Bisu likigusa mfupa lazima maumivu yasikike, tusibeze maumivu yanayotikana na bisu.

Bisu likigusa mfupa lazima maumivu yasikike, tusibeze maumivu yanayotikana na bisu.

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Shujaa wa dunia ameondoka kiajabuajabu. Hata kama alikuwa na ugonjwa huo kwa miaka kumi lakini mbona imekuwa kiajabu? Mungu ndie kila kitu na akiamua kumchukua mtu hakuna wa kuzuia.

Lakini mbona alikuwa akipiga pushup kama hata matatizo yoyote? Mbona alikuwa anasafiri kwa gari umbali mkubwa huku akitumika kama hana matatizo? Kwa nini apotee mbele ya hadhara kwa wiki mbili na kisha mauti imkute?

Mpaka tuhuma za kuwa alipewa sumu au kufanyiwa njama zinazungumzwa bungeni basi tutambue kuwa bisu limegusa mfupa.
 
Shujaa wa dunia ameondoka kiajabuajabu. Hata kama alikuwa na ugonjwa huo kwa miaka kumi lakini mbona imekuwa kiajabu? Mungu ndie kila kitu na akiamua kumchukua mtu hakuna wa kuzuia.

Lakini mbona alikuwa akipiga pushup kama hata matatizo yoyote? Mbona alikuwa anasafiri kwa gari umbari mkubwa huku akitumika kama hana matatizo? Kwa nini apotee mbele ya hadhara kwa wiki mbili na kisha mauti imkute?

Mpaka tuhuma za kuwa alipewa sumu au kufanyiwa njama zinazungumzwa bungeni basi tutambue kuwa bisu limegusa mfupa.
Pamoja na ukatili alioufanya dhidi ya binadamu wenzake nae pia amekufa
 
Hiyo mambo is over let mzee rest once and for all mmeambiwa mkaSubmit ushahidi kama mnao ...na hiyo kwnn mapemaMungu hapangiwi mbona mvi yuko mpaka Leo wangapi walimtabiria kuondokea akiwa jukwaani wako wapi Leo? Siri ya kifo itabaki kwa Mungu.
 
Shujaa wa dunia ameondoka kiajabuajabu. Hata kama alikuwa na ugonjwa huo kwa miaka kumi lakini mbona imekuwa kiajabu? Mungu ndie kila kitu na akiamua kumchukua mtu hakuna wa kuzuia.

Lakini mbona alikuwa akipiga pushup kama hata matatizo yoyote? Mbona alikuwa anasafiri kwa gari umbari mkubwa huku akitumika kama hana matatizo? Kwa nini apotee mbele ya hadhara kwa wiki mbili na kisha mauti imkute?

Mpaka tuhuma za kuwa alipewa sumu au kufanyiwa njama zinazungumzwa bungeni basi tutambue kuwa bisu limegusa mfupa.
Gwajima yupo, make use of him.
Mnakubalije mwendazake anatwaliwa kiboya tu? Nini kazi ya Gwajima?
 
..walioamuru walinzi wa area D waondolewe ili Lissu auwawe ndio wana roho nzuri sana za kimalaika.

..pia waliomkata Spika asimpatie Lissu mafao yake ya matibabu ni wacha mungu kwelikweli watangazwe kuwa watakatifu.
Out of topic
 
Hiyo mambo is over let mzee rest once and for all mmeambiwa mkaSubmit ushahidi kama mnao ...na hiyo kwnn mapemaMungu hapangiwi mbona mvi yuko mpaka Leo wangapi walimtabiria kuondokea akiwa jukwaani wako wapi Leo? Siri ya kifo itabaki kwa Mungu.

..mvi walimdhihaki kuwa anajinyea.

..halafu wakasema anatembea kwa kunyata alipodai uamsho waachiwe.
 
Hiyo mambo is over let mzee rest once and for all mmeambiwa mkaSubmit ushahidi kama mnao ...na hiyo kwnn mapemaMungu hapangiwi mbona mvi yuko mpaka Leo wangapi walimtabiria kuondokea akiwa jukwaani wako wapi Leo? Siri ya kifo itabaki kwa Mungu.
Sio kirahisi kama unavyodhania. Ndio maana maumivu ya bisu yamesikika jana.
 
Hata shule tulikuwa tunapewa lile swali kuwa siasa mchezo mchafu-Jadili (Marks 20).

Hii ndio maana yake,Duniani kote ni ngumu sana kuelewa vifo vya wanasiasa /viongozi maarufu-na katika ugumu huo kuna ukweli ndani yake inaweza usiwe 100% but amini usiamini zaidi ya 99% ya vifo vya wanasiasa/viongozi Maarufu ni vya kimkakati sio natural death.

So,ikitokea umekata moto katikati ya safari jua umezidiwa kete na wenzio au kama ume survive-it is all part of the game.
 
Back
Top Bottom