Biti la Trump limefanya kazi huko Gaza

Kwani wamekaa meza moja kula tende?

Walichokibaliana ni Israel kuacha kuinyuka Hamas na Hamas kiwaachiq mateka ilionao.

Hamas ikikiuka hayo makubaliano, kibano ki aendelee mpaka mfyekwe kabisa katika uso wa dunia.
 
Dogo una utoto mwingi sana
 
Kufa kijinga ni ufala.

Wasingelianzisha hiyo Oct. 7 si ajabu leo hii wangekuwepo.

Ila kwa vile ni ma zuzu, sasa hivi wanaoza na kugeuka funza huko waliko.

Natamani waliobaki walianzishe tena ๐Ÿคฃ.
Wewe unadhani utaishi maisha yako hapa duniani bila kufa ๐Ÿคฃ Kufa utakufa tu lakini kuna tofouti ufe kishujaa au ufe kifala fala kama wewe unadhani kufa unalewa ndio umekufa uta enjoy kaburini basi sawa au unakufa una kula chps ndio hutaweza kuoza ukiwa kaburini.
 
Wewe unadhani utaishi maisha yako hapa duniani bila kufa ๐Ÿคฃ Kufa utakufa tu lakini kuna tofouti ufe kishujaa au ufe kifala fala kama wewe unadhani kufa unalewa ndio umekufa una enjoy kaburini.
Sawa, sote tutakufa.

Ila sitokufa kifo cha kipumbavu na cha kujitakia kama hao Hamas.
 
Umeelezea vizuri,wamekurlrwa,watajifanya hawajakuelewa.
 
Rubbish
 
โœ… Wafungwa 30 wa Kipalestina wataachiliwa kwa kila mateka 1 wa Israel
โœ… Wafungwa 50 wa Kipalestina wataachiliwa HURU kwa kila mwanajeshi 1 wa kike wa Israel
โœ… Israel itajiondoa kabisa Gaza

Hahahaa eti Biti la Trump๐Ÿ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ