Kidagaa kimemwozea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 3,680
- 6,554
- Thread starter
- #241
Naam mkuuUsikubali,narudia tena usikubali simama kama mzazi nafasi yako,kauli moja tu hio discussion isiwepo tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naam mkuuUsikubali,narudia tena usikubali simama kama mzazi nafasi yako,kauli moja tu hio discussion isiwepo tena
Umri huo kwa wazungu sawa lakini siyo kwa sisi Ngozi nyeusi, Vijana wa Afrika 99 bado marimbukeni na wajinga wa Maisha na starehe.Unakosea sana miaka 24 ni mtu mzima mwache akatafute maisha
Binti akisha panga chumba tu anakuwa hataki kuolewa kwa sababu akiolewa hata kosa uhuru wa kujiuza, utajiuza mpaka alifika miaka 35 anatafuta mwanaume yoyote waishi pamoja.Mbona wengine ni wastaarabu japo hawakosi wa hovyo
Kwa wazungu umri wa kuanzia miaka 18 vijana wanajielewa sana, mfano uwachukue mabinti wakizungu wa miaka 18 na mabinti wa kiafrika wa miaka 18 uwapeleke mfano uwapeleke India wakasome, Baada ya miaka 3 binti wa kiafrika watajazwa mimba.Miaka 24 ni mtu mzima let her go lakini mweleze faida na hasara zake akuelewe.
Mtoto akifikisha miaka 18 nabaki kuwa mshauri¹ sitamlazimisha kitu apambane tu na hali yake.
Ni kweli.Kwa wazungu umri wa kuanzia miaka 18 vijana wanajielewa sana, mfano uwachukue mabinti wakizungu wa miaka 18 na mabinti wa kiafrika wa miaka 18 uwapeleke mfano uwapeleke India wakasome, Baada ya miaka 3 binti wa kiafrika watajazwa mimba.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Nikweli mkuuUmri huo kwa wazungu sawa lakini siyo kwa sisi Ngozi nyeusi, Vijana wa Afrika 99 bado marimbukeni na wajinga wa Maisha na starehe.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Atakuwa ana ujauzitoHabari wadu, Kama nilivyoaandika katika title nikuwa binti yangu anataka kuleft home AKAPANGE! hili Jambo limenishangaza Sana ukizingatia hapa nyumbani Kuna kila kitu na nahitaji yote Nampa je kunaweza kukawa na kitu nyuma ya pazia?
Kweli kuna binti anasema yy kuolewa badoBinti akisha panga chumba tu anakuwa hataki kuolewa kwa sababu akiolewa hata kosa uhuru wa kujiuza, utajiuza mpaka alifika miaka 35 anatafuta mwanaume yoyote waishi pamoja.
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
HakikaUna wkati mgumu
🙏Aisondoke nyumbani Hadi ujue wapi anaishi anaishi na nani anafanya Nini huko.....
Mama aliupiga mwingi kwamba utatoka ukiwa mfu. Au sio?nakumbuka siku namwambia mama yangu nataka kua na chumba changu nje ya nyumbani nilijibiwa hivi hapa nyumbani hauko huru?? huli?? hulali?? unakwenda unakotaka uliwahi kuzuiwa?? uhuru gani mwanangu unaoutaka zaidi ya huo?? hapa kwangu utatoka ukiwa either umeolewa au umekufa ukiwa katika hali ya maiti
na ndio siku nilipogairi huo upuuzi.
yeah yan kwenda kupanga hilo wazo niliondoeMama aliupiga mwingi kwamba utatoka ukiwa mfu. Au sio?
😆Mama aliupiga mwingi kwamba utatoka ukiwa mfu. Au sio?
Ana hoja. Mdada hapaswi kwenda kupanga labda kwa mazingira hayo aliyosema mama au kama kapata kazi nje ya eneo alilopo na analazimikaa kuishi huko.yeah yan kwenda kupanga hilo wazo niliondoe
[emoji28][emoji28]upo tayar apelekewe moto apo kwako?maana age ya 24 wenzake wako na 2 children