mtamamtete
JF-Expert Member
- Jul 28, 2020
- 402
- 345
Inasemekana ngwaji boy amepewa u bunge ili awafufue mataga wanaokufa. Amfufue mwendazake fasta.Bichwa lako limejaa kinyesi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasemekana ngwaji boy amepewa u bunge ili awafufue mataga wanaokufa. Amfufue mwendazake fasta.Bichwa lako limejaa kinyesi.
CHAMA CHA Mazezeta, nyie ni kusifu na kuabudu tu, endeleeni kuabudu kibuduKwani umetukanwa? Mtu mwenye ubongo hawezi kupost pumba.
Hakuna cha kuchukia mbona hayo yameshapita na safari inaendelea.Bisu limegusa mfupa, ndio maana mnachukia
Umenena uweli tupuHata shule tulikuwa tunapewa lile swali kuwa siasa mchezo mchafu-Jadili (Marks 20).
Hii ndio maana yake,Duniani kote ni ngumu sana kuelewa vifo vya wanasiasa /viongozi maarufu-na katika ugumu huo kuna ukweli ndani yake inaweza usiwe 100% but amini usiamini zaidi ya 99% ya vifo vya wanasiasa/viongozi Maarufu ni vya kimkakati sio natural death.
Ndiyo utathibitisha upuuzi wako wewe MbwaBichwa lako limejaa kinyesi.
Yuko wapi mzee nimrod mkono joker the hiker?..walioamuru walinzi wa area D waondolewe ili Lissu auwawe ndio wana roho nzuri sana za kimalaika.
..pia waliomuelekeza Spika asimpatie Lissu mafao yake ya matibabu ni wacha mungu kwelikweli watangazwe kuwa watakatifu.
Kibudu it's now turning to manureMbona unahama kujadili jinsi bisu lilivyoleta maumivu baada ya kugusa mfupa?
Kwani jiwe kafaje??unajiskiaje kuwa mwema halafu bado unakufa kama jiwe pia!!!
Yuko wapi mzee nimrod mkono joker the hiker?
Kwani jiwe kafaje??unajiskiaje kuwa mwema halafu bado unakufa kama jiwe pia!!!
Mama jana kawapa nafasi mpeleke ushahidi, mkuu okoa jahazi au umeshaenda kutoa taarifa?Jinai huwa inaisha? Miaka 40 waliomuua Thomas wanashitakiwa.