Mkulungwa01
JF-Expert Member
- Jul 14, 2021
- 3,977
- 5,339
HAPANA! HUO UMRI NI WA MIHEMKO NA KUIGA IGA. USIMRUHUSU!. NASEMA HAPANA!.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sijazaliwa tumbo moja na babioSamahani sana bimkubwa. Nakutakia kuolewa kwema shangazi
Nilipo ona tu neno kuleft nikajua bado hjujawa baba/mama na kama ni babaa/mama huna mtoto mwenye umri wa kuleftHabari wadu, Kama nilivyoaandika katika title nikuwa binti yangu anataka kuleft home AKAPANGE! hili Jambo limenishangaza Sana ukizingatia hapa nyumbani Kuna kila kitu na nahitaji yote Nampa je kunaweza kukawa na kitu nyuma ya pazia?
Alafu nyie wanawake wa jf ambao mpo single lakini kila leo mnanipiga vibuti huko pm aisee mkachomwe moto tuu.😀😀😀😀😀kila kitu tayari bado bwana harusi tu
Najipa moyo tu bamdogo 😂Mamdogo, familia si imekataa lakini?
Ficha ujinga wakoNdiyo Kuna kitu nyuma ya pazia kitu chenyewe ni nafasi ya kuwa baba imekushinda kakuweka kundi moja ya mama yake
Kataa ndoa😁😁😁Alafu nyie wanawake wa jf ambao mpo single lakini kila leo mnanipiga vibuti huko pm aisee mkachomwe moto tuu.
Sasa bwana harusi nipo hapa kwa nini unanikataa
Kwa nini unakataa ndoa saasaKataa ndoa😁😁😁
Dahhh!!🤣🤣🤣Baba mkwe nipe namba ya mwanao
Sio kitu nyuma ya Parzia bali mtu.Habari wadu, Kama nilivyoaandika katika title nikuwa binti yangu anataka kuleft home AKAPANGE! hili Jambo limenishangaza Sana ukizingatia hapa nyumbani Kuna kila kitu na nahitaji yote Nampa je kunaweza kukawa na kitu nyuma ya pazia?
🙏Mwambie amlete mchumba wake huyo umjue hii ni kwa sababu za kiusalama maana kumzuia mpaka point hii ishakua ngumu .
24 bado mdogo, subiri atlist afike 28 alete na mchumba nyumbani, usimruhusu huyo hata akili yake haijakomaa vizuri na hajajua nachokitakaAnayo 24
Shukran24 bado mdogo, subiri atlist afike 28 alete na mchumba nyumbani, usimruhusu huyo hata akili yake haijakomaa vizuri na hajajua nachokitaka
Asubiri mpaka atakapo weka bango nje ya geti " tunauza ice cream na barafu " [emoji1787][emoji1787][emoji1787] ndio atajua mihemko au miaamkoHAPANA! HUO UMRI NI WA MIHEMKO NA KUIGA IGA. USIMRUHUSU!. NASEMA HAPANA!.
Anayo 24