Biti la Trump limefanya kazi huko Gaza

Biti la Trump limefanya kazi huko Gaza

Wiki iliyopita, tarehe 7, Januari 2025, akiwa Mar a Lago, Rais Trump alichimba biti.

Alisema kwamba ifikapo tarehe 20 mwezi hao mateka wa Hamas hawajaachiwa, basi huko Mashariki ya Kati patachimbika.

Mapema leo/ jana, imetangazwa kuwa Israel na Hamas wamefikia makubaliano ya kusitisha mapigano [licha ya kwamba mapigano halisi yalikuwa yashaisha maana Hamas walikuwa hawapigani kwa sababu wametandikwa vibaya mno].

Katika makubaliano hayo, Hamas na Israel watabadilishana mateka kwa awamu.

Huyu hapa Rais Trump akichimba biti. Sidhani haya makubaliano ni sadfa tu iliyotokea.

Ni matokeo ya biti la Trump kwa Hamas 🤣.


View: https://youtu.be/6RpFe9j8UpU?si=9uNmGyTKD_X9mJW-

Acha upumbavu, Hakuna mahali Hamas wamemuhofia Trump wala nani, makubaliano waliyoafikia zaidi waliotaka na kushadidia ni Biden mwenyewe baada yakumlazimisha baradhuli mwenzao netanyahu lazima wafikie makubaliano na Hamas kabla ya yeye kuondoka madarakani ili isije ikaonekana utawala wa Biden ulishindwa kusimamisha vita Middle East, na ipo kisiasa zaidi, Sharti kubwa la Hamas ambalo huko nyuma hakukua na maelewano ni Israel aondoe majeshi yake Gaza na Wapaletina warudi kwenye ardhi yao, netanyahu alikuwa hataki sasa amekubali kwa idhini ya bwana wake Biden. Usituletee porojo lako kichwani hapa.
 
Nadhani tungetizama malengo ya kila mmoja halafu tutapata picha which is which.

Kampeni ya Israel ilikuwa na malengo makuu manne : kuitokomeza Hamas, kuwaachilia mateka, kuhakikisha Gaza haileti tishio tena kwa Israeli, na kuwarudisha wakaazi waliokimbia makazi yao Kaskazini mwa Israeli.

Israel imeshindwa kufikia malengo yake makuu, kama vile Marekani ilivyoshindwa huko Afghanistan na Vietnam.

Watu wanapaswa kuelewa: Kwa serikali kushinda dhidi ya wanamgambo kama Hamas au Hezbollah, nguvu haitoshi; unapaswa kushinda mioyo ya watu. Inabidi utoe mbadala bora kuliko hali ilivyo--katika kesi hii, Hamas. Inahitaji suluhisho la kisiasa, suluhisho la kiitikadi, sio la kijeshi. Lakini Israeli hawakushinda mioyo ya watu, kinyume chake kabisa. Israel na Marekani zilishindwa kuwaondoa kabisa kutoka Gaza--lengo lao kuu.

Hata Blinken juzi alisema Hamas imeongeza wapiganaji wengi zaidi hivi sasa kuliko walivyokuwa kabla ya vita.

Na vipi kuhusu mateka? Kuwaachilia mateka iliipaswa kuwa kipaumbele cha kwanza lakini Sio tu kwamba makumi yao bado wako mikononi mwa Hamas, lakini baadhi yao waliuawa wakati wa mashambulizi ya anga ya Israeli.

Badala ya kutokomeza Hamas, Israel imejifanya kuonekana kama taifa la kihuni, na Hamas wametoka katika hali hii wakionekana kama "watetezi" wa upinzani wa Palestina.

Sisemi Hamas hawana lawama, La hasha. Lakini jibu la maelfu ya mabomu hayakuitokomeza Hamas; iliimarisha masimulizi yao. Kila bomu lililoua raia, kila mtoto aliyetolewa kutoka kwenye vifusi, kila familia iliyokata tamaa iliyoachwa bila chakula au maji-yote hayo yalivhochea mashine ya propaganda ya Hamas.

Kijiografia, sifa ya Israeli imeharibika, limebakia sasa kama taifa pariah.Nchi nyingi (kama Uhispania, Ireland, Norway..nk) zimelitambua rasmi taifa la Palestina na hata kujiunga na kesi ya afrika kusini dhidi ya israel

Sifa ya Israel Kimataifa imechafuka. Viongozi wake wanatafutwa rasmi kwa uhalifu dhidi ya ubinadamu. Wanajeshi wa IDF wamesimamishwa kote ulimwenguni. Kuna kesi ya mauaji ya kimbari dhidi ya Israel na taswira yake imeharibiwa vibaya.

Kwa upande wa Palestina, ni wazi.. Gaza imeharibiwa. Zaidi ya 100k waliuawa na bado hakuna taifa la Palestina. Bado wanaishi bila utaifa chini ya vizuizi vya Israeli.

Hamas Walipata kabisa walichotaka. Walitaka kusalia madarakani, kurudisha sababu ya Palestina kuwa nchi huru, kuizuia mpango wa normalization wa Israel na Saudia na kusaidia wafungwa wa kipalestina kutoka jela.

Vita hivi vinaendea kwisha, lakini cha kusikitisha ni kwamba tatizo la Waisraeli na Wapalestina bado halijaisha. Mzozo utaendelea kwa miaka ijayo.

Blinken kasema HAMAS ina pool kubwa ya kurecruit watu wapya. Kasema HAMAS haina uhaba wa wapiganaji.

Israel kaharibu majengo ya juu, HAMAS wako chini underground.
 
Acha upumbavu, Hakuna mahali Hamas wamemuhofia Trump wala nani, makubaliano waliyoafikia zaidi waliotaka na kushadidia ni Biden mwenyewe baada yakumlazimisha baradhuli mwenzao netanyahu lazima wafikie makubaliano na Hamas kabla ya yeye kuondoka madarakani ili isije ikaonekana utawala wa Biden ulishindwa kusimamisha vita Middle East, na ipo kisiasa zaidi, Sharti kubwa la Hamas ambalo huko nyuma hakukua na maelewano ni Israel aondoe majeshi yake Gaza na Wapaletina warudi kwenye ardhi yao, netanyahu alikuwa hataki sasa amekubali kwa idhini ya bwana wake Biden. Usituletee porojo lako kichwani hapa.

Ulichosema ni dhahiri.

Gaza imeua/ingeua legacy ya Biden mazima, naona mzee kaamua kusalvage kaheshima kadogo kalikobaki.

Pili genocide ingeendelea, ingekivuruga chama cha democrat mazima. Kingepotezwa uungwaji mkono kwa miaka mingi sana
 
Wiki iliyopita, tarehe 7, Januari 2025, akiwa Mar a Lago, Rais Trump alichimba biti.

Alisema kwamba ifikapo tarehe 20 mwezi hao mateka wa Hamas hawajaachiwa, basi huko Mashariki ya Kati patachimbika.

Mapema leo/ jana, imetangazwa kuwa Israel na Hamas wamefikia makubaliano ya kusitisha mapigano [licha ya kwamba mapigano halisi yalikuwa yashaisha maana Hamas walikuwa hawapigani kwa sababu wametandikwa vibaya mno].

Katika makubaliano hayo, Hamas na Israel watabadilishana mateka kwa awamu.

Huyu hapa Rais Trump akichimba biti. Sidhani haya makubaliano ni sadfa tu iliyotokea.

Ni matokeo ya biti la Trump kwa Hamas 🤣.


View: https://youtu.be/6RpFe9j8UpU?si=9uNmGyTKD_X9mJW-

Nadhani hujui wala sio mfuatiliaji wa habari za kimataifa
Alyokuwa hataki ceasefire ni netanyahu sio hamas ,na netanyahu alikuwa anapata shinikizo kutoka kwa right wing leaders smotrich na begvir ambao ndio wanaofanya aweze kuendelea kuongoza , walimwambia akikubali ceasefire wao wanajitoa kwa maana hiyo serikali inavunjika
Ila trump kapiga biti la kibabe ,ilibidi netanyahu akae nao right wing kuwaambia its end of the road ,lazima ceasefire deal isainiwe now, huna unachojua zaidi ya story za vijiweni
 
Acha upumbavu, Hakuna mahali Hamas wamemuhofia Trump wala nani, makubaliano waliyoafikia zaidi waliotaka na kushadidia ni Biden mwenyewe baada yakumlazimisha baradhuli mwenzao netanyahu lazima wafikie makubaliano na Hamas kabla ya yeye kuondoka madarakani ili isije ikaonekana utawala wa Biden ulishindwa kusimamisha vita Middle East, na ipo kisiasa zaidi, Sharti kubwa la Hamas ambalo huko nyuma hakukua na maelewano ni Israel aondoe majeshi yake Gaza na Wapaletina warudi kwenye ardhi yao, netanyahu alikuwa hataki sasa amekubali kwa idhini ya bwana wake Biden. Usituletee porojo lako kichwani hapa.
Harakat - Mukawama - Islamia (Hamas)

Either We Die or Win.

Wabishi sana hao majamaa..
 
Wiki iliyopita, tarehe 7, Januari 2025, akiwa Mar a Lago, Rais Trump alichimba biti.

Alisema kwamba ifikapo tarehe 20 mwezi hao mateka wa Hamas hawajaachiwa, basi huko Mashariki ya Kati patachimbika.

Mapema leo/ jana, imetangazwa kuwa Israel na Hamas wamefikia makubaliano ya kusitisha mapigano [licha ya kwamba mapigano halisi yalikuwa yashaisha maana Hamas walikuwa hawapigani kwa sababu wametandikwa vibaya mno].

Katika makubaliano hayo, Hamas na Israel watabadilishana mateka kwa awamu.

Huyu hapa Rais Trump akichimba biti. Sidhani haya makubaliano ni sadfa tu iliyotokea.

Ni matokeo ya biti la Trump kwa Hamas 🤣.


View: https://youtu.be/6RpFe9j8UpU?si=9uNmGyTKD_X9mJW-

Toka mwanzo lengo la Hamas ni kubadilishana Mateka Israel wakakataa, sasa hivi Israel wamekubali kubadilishana Mateka, why utafsiri ni Biti ya Trump kwa Hamas?

Sio siri kila mtu anajua Trump na Netanyahu haziivi, Trump kamtukana Netanyahu hadharani na anapost Video zinazowakashifu Israel, amekaa Meza moja na Hamas.

Sisemi Trump anawapenda Hamas ila ni ujinga Kufikiri Israel kulazimishwa kuachia Mateka ni ushindi kwa Israel, hii vita kila upande umepata casualties kubwa mno.
 
Mleta mada unateseka sana mpaka umeamua kupiga ngoma na kukata mauno wewe mwenyewe!
Ila kama unapata faraja kujiaminisha hivyo,sio mbaya sana kwa amani ya nafsi yako,Yahudi katema tango coz mfadhili anaenda kuangalia raia wake zaidi na sio kumwaga mapesa hovyo nje.
 
Gaza kuna nini cha maana kilichobaki?

Israel ilikuwa inajua hao mateka walipo.

Lakini kwa vile inajali wananchi wake, iliamua kutokutumia nguvu kuwakomboa kwa sababu kufanya hivyo kungekuwa ni counterproductive.

Kwa akili yako unadhani Israel ilishindwa kui carpet bomb Gaza?

Si kila wakati kutumia nguvu ni busara.
Mara kibao IDF wameua raia wao Gaza, Mahaba yatakuua. Kama wangekuwa wanajua walipo why wanawaua?
 
Toka mwanzo lengo la Hamas ni kubadilishana Mateka Israel wakakataa, sasa hivi Israel wamekubali kubadilishana Mateka, why utafsiri ni Biti ya Trump kwa Hamas?

Sio siri kila mtu anajua Trump na Netanyahu haziivi, Trump kamtukana Netanyahu hadharani na anapost Video zinazowakashifu Israel, amekaa Meza moja na Hamas.

Sisemi Trump anawapenda Hamas ila ni ujinga Kufikiri Israel kulazimishwa kuachia Mateka ni ushindi kwa Israel, hii vita kila upande umepata casualties kubwa mno.

Na Blinken kasema, HAMAS cannot be defeated militarily. Sasa sijui walikuwa wanaipa Israel silaha ifanyeje wakati wanajua kuwa huwezi kuishinda HAMAS kijeshi.
 
Gaza wenyewe wamekesha wanashangilia ceasefire, lakini wale mashabiki wao waliopo Bongo and tge rest of Afrika wapo kupanga maandamano kupinga jambo hilo
 
Acha propaganda Israel walikuwa na sharti moja lazima hamasi wawaachie mateka na Hamasi walikataa kwa muda mrefu lkn baada ya kipondo wamekubali na mpaka Sasa Hamasi hawatawali tena Gaza walishafukuzwa wamebaki kwenye mashimo wakitafali moto waliouwasha October 7
Sharti la Hamas ni kubadilishana mateka, Israel Akakataa, akaanzisha vita, uwanja wa Vita hajafanikiwa lolote vs Hamas, sasa hivi Israel Kakubali, nani aliekubali Sharti la mwenzake?
 
Sharti la Hamas ni kubadilishana mateka, Israel Akakataa, akaanzisha vita, uwanja wa Vita hajafanikiwa lolote vs Hamas, sasa hivi Israel Kakubali, nani aliekubali Sharti la mwenzake?
Achana na hiyo Pimbi,inaendeshwa na mahaba ya kijinga,utapoteza muda wako bure tu wala hatakubali kukuelewa.
 
Gaza wenyewe wamekesha wanashangilia ceasefire, lakini wale mashabiki wao waliopo Bongo and tge rest of Afrika wapo kupanga maandamano kupinga jambo hilo
Wanashangilia ceasefire kwa makubaliano yao, sio ceasefire tupu tu bali Wapalestina ambao wapo Jela za wa Israel waachiwe huru.
 
Kufa kijinga ni ufala.

Wasingelianzisha hiyo Oct. 7 si ajabu leo hii wangekuwepo.

Ila kwa vile ni ma zuzu, sasa hivi wanaoza na kugeuka funza huko waliko.

Natamani waliobaki walianzishe tena 🤣.
Acha utoto...
Utawakomboaje mateka waliozingirwa na adui yako?

Mbona mnarahisisha tu mambo namna hiyo.

Siyo rahisi kuwakomboa mateka halafu ufanikiwe kuwakomboa wakiwa hai.

Haya, soma hii.

Taifa teule... Linajua kila kitu, lina mbinu zote za kukomboa mateka ( kumbuka entebe).
 
Back
Top Bottom