bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Apange jirani na kwakoAna 24 anataka kupanga 😂😂😂kuna mimi huku wala sifikiriii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apange jirani na kwakoAna 24 anataka kupanga 😂😂😂kuna mimi huku wala sifikiriii
Ni heshima pia kwa wazazi binti kutoka Nyumbani kwenda kwa Mume, Na sio kutokea Gheto kwake alikopanga, hasa akiwa hana ajira/ kazi yeyote ya kumfanya asiishi nyumbani kwa Wazazi.Na nishajiapiza sitoenda kupanga chumba hata siku moja labda nipate kazi mkoanii… nitakaa home mpk niolewee
😀😀😀😀Apange jirani na kwako
mimi sijakatazwa ila sitokiiiiiAiseee
Huo umri unatuchanganyaa wadada
Mimi mama angu amekataa katakata,, kaka zangu ndio hawataki kusikia mimi kutoka nyumban kwenda kupanga
Nilivyokuwa namaliza chuo nilisema sitokaa nyumbani nitaenda kupanga hiyo ni kutokana na kushawishiana na warafiki wenzangu kila mtu anasema anapangaa…
Sasa nilivyomaliza chuo kazi enyewe hakuna hela ya vocha mpk nipewe kusuka yaani kila kitu nikajisemea kimoyomoyo hivi kweli naenda kupanga nitaishijee si nitaishiaa kutumiwa na wanaumee tu
Maana hakuna mtu wa familia yangu angenilipia kodi
So now nimejitulizA tu na hivi ni lastborn nahama mikoa nikijisikia kwenda kwa dada simu moja nauli inatumwa huyooooooo navukaaa mikoaa hivyohivyo na kwa kaka zangu
Na nishajiapiza sitoenda kupanga chumba hata siku moja labda nipate kazi mkoanii… nitakaa home mpk niolewee
hapana mpe ruhusa akapange,huo ni utaratibu wa kawaidaHabari wadau,
Kama nilivyoaandika katika title ni kuwa binti yangu anataka kuleft home AKAPANGE! Hili Jambo limenishangaza Sana ukizingatia hapa nyumbani Kuna kila kitu na nahitaji yote Nampa je kunaweza kukawa na kitu nyuma ya pazia?
Kahalalisheee tu mkuu...
Ilaa Mali zako zote mwandikiee mama Yako km hakimu..
Cku yakitokea yakitokea katka hyo ndoa usijutee maaan inaonekana unaulazimisha moyo ufanyee ktu ambacho Kwa ndoa za kikristo au waislam czan km kpoo mkuu..
Point of Correction: Mkuu huwezi mpaka kila kitu. 🥒🍆🥒Habari wadau,
Kama nilivyoaandika katika title ni kuwa binti yangu anataka kuleft home AKAPANGE! Hili Jambo limenishangaza Sana ukizingatia hapa nyumbani Kuna kila kitu na nahitaji yote Nampa je kunaweza kukawa na kitu nyuma ya pazia?
SahihPoint of Correction: Mkuu huwezi mpaka kila kitu. 🥒🍆🥒
😂hapana mpe ruhusa akapange,huo ni utaratibu wa kawaida
Mkuu 24 mruhusu ni binti mkubwa sana huyoAnayo 24
😂😂Mpangishie mwambie atalipia chumba wewe mnunulie chakula
✓Duuuu hapana kwenda kupanga by 24? Nop.....apambane ikitokea anaolewa atokee kwangu sio gheto...
Una uhakika unampa kila kitu?baba ana limit ya kumhudumia mwanae wa kike!si kila kituHabari wadau,
Kama nilivyoaandika katika title ni kuwa binti yangu anataka kuleft home AKAPANGE! Hili Jambo limenishangaza Sana ukizingatia hapa nyumbani Kuna kila kitu na nahitaji yote Nampa je kunaweza kukawa na kitu nyuma ya pazia?
Bado unaishi na mama yako?Nakumbuka siku namwambia mama yangu nataka kua na chumba changu nje ya nyumbani nilijibiwa hivi hapa nyumbani hauko huru?? huli?? hulali?? unakwenda unakotaka uliwahi kuzuiwa?? uhuru gani mwanangu unaoutaka zaidi ya huo?? hapa kwangu utatoka ukiwa either umeolewa au umekufa ukiwa katika hali ya maiti
na ndio siku nilipogairi huo upuuzi.
binti kampata yahaya akafukuliwe mtaro kisawasawa bila bughudha, ila atarudi nyumbani akilia ujiandae kumpokea baada ya kupigwa tukio otherwise piga stop kama babaHabari wadau,
Kama nilivyoaandika katika title ni kuwa binti yangu anataka kuleft home AKAPANGE! Hili Jambo limenishangaza Sana ukizingatia hapa nyumbani Kuna kila kitu na nahitaji yote Nampa je kunaweza kukawa na kitu nyuma ya pazia?