Biswalo Mganga hana makosa. Plea bargaining ni kwa mujibu wa sheria. Hakuna pesa iliyoingia mfukoni kwa mtu. Zitto ni mpenda sifa za kijinga

Biswalo Mganga hana makosa. Plea bargaining ni kwa mujibu wa sheria. Hakuna pesa iliyoingia mfukoni kwa mtu. Zitto ni mpenda sifa za kijinga

Punguza dharau zisizokuwa na maana Mbona jamaa katoa maoni kwa hekima kwamba Rugemalira aliamua kupoteza yote maana alishapanga kila kitu nyumbani kuhusu mali halafu wewe kwa dharau zako unaita porojo.

Umelishwa akili mbaya kwamba kila mwenye pesa ni mpigaji. Yani hakuna tajiri Tanzania mwenye uwezo wa kuwa na pesa zake bila kuitwa mpigaji.?.

Halafu Sasa hivi kila kitu mnamwangushia jk kana kwamba yeye kila ubaya ni wake. Wakati wa Magufuli mlimsema Sana na kumdharilisha mkidhani Magufuli ataishi milele.

Tuheshimu maoni ya wengine Kama unavyotaka maoni yako yaheshimiwe.
Utajiri una historia ndugu yangu,matajiri wa Bongo wengi wasanii na wezi na ndiyo maana fedha zao wanaficha nje ya nchi.Kwa mfano JK utajiri alionao kautoa wapi na kwao hawana Historia ya utajiri!!
Fuatilia mahojiano ya Mawaziri wateule wa Kenya na kamati ya uteuzi ya Bunge lao,watu wapo wazi wanataja utajiri wao na walivyoupata,sasa Bongo kiongozi gani atakwambia kwa uwazi utajiri alionao kautoa wapi!
 
Unaishi Tanzania kweli au uko Haiti?

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Nipo hapahapa kwenye pango la walalahoi,kama umeporwa pesa na DPP,simple unashitaki mahakamani,unaleta ushaihidi,unarejeshewa pesa yako.Ila wanataka kupitia mlango wa nyuma kwasababu hawawezi kutoa ushaihidi mahakamani ila ni rahisi kuonga washauri wa Mama ili walipwe.
Trust me,wengi wanaojiita wafanyabiashara Tanzania ni wapigaji tu.Umeyasikia ya Mama Kibonge?basi hiyo ndiyo michezo yao Mkuu wakishirikiana na wanasiasa.
 
Kifungu cha 194H cha sheria ya mwendo wa makosa ya jinai kinatoa namna ambavyo plea bargaining itafanyika.

Hata kanuni zilizotolewa na jaji mkuu zipo wazi kabisa. Kuwa mtuhumiwa ataandika barua kwa DPP na baada ya hapo taratibu zitafuata na kama kwa sababu atakuwa amekiri kosa basi mzigo alioupiga utaenda serikalini.

Huyu Zitto anataka sifa za nini? Za kishamba View attachment 2389653
Unaanza kuwa Kinyaa. Sasa, the best option is to get you blocked/ignored so as to save time and MBs!
 
Zito ndio CAG? au zito ndio kamtuma CAG atoe taarifa ya uongo? Unajua ndio maana watanzania akili zetu zinahojiwa!
 
Huna akili
Watu hawalalamikii plea bargain kama plea bargain wanacholakamikia ni namna sheria ilivyotekelezwa
kumbuka
1. kuna watu walilipa zaidi ya wengine wakati wako kwenye kesi moja, hili halikuwepo kwenye sheria

2. Utaratibu wa kuwalipisha watu hela ulianza hata kabla ya kutungwa kwa Sheria?

3. Kuna tuhuma pia mchakato kughubikwa na rushwa.

Hizo ndo hoja , hoja sio kwamba hakukuwa na Sheria
Wewe unajua maana ya neno bargain?.inapofanyika bargain lazima.mwengine atalipa zaidi mwengine kiduchu
 
Awamu ile ya kishetani wala sishangai kusikia pesa zilikua zikienda mifukoni mwa watu maana hata watu walikua wakitekwa wanaibuka viongozi na kusema wataonekana baada ya siku 3 na wanaonekana kweli

Watu wanatekwa wakiachiliwa tunaambiwa wametekwa ni awamu iliyojaa uchafu wa kila aina na ilijidhihirisha kabisa kupitia uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 na ule mkuu 2020.
 
Nimekuwekea randama hapo ili uone mzigo alioporwa baba yako ulienda wapi.
Usifanye watu wajinga kama wewe ulivyo...

Tunaelewa kuliko unavyoelewa wewe kwa mbali mno...

Na sijui kama unajua hata maana ya "randama" wewe..

The question was very simple but very unlucky that you failed to answer it badala yake ukawaka hasira na kuanza kutapika matusi toka kinywani mwako ukidhani utaonekana una akili sana wakati kumbe...........

By the way, I doubt kama unaielewa hata hiyo sheria ya "Plea Bargaining". Maana kwa kauli ya jumla tu ya kusema "zilienda serikalini", it's evidently that you know nothing about it...!

If you think you clearly know it, prove me wrong kwa kusema tu ni kifungu gani cha sheria hiyo kinasema fedha "zitaenda serikalini?" bila kuwa specific..?

Au hukumbuki kuwa hata kina Biswaro, Makonda, Sabaya Ole Lengai na Magufuli wao ndio walikuwa wakijiita serikali?

So, it's obviously that mchezo ulikuwa ni wa fedha kwenda kwenye mifuko ya serikali zao binafsi...!!

Nyankurungu2020 acha kutumiwa kwa Buku 7. Wewe una thamani kuliko hizo!!!
 
Huna akili
Watu hawalalamikii plea bargain kama plea bargain wanacholakamikia ni namna sheria ilivyotekelezwa
kumbuka
1. kuna watu walilipa zaidi ya wengine wakati wako kwenye kesi moja, hili halikuwepo kwenye sheria

2. Utaratibu wa kuwalipisha watu hela ulianza hata kabla ya kutungwa kwa Sheria?

3. Kuna tuhuma pia mchakato kughubikwa na rushwa.

Hizo ndo hoja , hoja sio kwamba hakukuwa na Sheria
ndo shida ya udandiaji hoja haelewi lolote

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Kifungu cha 194H cha sheria ya mwendo wa makosa ya jinai kinatoa namna ambavyo plea bargaining itafanyika.

Hata kanuni zilizotolewa na jaji mkuu zipo wazi kabisa. Kuwa mtuhumiwa ataandika barua kwa DPP na baada ya hapo taratibu zitafuata na kama kwa sababu atakuwa amekiri kosa basi mzigo alioupiga utaenda serikalini.

Huyu Zitto anataka sifa za nini? Za kishamba View attachment 2389653
Umerukwa akili?

Pesa waliyolipa walioitwa wahujumu uchumi, CAG anasema haikuingia Serikalini wala mahakamani?

Tutajie hiyo Serikali yako ambayo CAG haijui, ambako mliweka hiyo hela.
 
Subiri huyo mumeo akajieleze mahakamani
Huyo aliyezungushiwa anafahamika kama Wankyo , ametumika sana , mnyololo ni mrefu , nakuhakikishia kwamba watatajana tu

FB_IMG_1665831491154.jpg
 
Nyankurungu2020 acha kutumiwa kwa Buku 7. Wewe una thamani kuliko hizo!!!
Huyo Nyankurungu2020 unapoteza muda wako kujibizana naye, heri ujibizane na meza, the man is so thick huwezi kuamini ni specie hii ya viumbe waliojaaliwa akili. Hawa Magufuli aliwapenda kweli kweli kwani kwao alipata vilaza kuliko yeye.

1666068633955.png

Mwenye tai ni Wankyo, je huyo Nyankurungu2020 hayupo pichani kweli.​
 
Back
Top Bottom