Bisu likigusa mfupa lazima maumivu yasikike, tusibeze maumivu yanayotikana na bisu.

Bisu likigusa mfupa lazima maumivu yasikike, tusibeze maumivu yanayotikana na bisu.

Aliingia kwenye ufalme kiajabu ajabu, alitawala kiajabu ajabu, haishangazi kuona ameondoka kiajabu ajabu.
We pimbi unafikiri kwa makalio au kwa mnyeo?
 
Mama asiwatishe watu,waaacha waseme,mtu yoyote mwenye akili timamu ni lazima atilie shaka kufo cha jpm,hvi inakijaje mtu anatwiti kuwa furani ataugua,na akiugua haponi!!!,,serikali isiwafunge watu midomo,iwaache waseme,ninaamini hiki sio kifo cha kawaida,
 
..sifahamu kama mh.nimrod alikuwa akihudumiwa na bunge au la.

..lakini suala la Lissu lilikuwa ni la dharura nashangaa jinsi Magu na Ndugai walivyomsusia.

..sidhani kama angekuwa mbunge wa ccm angetendewa namna ile.

..pia naamini shambulizi dhidi ya Lissu lingetokea wakati wa Mkapa au Kikwete serikali na bunge isingemsusia mgonjwa.
Alikuwa akihudumiwa, na ndio hukusikia jimbo lake likitangazwa liwazi
 
Shujaa wa dunia ameondoka kiajabuajabu. Hata kama alikuwa na ugonjwa huo kwa miaka kumi lakini mbona imekuwa kiajabu? Mungu ndie kila kitu na akiamua kumchukua mtu hakuna wa kuzuia.

Lakini mbona alikuwa akipiga pushup kama hata matatizo yoyote? Mbona alikuwa anasafiri kwa gari umbali mkubwa huku akitumika kama hana matatizo? Kwa nini apotee mbele ya hadhara kwa wiki mbili na kisha mauti imkute?

Mpaka tuhuma za kuwa alipewa sumu au kufanyiwa njama zinazungumzwa bungeni basi tutambue kuwa bisu limegusa mfupa.
Ni kawaida kwa watu wasio na UTU na wanaoamini sana kwenye Ushirikina.

We angalia tu watu wengi wa namna hiyo huwa wanafariki kiajabu na kwenye mazishi ya watu wa aina hiyi kunagubikwa na mambo mengi yasiyo ya kawaida.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Shujaa wa dunia ameondoka kiajabuajabu. Hata kama alikuwa na ugonjwa huo kwa miaka kumi lakini mbona imekuwa kiajabu? Mungu ndie kila kitu na akiamua kumchukua mtu hakuna wa kuzuia.

Lakini mbona alikuwa akipiga pushup kama hata matatizo yoyote? Mbona alikuwa anasafiri kwa gari umbali mkubwa huku akitumika kama hana matatizo? Kwa nini apotee mbele ya hadhara kwa wiki mbili na kisha mauti imkute?

Mpaka tuhuma za kuwa alipewa sumu au kufanyiwa njama zinazungumzwa bungeni basi tutambue kuwa bisu limegusa mfupa.
Ni suala la muda tu, kila kitu kitajulikana
 
Shujaa wa dunia ameondoka kiajabuajabu. Hata kama alikuwa na ugonjwa huo kwa miaka kumi lakini mbona imekuwa kiajabu? Mungu ndie kila kitu na akiamua kumchukua mtu hakuna wa kuzuia.

Lakini mbona alikuwa akipiga pushup kama hata matatizo yoyote? Mbona alikuwa anasafiri kwa gari umbali mkubwa huku akitumika kama hana matatizo? Kwa nini apotee mbele ya hadhara kwa wiki mbili na kisha mauti imkute?

Mpaka tuhuma za kuwa alipewa sumu au kufanyiwa njama zinazungumzwa bungeni basi tutambue kuwa bisu limegusa mfupa.
Kunywa sumu umfuate mkaelezane kilichojiri. Mlionywa kuhusu Corona mkaleta masihara ya kupiga nyungu sasa mayowe ya nini tena?
 
Back
Top Bottom