Rwebangira and 10 others
Member
- Nov 28, 2019
- 42
- 130
Naomba nikusaidie kuedit tusi lakoMbumbumbu mama yako, ni biashara gani anafanya Gwajima fafanua.
Hapao watazunguka sana! Ila nakwambia hanaogopa sana hilo!Wanaogopa chama kitapasuka; kumbuka huyo Jerry Silaa alikuwa mjumbe wao wa kamati kuu, Pole pole nae alikuwa INSIDER kama mwenezi wao !! Gwajima alikuwa msiri wa JIwe, hivyo hawa wote if mishandled wanaweza kumwaga UGALI wao wakimwaga mboga!!!
"Mungu akikupa amekupa, Wanadamu wakikupa ukiwapingapinga kidogo wanasema tukunyang'anye tulichokupa, heri kupewa na Mungu kuliko kupewa na Wanadamu,mimi hunitishi kitu kwasababu kila nilichonacho nimepewa na Mungu" Mhe. Josephat Gwajima, mbunge wa Kawe kuptia @ccm_tanzania https://t.co/08EMrlwm6, View attachment 2050010
Gwajiboy ata wa-outlive wanasiasa wa miaka mi5 mi5 yeye ataendelea kuwepo kama Askofu wa kanisa lake hata baada ya utawala uliopo. Wanasiasa na watawala kuweni makini na viongozi wa dini."Mungu akikupa amekupa, Wanadamu wakikupa ukiwapingapinga kidogo wanasema tukunyang'anye tulichokupa, heri kupewa na Mungu kuliko kupewa na Wanadamu,mimi hunitishi kitu kwasababu kila nilichonacho nimepewa na Mungu" Mhe. Josephat Gwajima, mbunge wa Kawe kuptia @ccm_tanzania https://t.co/08EMrlwm6, View attachment 2050010
Asingejiita Rashid na kuingia misikitini kuomba ubunge.Kwa level ya Gwajima kodi sio tatizo! Halafu mjue Gwajima haendeshwi na njaa! Maana gwajima ni mkubwa kuliko Ubunge huu wa kizuzu?
Kama bingwa abwage manyanga tuone"Mungu akikupa amekupa, Wanadamu wakikupa ukiwapingapinga kidogo wanasema tukunyang'anye tulichokupa, heri kupewa na Mungu kuliko kupewa na Wanadamu,mimi hunitishi kitu kwasababu kila nilichonacho nimepewa na Mungu" Mhe. Josephat Gwajima, mbunge wa Kawe kuptia CCM
https://t.co/08EMrlwm6
View attachment 2050010
Magufuli kumbe aliitwa na Mungu? Mbona wafuasi wake wengi wanadai aliuawa?Anawafufua nyinyi misukule pekee,sio walioitwa na Mungu.
Sio kila mali za taasisi za dini hazilipi Kodi,usiwe mbumbumbu.RC na madhehebu mengine Wana mali wanazoziendesha kibiashara yaani sio huduma wanalipa Kodi.
Sasa walokole wanaojiita mitume na manabii wanamiloki mali kwa majina yao ukiwauliza kwa nini hawalipi Kodi wanasingizia za dini.
Sasa dini inatumika kama kichaka cha kukwepa Kodi,.Mwambieni gwajiboy tunakuja alipe Kodi.
"Mungu akikupa amekupa, Wanadamu wakikupa ukiwapingapinga kidogo wanasema tukunyang'anye tulichokupa, heri kupewa na Mungu kuliko kupewa na Wanadamu,mimi hunitishi kitu kwasababu kila nilichonacho nimepewa na Mungu" Mhe. Josephat Gwajima, mbunge wa Kawe kuptia CCM
https://t.co/08EMrlwm6
View attachment 2050010
Alipoingia mama alitaka kufanya, tukaagizwa tupeleke mapato, matumizi na mukhtasari wa vikao vya mwaka, nashangaa siku ya kuwasilisha pale Nyerere Tower tunaambiwa mpango umesitishwa kwa taasisi za dini...Mimi nafikiri kuwe na clear separation kati ya mali binafsi na mali za kanisa, misikiti, madhehebu yote.
Sadaka, dhaka,michango inawekwa kwenye account ya kanisa.
Kwamba mchungaji analipwa mshahara, anauza vitabu vyake binafsi hivyo viwekwe kwenye account binafsi.
Ila tufanye hivyo hivyo kwa makanisa yote, misikiti yote, madhehebu yote, dini zote.
KKKT, RC, Sunni, Shia, Hindu, Sikh, kwa Wakristo na Waislamu na wengine wote. Sheria hizo hizo zitumike Tanzania nzima bara na visiwani, dini zote, NGO zote.
CAG aangalie hesabu zao.
Zisilenge watu fulani, wachache, kuwanyamazisha wale wenye maoni tofauti na Serikali kwenye issue fulani, kusiwe na upendeleo wowote kidini, kimadhehebu.
TCRA, TRA visitumike kuwa vyombo vya kuthibiti maoni mbadala.
hicho kikao cha kuwajadili kimeamua nini ?
Sisi wapiga kura wako wa jimbo la kawe tucomment wapi?
Mbunge wetu tunakumbushia ahadi yako yakuhamishia marekani vipi tunaondoka tarehe ngapi?
Serikali ikiwapa watumishi wake magari au pikipiki huwa inaandikwaje???kanisa limempa mchungaji wake gari sasa unataka aandike jina la YESU ?
Kuna wakati watu wengine anaingia madarakani kupata nafasi kuwatumikia watu na nchi. Si kwamba hakikoswa hapo hana maisha. Lah asha. Ukishaingia ktk mfumo wowote huna haja ya kiburi. Utafuata taratibu, kanuni na sheria.Ubunge aliutaka wa nini na kama ni uzuzu kwann ajishushe hadi wanamhoji kama zuzu kweli na asiuachie??
Ni dalili mojawapo Kuu ya Uwendawazimu ( Pyschopath ) unaomnyemelea Mtu pasipo Yeye Kujua / Kujijua.Na we jamaa huwa na hasira sana.
Hivi hawa watu wengine huyo Mungu wanayemtaja ni huyu huyu nayemsikiaga mimi au kuna Mungu mwingine wanayemjua wao?[emoji16]"Mungu akikupa amekupa, Wanadamu wakikupa ukiwapingapinga kidogo wanasema tukunyang'anye tulichokupa, heri kupewa na Mungu kuliko kupewa na Wanadamu,mimi hunitishi kitu kwasababu kila nilichonacho nimepewa na Mungu" Mhe. Josephat Gwajima, mbunge wa Kawe kuptia CCM
https://t.co/08EMrlwm6
View attachment 2050010
Wewe ni MBUMBUMBUMbumbumbu mama yako, ni biashara gani anafanya Gwajima fafanua.
Tufunge mjadala hapa.Alipe Kodi,anaweza kutuonyesha walipeana wapi na Mungu..Jina la Mungu lositumike kutapeli na kukwepa Kodi.
Mkuu ile taasisi?? Yaan magari, Viwanja nk yanasoma JOSEPHAT GWAJIMA afu asilipe kodi eti kisa anawakalisha watu pale juani na joto hili la Dar? Ukiambiwa wewe MBUMBUMBU unapaniki.Kodi gani kwa taasisi za dini?
We ukimwangalia gwajiboy alitaka kuwatumikia wananchi? Maana suala la kufukua kwake misukule ni zaidi ya ubunge wa tz...oohhh nimekumbuka alitaka ubunge ili awapeleke wananchi wa jimbo lake ulaya km wanaingia kkoo vileKuna wakati watu wengine anaingia madarakani kupata nafasi kuwatumikia watu na nchi. Si kwamba hakikoswa hapo hana maisha. Lah asha. Ukishaingia ktk mfumo wowote huna haja ya kiburi. Utafuata taratibu, kanuni na sheria.
Hata Trump alitaka urais ili tu awatumikie waamerica si kufuata fedha. Fedha anayo. Shida wabongo tunadhani ukiingia ktk siasa au ktk mfumo fulani basi ni dhiki unatafuta kitu. Tusikariri watu tunatofautiana.