Bishop Gwajima: Hamnitishi kitu, nilicho nacho nimepewa na Mungu

Bishop Gwajima: Hamnitishi kitu, nilicho nacho nimepewa na Mungu

Wanaogopa chama kitapasuka; kumbuka huyo Jerry Silaa alikuwa mjumbe wao wa kamati kuu, Pole pole nae alikuwa INSIDER kama mwenezi wao !! Gwajima alikuwa msiri wa JIwe, hivyo hawa wote if mishandled wanaweza kumwaga UGALI wao wakimwaga mboga!!!
Hapao watazunguka sana! Ila nakwambia hanaogopa sana hilo!
 
"Mungu akikupa amekupa, Wanadamu wakikupa ukiwapingapinga kidogo wanasema tukunyang'anye tulichokupa, heri kupewa na Mungu kuliko kupewa na Wanadamu,mimi hunitishi kitu kwasababu kila nilichonacho nimepewa na Mungu" Mhe. Josephat Gwajima, mbunge wa Kawe kuptia @ccm_tanzania https://t.co/08EMrlwm6, View attachment 2050010
Gwajiboy ata wa-outlive wanasiasa wa miaka mi5 mi5 yeye ataendelea kuwepo kama Askofu wa kanisa lake hata baada ya utawala uliopo. Wanasiasa na watawala kuweni makini na viongozi wa dini.
Kumbukeni JPM alimleta Gwajiboy CCM ili kum-contain baada ya kuonekana kuwa ni mwiba sana kwa wakati ule, sasa hivi akiamua kurudisha sapoti kwa timu CHANDIMU msije hapa jukwaani kulialia..

My 30 cents.
 
Sio kila mali za taasisi za dini hazilipi Kodi,usiwe mbumbumbu.RC na madhehebu mengine Wana mali wanazoziendesha kibiashara yaani sio huduma wanalipa Kodi.

Sasa walokole wanaojiita mitume na manabii wanamiloki mali kwa majina yao ukiwauliza kwa nini hawalipi Kodi wanasingizia za dini.

Sasa dini inatumika kama kichaka cha kukwepa Kodi,.Mwambieni gwajiboy tunakuja alipe Kodi.

Dawa yao rahisi sana hao kenge. Serikali iwaambie waipelekee hati za viapo kwamba hizo ni mali za makanisa yao. Serikali ikishapata hizo hati za viapo ielekeze ownerships za hizo mali zibadilishwe mara moja kuwa katika majina ya makanisa na mali zisimamiwe na kudhibitiwa na mabaraza ya uongozi wa makanisa yenyewe!
 
Mimi nafikiri kuwe na clear separation kati ya mali binafsi na mali za kanisa, misikiti, madhehebu yote.

Sadaka, dhaka,michango inawekwa kwenye account ya kanisa.

Kwamba mchungaji analipwa mshahara, anauza vitabu vyake binafsi hivyo viwekwe kwenye account binafsi.

Ila tufanye hivyo hivyo kwa makanisa yote, misikiti yote, madhehebu yote, dini zote.

KKKT, RC, Sunni, Shia, Hindu, Sikh, kwa Wakristo na Waislamu na wengine wote. Sheria hizo hizo zitumike Tanzania nzima bara na visiwani, dini zote, NGO zote.

CAG aangalie hesabu zao.

Zisilenge watu fulani, wachache, kuwanyamazisha wale wenye maoni tofauti na Serikali kwenye issue fulani, kusiwe na upendeleo wowote kidini, kimadhehebu.

TCRA, TRA visitumike kuwa vyombo vya kuthibiti maoni mbadala.
Alipoingia mama alitaka kufanya, tukaagizwa tupeleke mapato, matumizi na mukhtasari wa vikao vya mwaka, nashangaa siku ya kuwasilisha pale Nyerere Tower tunaambiwa mpango umesitishwa kwa taasisi za dini...

Sio rahisi zoezi hilo litaibua mengi yaliojificha...
 
Ccm ccm ccm
JamiiForums-1516450942.jpg
 
Ubunge aliutaka wa nini na kama ni uzuzu kwann ajishushe hadi wanamhoji kama zuzu kweli na asiuachie??
Kuna wakati watu wengine anaingia madarakani kupata nafasi kuwatumikia watu na nchi. Si kwamba hakikoswa hapo hana maisha. Lah asha. Ukishaingia ktk mfumo wowote huna haja ya kiburi. Utafuata taratibu, kanuni na sheria.
Hata Trump alitaka urais ili tu awatumikie waamerica si kufuata fedha. Fedha anayo. Shida wabongo tunadhani ukiingia ktk siasa au ktk mfumo fulani basi ni dhiki unatafuta kitu. Tusikariri watu tunatofautiana.
 
Na we jamaa huwa na hasira sana.
Ni dalili mojawapo Kuu ya Uwendawazimu ( Pyschopath ) unaomnyemelea Mtu pasipo Yeye Kujua / Kujijua.

Nasikitika kwa Kuchelewa Kwako tu Kumgundua Mleta Mada ( Uzi ) hivyo naomba niwe wa Kwanza kukupa Pole Mkuu.
 
"Mungu akikupa amekupa, Wanadamu wakikupa ukiwapingapinga kidogo wanasema tukunyang'anye tulichokupa, heri kupewa na Mungu kuliko kupewa na Wanadamu,mimi hunitishi kitu kwasababu kila nilichonacho nimepewa na Mungu" Mhe. Josephat Gwajima, mbunge wa Kawe kuptia CCM
https://t.co/08EMrlwm6

View attachment 2050010
Hivi hawa watu wengine huyo Mungu wanayemtaja ni huyu huyu nayemsikiaga mimi au kuna Mungu mwingine wanayemjua wao?[emoji16]
 
Kuna wakati watu wengine anaingia madarakani kupata nafasi kuwatumikia watu na nchi. Si kwamba hakikoswa hapo hana maisha. Lah asha. Ukishaingia ktk mfumo wowote huna haja ya kiburi. Utafuata taratibu, kanuni na sheria.
Hata Trump alitaka urais ili tu awatumikie waamerica si kufuata fedha. Fedha anayo. Shida wabongo tunadhani ukiingia ktk siasa au ktk mfumo fulani basi ni dhiki unatafuta kitu. Tusikariri watu tunatofautiana.
We ukimwangalia gwajiboy alitaka kuwatumikia wananchi? Maana suala la kufukua kwake misukule ni zaidi ya ubunge wa tz...oohhh nimekumbuka alitaka ubunge ili awapeleke wananchi wa jimbo lake ulaya km wanaingia kkoo vile
 
Back
Top Bottom