Bisu likigusa mfupa lazima maumivu yasikike, tusibeze maumivu yanayotikana na bisu.

Bisu likigusa mfupa lazima maumivu yasikike, tusibeze maumivu yanayotikana na bisu.

Hata shule tulikuwa tunapewa lile swali kuwa siasa mchezo mchafu-Jadili (Marks 20).

Hii ndio maana yake,Duniani kote ni ngumu sana kuelewa vifo vya wanasiasa /viongozi maarufu-na katika ugumu huo kuna ukweli ndani yake inaweza usiwe 100% but amini usiamini zaidi ya 99% ya vifo vya wanasiasa/viongozi Maarufu ni vya kimkakati sio natural death.
Umenena uweli tupu
 
..walioamuru walinzi wa area D waondolewe ili Lissu auwawe ndio wana roho nzuri sana za kimalaika.

..pia waliomuelekeza Spika asimpatie Lissu mafao yake ya matibabu ni wacha mungu kwelikweli watangazwe kuwa watakatifu.
Yuko wapi mzee nimrod mkono joker the hiker?
 
Back
Top Bottom