Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Tusi liko wapi hapo?Ila watu mna maneno doooh[emoji847]
Hivi uwaga mnatukana kupata sifa au ujuaji tu?? Aseeeh anyway.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tusi liko wapi hapo?Ila watu mna maneno doooh[emoji847]
Hivi uwaga mnatukana kupata sifa au ujuaji tu?? Aseeeh anyway.
HajajibuTuanzea hapo [emoji23][emoji2][emoji23][emoji2][emoji23][emoji2]
Wewe nimekuambia toka jana una roho ya kichawi.Tusi liko wapi hapo?
View attachment 1762052
Kama ya mwendazake aliyezikwa uchi kavishwa ngoziWewe nimekuambia toka jana una roho ya kichawi.
Alikuwa akihudumiwa, na ndio hukusikia jimbo lake likitangazwa liwazi..sifahamu kama mh.nimrod alikuwa akihudumiwa na bunge au la.
..lakini suala la Lissu lilikuwa ni la dharura nashangaa jinsi Magu na Ndugai walivyomsusia.
..sidhani kama angekuwa mbunge wa ccm angetendewa namna ile.
..pia naamini shambulizi dhidi ya Lissu lingetokea wakati wa Mkapa au Kikwete serikali na bunge isingemsusia mgonjwa.
Ni kawaida kwa watu wasio na UTU na wanaoamini sana kwenye Ushirikina.Shujaa wa dunia ameondoka kiajabuajabu. Hata kama alikuwa na ugonjwa huo kwa miaka kumi lakini mbona imekuwa kiajabu? Mungu ndie kila kitu na akiamua kumchukua mtu hakuna wa kuzuia.
Lakini mbona alikuwa akipiga pushup kama hata matatizo yoyote? Mbona alikuwa anasafiri kwa gari umbali mkubwa huku akitumika kama hana matatizo? Kwa nini apotee mbele ya hadhara kwa wiki mbili na kisha mauti imkute?
Mpaka tuhuma za kuwa alipewa sumu au kufanyiwa njama zinazungumzwa bungeni basi tutambue kuwa bisu limegusa mfupa.
Ni suala la muda tu, kila kitu kitajulikanaShujaa wa dunia ameondoka kiajabuajabu. Hata kama alikuwa na ugonjwa huo kwa miaka kumi lakini mbona imekuwa kiajabu? Mungu ndie kila kitu na akiamua kumchukua mtu hakuna wa kuzuia.
Lakini mbona alikuwa akipiga pushup kama hata matatizo yoyote? Mbona alikuwa anasafiri kwa gari umbali mkubwa huku akitumika kama hana matatizo? Kwa nini apotee mbele ya hadhara kwa wiki mbili na kisha mauti imkute?
Mpaka tuhuma za kuwa alipewa sumu au kufanyiwa njama zinazungumzwa bungeni basi tutambue kuwa bisu limegusa mfupa.
Kunywa sumu umfuate mkaelezane kilichojiri. Mlionywa kuhusu Corona mkaleta masihara ya kupiga nyungu sasa mayowe ya nini tena?Shujaa wa dunia ameondoka kiajabuajabu. Hata kama alikuwa na ugonjwa huo kwa miaka kumi lakini mbona imekuwa kiajabu? Mungu ndie kila kitu na akiamua kumchukua mtu hakuna wa kuzuia.
Lakini mbona alikuwa akipiga pushup kama hata matatizo yoyote? Mbona alikuwa anasafiri kwa gari umbali mkubwa huku akitumika kama hana matatizo? Kwa nini apotee mbele ya hadhara kwa wiki mbili na kisha mauti imkute?
Mpaka tuhuma za kuwa alipewa sumu au kufanyiwa njama zinazungumzwa bungeni basi tutambue kuwa bisu limegusa mfupa.
Wahutu mna roho mbaya sana rudini kwenu Burundi mlikozoea kuchinjanaWazandiki mnaroho mbaya sana.
MnyembaBisu a.k.a Beto
La kwako limejaa funza na usahaBichwa lako limejaa kinyesi.
Ni kweli. Walimshambulia Mh Tundu lisi na risasi nyingi kama vile wanaua temboWazandiki mnaroho mbaya sana.