Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuuMpe ruhusa na baraka zako lakini mwambie akikwama arudi hapo ndio nyumbani kwa wazazi wake
😄😄😄Kweli kabisa je kama amepata kazi CRDB Kahama utamkataza kwenda kuishi huko mpaka aolewe? Kuna umri mtoto akifika awe na uhuru wa kuishi maisha aliyoyachagua
mtoto ana umri gani je ni umri wa kujitegemea ama bado uner 18?Habari wadau,
Kama nilivyoaandika katika title ni kuwa binti yangu anataka kuleft home AKAPANGE! Hili Jambo limenishangaza Sana ukizingatia hapa nyumbani Kuna kila kitu na nahitaji yote Nampa je kunaweza kukawa na kitu nyuma ya pazia?
mpe uhuru kama yuko above 18Habari wadau,
Kama nilivyoaandika katika title ni kuwa binti yangu anataka kuleft home AKAPANGE! Hili Jambo limenishangaza Sana ukizingatia hapa nyumbani Kuna kila kitu na nahitaji yote Nampa je kunaweza kukawa na kitu nyuma ya pazia?
Thank
Ndio maana mzazi anatakiwa awe makini hawa mabinti hawakawii kuleta wajukuu wasio na baba anayeeleweka. Mzazi wewe ndiye mchunga usikubali huo upuuzi pia usiruhusu mavazi ya kipuuzi kwa mabint wako. Jitahidi walee katika Maadili.UNAMPATIA KILA KITU ILA HUWEZ KUMPA PIPE/UKUNI
ANATAKA AWE ANAILAZA KWA JAMAA
SureNdio maana mzazi anatakiwa awe makini hawa mabinti hawakawii kuleta wajukuu wasio na baba anayeeleweka. Mzazi wewe ndiye mchunga usikubali huo upuuzi pia usiruhusu mavazi ya kipuuzi kwa mabint wako. Jitahidi walee katika Maadili.
Mimi sitoki nyumbni ad wazazi wangu waone aibu waniache mim wakapangeHabari wadau,
Kama nilivyoaandika katika title ni kuwa binti yangu anataka kuleft home AKAPANGE! Hili Jambo limenishangaza Sana ukizingatia hapa nyumbani Kuna kila kitu na nahitaji yote Nampa je kunaweza kukawa na kitu nyuma ya pazia?
😂😂Mimi sitoki nyumbni ad wazazi wangu waone aibu waniache mim wakapange
ImekuajeAlishaondoka amerudi angalia [emoji24]
😂
🤣🤣🤣🤣Unambana sana uyo binti. Acha akapange ili awe huru hata kutoka out na kupigwa pipe
😅😅😅🤣🤣🤣🤣