comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 9,019
- 6,825
Wanleta udini na ukabila
Kifungu cha 194H cha sheria ya mwendo wa makosa ya jinai kinatoa namna ambavyo plea bargaining itafanyika.
Hata kanuni zilizotolewa na jaji mkuu zipo wazi kabisa. Kuwa mtuhumiwa ataandika barua kwa DPP na baada ya hapo taratibu zitafuata na kama kwa sababu atakuwa amekiri kosa basi mzigo alioupiga utaenda serikalini.
Huyu Zitto anataka sifa za nini? Za kishamba View attachment 2389653