko nje
 
Habari wadau,

Kama nilivyoaandika katika title ni kuwa binti yangu anataka kuleft home AKAPANGE! Hili Jambo limenishangaza Sana ukizingatia hapa nyumbani Kuna kila kitu na nahitaji yote Nampa je kunaweza kukawa na kitu nyuma ya pazia?
Kuna kitu hakipo hapo nyumbani na wewe hata ufanye nin huwezi kumpa..Zingatia neno huwezi kumpa
 
Yaani mpaka anafika 24 hujamuozesha tu
Sasa kama ana nguvu ya kukuambia nahama basi ni tatizo lako
 
Back
Top Bottom