Bishop Gwajima: Hamnitishi kitu, nilicho nacho nimepewa na Mungu

Bishop Gwajima: Hamnitishi kitu, nilicho nacho nimepewa na Mungu

Mkuu ile taasisi?? Yaan magari, Viwanja nk yanasoma JOSEPHAT GWAJIMA afu asilipe kodi eti kisa anawakalisha watu pale juani na joto hili la Dar? Ukiambiwa wewe MBUMBUMBU unapaniki.
Kazi sana kuaminisha mtu anayesubiri miujiza ya utajiri kwenye makanisa haya so called "walokole"
 
Kwa level ya Gwajima kodi sio tatizo! Halafu mjue Gwajima haendeshwi na njaa! Maana gwajima ni mkubwa kuliko Ubunge huu wa kizuzu?
Huyo Pumbavu ni masalio ya yule mfu, na Ubunge ndio umempa maslahi zaidi ya sadaka zenu.....ni suala la muda tutamsahau,
na tunaanzia na kodi ili atulie sindano imuingie...
 
Kwa level ya Gwajima kodi sio tatizo! Halafu mjue Gwajima haendeshwi na njaa! Maana gwajima ni mkubwa kuliko Ubunge huu wa kizuzu?
Je angekubali kuchukua ubunge Wa kudhulumu?uaskofu hakudhulumu lakini ubunge amedhulum ndio ujuwe ubunge ni mkubwa kuliko uskofu kwahuyo gwaj boy kwa tafsiri nzuri ukiona mtu anaiba au kudhulumu ujuwe ananjaa Kali sana
 
Mkuu ile taasisi?? Yaan magari, Viwanja nk yanasoma JOSEPHAT GWAJIMA afu asilipe kodi eti kisa anawakalisha watu pale juani na joto hili la Dar? Ukiambiwa wewe MBUMBUMBU unapaniki.
Mbumbumbu mama yako, kwani kanisa lake halijasajiliwa na serikali?
 
Ni dalili mojawapo Kuu ya Uwendawazimu ( Pyschopath ) unaomnyemelea Mtu pasipo Yeye Kujua / Kujijua.

Nasikitika kwa Kuchelewa Kwako tu Kumgundua Mleta Mada ( Uzi ) hivyo naomba niwe wa Kwanza kukupa Pole Mkuu.
Nakupuuza mpuuzi mkubwa.
 
Dawa yao rahisi sana hao kenge. Serikali iwaambie waipelekee hati za viapo kwamba hizo ni mali za makanisa yao. Serikali ikishapata hizo hati za viapo ielekeze ownerships za hizo mali zibadilishwe mara moja kuwa katika majina ya makanisa na mali zisimamiwe na kudhibitiwa na mabaraza ya uongozi wa makanisa yenyewe!
Vipi mbona huzungumzii misikiti wewe kenge? Serkali ya kijinga hufatilia mambo isiyohusika na kuachana na mambo nyeti kama kupanda kwa gharama za manisha!
 
"Mungu akikupa amekupa, Wanadamu wakikupa ukiwapingapinga kidogo wanasema tukunyang'anye tulichokupa, heri kupewa na Mungu kuliko kupewa na Wanadamu,mimi hunitishi kitu kwasababu kila nilichonacho nimepewa na Mungu" Mhe. Josephat Gwajima, mbunge wa Kawe kuptia CCM
https://t.co/08EMrlwm6

View attachment 2050010
Hii ndio misimamo ya kiume sio kulialia kama vitoto vidogo,huku unaomba msamaha wakati huna kosa.
 
Mungu yupi unamsema wewe gwajima? hebu acha usanii na Jina la Mungu!
Huna hata chembe ya aibu kwa utapeli wako wa kijinga!
 
Vipi mbona huzungumzii misikiti wewe kenge? Serkali ya kijinga hufatilia mambo isiyohusika na kuachana na mambo nyeti kama kupanda kwa gharama za manisha!

Wewe ni mmoja wa wale kenge au hujaelewa hoja iliyoko mezani? Awe kenge wa kanisani au kenge wa msikitini, mimi sijali; lazima awe muadilifu!
 
Wewe ni mmoja wa wale kenge au hujaelewa hoja iliyoko mezani? Awe kenge wa kanisani au kenge wa msikitini, mimi sijali; lazima awe muadilifu!
Wewe ni mjinga tu pamoja na hayo mawazo yako! Kwa hiyo makanisa yameanza awamu hii mpaka uwaanze kutishia huduma zao! Unajua ukipata kiongozi asiyejitambua huwa anatapatapa na ajenda mufu na kuacha mambo ya msingi!
 
Wewe ni mjinga tu pamoja na hayo mawazo yako! Kwa hiyo makanisa yameanza awamu hii mpaka uwaanze kutishia huduma zao! Unajua ukipata kiongozi asiyejitambua huwa anatapatapa na ajenda mufu na kuacha mambo ya msingi!

Mjinga ni wewe ambaye hujui hata nimesimama wapi. Aliyekuambia nipo hapa kutetea Serikali au msikiti ni nani? Ninachopinga ni utamaduni wa kutumia jina tukufu la Mungu kufanya utapeli.
 
Mjinga ni wewe ambaye hujui hata nimesimama wapi. Aliyekuambia nipo hapa kutetea Serikali au msikiti ni nani? Ninachopinga ni utamaduni wa kutumia jina tukufu la Mungu kufanya utapeli.
Unapimaje ni utapeli? Leta ushahidi hapa kama ni utapeli tofauti na hapo ni upumbavu kama uumbavu mwingine! Huoni hata makanisa makongwe yanamigogoro ya kifedha hata misikiti wanagombana! Tapeli hana sura anaweza kuwa kanisa kongwe kama katoliki na akawa tapeli!
 
Unapimaje ni utapeli? Leta ushahidi hapa kama ni utapeli tofauti na hapo ni upumbavu kama uumbavu mwingine! Huoni hata makanisa makongwe yanamigogoro ya kifedha hata misikiti wanagombana! Tapeli hana sura anaweza kuwa kanisa kongwe kama katoliki na akawa tapeli!

You’re spitting utter nonsense! Ni wapi nimesema matapeli hawapo kwenye makanisa kongwe na misikitini? Mali ya religious organization haipaswi kuwa katika jina la mtu binafsi. Kulielewa hili nalo mpaka uwe na PhD?
 
"Mungu akikupa amekupa, Wanadamu wakikupa ukiwapingapinga kidogo wanasema tukunyang'anye tulichokupa, heri kupewa na Mungu kuliko kupewa na Wanadamu,mimi hunitishi kitu kwasababu kila nilichonacho nimepewa na Mungu" Mhe. Josephat Gwajima, mbunge wa Kawe kuptia CCM
https://t.co/08EMrlwm6

View attachment 2050010
Huo ubunge alijipa mwenyewe kwa kura za kwenye masandarusi,wala haukutoka kwa Mungu.Ushauri wa Bure kwake, ili kutubu hiyo dhambi na kurejesha uhusiano wake na Mungu,ni bora kwa hiyari yake aachie huo ubunge.sababu anajua fika moyoni mwake kwamba haukuwa ushindi halali,najua hakupenda hiyo dhuruma ila mfumo ulimzidi nguvu,basi aachie sasa,sababu tunamwambia kuna kura za wizi pia zilimpatia ushindi
 
We ukimwangalia gwajiboy alitaka kuwatumikia wananchi? Maana suala la kufukua kwake misukule ni zaidi ya ubunge wa tz...oohhh nimekumbuka alitaka ubunge ili awapeleke wananchi wa jimbo lake ulaya km wanaingia kkoo vile
Uwa sina muda wa kujadili personal issues. Najadili maswala ya kitaifa. Yaliyo nafsini mwake anayajua yeye na Mungu wake.
 
Back
Top Bottom