Biti la Trump limefanya kazi huko Gaza

Biti la Trump limefanya kazi huko Gaza

Trump ni chizi, tena huwa harembi wala kupaka kwa mgongo wa chupa, makobaz wangekiona kama wangekaidi.
 
Utawakomboaje mateka waliozingirwa na adui yako?

Mbona mnarahisisha tu mambo namna hiyo.

Siyo rahisi kuwakomboa mateka halafu ufanikiwe kuwakomboa wakiwa hai.

Haya, soma hii.

Kama walikuwa wanaelewa hilo kwamba ni risk kwenda kupambana kukomboa mateka, kwanini waliingia Gaza kuishambulia ardhini na angani? kulikuwa na sababu zipi hasa kuingia kijeshi?

Kwanini wasingekubali mazungumzo kabla hadi wanakuja kukubali askari wengi wa Israel wamepelekwa mbele za haki?

Israel ilidhani itajichukulia sifa kwa kuingia Gaza na kufanya OP kijeshi kuvunja ngome ya Hamas na kuwachukua mateka kama OP ya Entebbe, waliona aibu kufanya mazungumzo ya makubaliano na hao wanawaita magaidi, wakataka kuionyesha dunia wao hawashindwi vita, kilichotokea wameshindwa baada ya kuwakuta Hamas hawajakaa kinyonge.
 
Nadhani tungetizama malengo ya kila mmoja halafu tutapata picha which is which.

Kampeni ya Israel ilikuwa na malengo makuu manne : kuitokomeza Hamas, kuwaachilia mateka, kuhakikisha Gaza haileti tishio tena kwa Israeli, na kuwarudisha wakaazi waliokimbia makazi yao Kaskazini mwa Israeli.

Israel imeshindwa kufikia malengo yake makuu, kama vile Marekani ilivyoshindwa huko Afghanistan na Vietnam.

Watu wanapaswa kuelewa: Kwa serikali kushinda dhidi ya wanamgambo kama Hamas au Hezbollah, nguvu haitoshi; unapaswa kushinda mioyo ya watu. Inabidi utoe mbadala bora kuliko hali ilivyo--katika kesi hii, Hamas. Inahitaji suluhisho la kisiasa, suluhisho la kiitikadi, sio la kijeshi. Lakini Israeli hawakushinda mioyo ya watu, kinyume chake kabisa. Israel na Marekani zilishindwa kuwaondoa kabisa kutoka Gaza--lengo lao kuu.

Hata Blinken juzi alisema Hamas imeongeza wapiganaji wengi zaidi hivi sasa kuliko walivyokuwa kabla ya vita.

Na vipi kuhusu mateka? Kuwaachilia mateka iliipaswa kuwa kipaumbele cha kwanza lakini Sio tu kwamba makumi yao bado wako mikononi mwa Hamas, lakini baadhi yao waliuawa wakati wa mashambulizi ya anga ya Israeli.

Badala ya kutokomeza Hamas, Israel imejifanya kuonekana kama taifa la kihuni, na Hamas wametoka katika hali hii wakionekana kama "watetezi" wa upinzani wa Palestina.

Sisemi Hamas hawana lawama, La hasha. Lakini jibu la maelfu ya mabomu hayakuitokomeza Hamas; iliimarisha masimulizi yao. Kila bomu lililoua raia, kila mtoto aliyetolewa kutoka kwenye vifusi, kila familia iliyokata tamaa iliyoachwa bila chakula au maji-yote hayo yalivhochea mashine ya propaganda ya Hamas.

Kijiografia, sifa ya Israeli imeharibika, limebakia sasa kama taifa pariah.Nchi nyingi (kama Uhispania, Ireland, Norway..nk) zimelitambua rasmi taifa la Palestina na hata kujiunga na kesi ya afrika kusini dhidi ya israel

Sifa ya Israel Kimataifa imechafuka. Viongozi wake wanatafutwa rasmi kwa uhalifu dhidi ya ubinadamu. Wanajeshi wa IDF wamesimamishwa kote ulimwenguni. Kuna kesi ya mauaji ya kimbari dhidi ya Israel na taswira yake imeharibiwa vibaya.

Kwa upande wa Palestina, ni wazi.. Gaza imeharibiwa. Zaidi ya 100k waliuawa na bado hakuna taifa la Palestina. Bado wanaishi bila utaifa chini ya vizuizi vya Israeli.

Hamas Walipata kabisa walichotaka. Walitaka kusalia madarakani, kurudisha sababu ya Palestina kuwa nchi huru, kuizuia mpango wa normalization wa Israel na Saudia na kusaidia wafungwa wa kipalestina kutoka jela.

Vita hivi vinaendea kwisha, lakini cha kusikitisha ni kwamba tatizo la Waisraeli na Wapalestina bado halijaisha. Mzozo utaendelea kwa miaka ijayo.
Umeamka toka usingizini mzee? Uwe unakumbuka kwamba endapo Israel wangepambana bila kujali sheria za umoja wa mataifa hali ingekuwa mbaya Sana gaza.

Hamas ktk jaribio lao la kushinikiza palestina kuwa taifa tunaona limefeli kwa sababu hawana taifa wale. Alafu usiseme kuwa Israel imechafuka kidunia utachekwa. Hili Ni funzo kwa vizazi vya wapalestina. Wote tumeona Hamas wakiomba sitisho la vita kwa sababu hali ilikuwa mbaya Sana. Angalia viongozi waliopoteza maisha.

Kwa upande wangu naweza kusema jaribio la hamas lilikuwa na lengo la kushinikiza Israel kufanya mauaji.
 
Usitumie maneno yako. Alisema hivi "kama mateka hawatowachiwa, basi gaza patawaka moto" hakusema patachimbika.

Sasa moto umewaka wapi? Gaza au California 😁.

Gharama za kuirudisha Gaza kwenye ubora wake ni takriban usd 70b. Hasara ya moto wa marekani mpaka sasa imefikia usd 275b na bado moto unaendelea kuwaka.
Labda kwa hilo sasa ndio wataelewa kwanini Mugawama (wanamapambano)hawafi moyo na daima huishi kwa matumaini.
 
Hata ile vita ya kule UKRAINE nayo pia itaisha muda siyo mrefu; RAIS wa Marekani ni RAIS WA DUNIA

Wamwapishe haraka aanze kazi watu tunasubiria kwa hamu kubwa mno na MUNGU AMBARIKI SANA

Dunia imetoka tu kwenye COVID 19, halafu tena tunapokelewa na vita vya kuendeea kumaliza watu kiholela krahisi rahis tu; thisi is unacceptable

MUNGU AMBRAIKI SANA RAIS TRUMP!
 
Huwezi kujieleza vizuri ukaeleweka?
Nimejieleza vizuli kuwa Israel kwasasa awezi kuzuiya viuma missile kutoka IRAN au YEMEN kifupi Israel yupo nyuma kitechnology ndio mana unaona pale YEMEN Israel anaogopa kuuwa raia anajua myemen nae anaweza kulenga raia wa Israel wakashindwa kuzuiya shambulizi na carpet bomb ivyoivyo akipiga nayeye atapigwa. Na ichoicho!!! Kwaiyo sio uruma kutokupiga carpet bomb bari ni kuogopa majibu yake!!!!
 
Ni ngumu kuushinda ukweli, hiyo ndiyo LAW OF NATURE....
alichofanya NETANYAU kutengeneza tu hustoria....
kizazi cha TRUMP , BIDEN, NETANYAU, etc kitapita..... kitakuja kizazi kitashangaa....na kuyaangalia mambo kwa jicho la kweli na haki....kama ambavyo kwa sasa kipo kipo kizazi kinauona kweli na haki lakini hakipo kwenye maamuzi ...DUNIA inaenda ikikua ...na kwa asili BRAIN ya binadamu inakua mwelekeo ya msukumo wa JUSTICE and fair , na ndio maana kila siku binadamu anatengeneza sheria za kuitafuta JUSTICE...kizazi na kizazi . WANAHARAKATI wote duniani wanasukumwa na hiyo hali.
Nguvu haijawahi kushinda HOJA & LOGIC
 
Ni kweli kabisa Israel imepambana kwa kufuata sheria za kimataifa ndio maana ICC inamtafuta Netanyahu ili impe zawadi.
Maana kwa Sasa kidigitali mtu kupata ushindi hatuangalii uharibifu na vifo Bali tunaangalia huruma za watu wanaoangalia pambano
 
Kusema kuwa Hamas wameshinda, ili Israel iendeleze Vita ni ku-support Genocide.

Kuna Lipi limebakia pale, Israel imemaliza majengo sa hivi watu wanaoipuliwa kwenye mahema. Viongozi wa kubwa wa HAMAS wameuliwa.

Na sidhani kama vita imeisha
 
Kusema kuwa Hamas wameshinda, ili Israel iendeleze Vita ni ku-support Genocide.

Kuna Lipi limebakia pale, Israel imemaliza majengo sa hivi watu wanaoipuliwa kwenye mahema. Viongozi wa kubwa wa HAMAS wameuliwa.

Na sidhani kama vita imeisha
Wanaodai Hamas imeshinda ni hao Wapalestina wa Tabata Sanene na Kiuruwi 🤣.
 
Nadhani tungetizama malengo ya kila mmoja halafu tutapata picha which is which.

Kampeni ya Israel ilikuwa na malengo makuu manne : kuitokomeza Hamas, kuwaachilia mateka, kuhakikisha Gaza haileti tishio tena kwa Israeli, na kuwarudisha wakaazi waliokimbia makazi yao Kaskazini mwa Israeli.

Israel imeshindwa kufikia malengo yake makuu, kama vile Marekani ilivyoshindwa huko Afghanistan na Vietnam.

Watu wanapaswa kuelewa: Kwa serikali kushinda dhidi ya wanamgambo kama Hamas au Hezbollah, nguvu haitoshi; unapaswa kushinda mioyo ya watu. Inabidi utoe mbadala bora kuliko hali ilivyo--katika kesi hii, Hamas. Inahitaji suluhisho la kisiasa, suluhisho la kiitikadi, sio la kijeshi. Lakini Israeli hawakushinda mioyo ya watu, kinyume chake kabisa. Israel na Marekani zilishindwa kuwaondoa kabisa kutoka Gaza--lengo lao kuu.

Hata Blinken juzi alisema Hamas imeongeza wapiganaji wengi zaidi hivi sasa kuliko walivyokuwa kabla ya vita.

Na vipi kuhusu mateka? Kuwaachilia mateka iliipaswa kuwa kipaumbele cha kwanza lakini Sio tu kwamba makumi yao bado wako mikononi mwa Hamas, lakini baadhi yao waliuawa wakati wa mashambulizi ya anga ya Israeli.

Badala ya kutokomeza Hamas, Israel imejifanya kuonekana kama taifa la kihuni, na Hamas wametoka katika hali hii wakionekana kama "watetezi" wa upinzani wa Palestina.

Sisemi Hamas hawana lawama, La hasha. Lakini jibu la maelfu ya mabomu hayakuitokomeza Hamas; iliimarisha masimulizi yao. Kila bomu lililoua raia, kila mtoto aliyetolewa kutoka kwenye vifusi, kila familia iliyokata tamaa iliyoachwa bila chakula au maji-yote hayo yalivhochea mashine ya propaganda ya Hamas.

Kijiografia, sifa ya Israeli imeharibika, limebakia sasa kama taifa pariah.Nchi nyingi (kama Uhispania, Ireland, Norway..nk) zimelitambua rasmi taifa la Palestina na hata kujiunga na kesi ya afrika kusini dhidi ya israel

Sifa ya Israel Kimataifa imechafuka. Viongozi wake wanatafutwa rasmi kwa uhalifu dhidi ya ubinadamu. Wanajeshi wa IDF wamesimamishwa kote ulimwenguni. Kuna kesi ya mauaji ya kimbari dhidi ya Israel na taswira yake imeharibiwa vibaya.

Kwa upande wa Palestina, ni wazi.. Gaza imeharibiwa. Zaidi ya 100k waliuawa na bado hakuna taifa la Palestina. Bado wanaishi bila utaifa chini ya vizuizi vya Israeli.

Hamas Walipata kabisa walichotaka. Walitaka kusalia madarakani, kurudisha sababu ya Palestina kuwa nchi huru, kuizuia mpango wa normalization wa Israel na Saudia na kusaidia wafungwa wa kipalestina kutoka jela.

Vita hivi vinaendea kwisha, lakini cha kusikitisha ni kwamba tatizo la Waisraeli na Wapalestina bado halijaisha. Mzozo utaendelea kwa miaka ijayo.
Nonsense.
 
Nenda kapime akili zako wewe kama unamini ceasefire sababu ya Trump. Kipigo cha Hamasi, pia kutoka Yemen pomoja na Hezbullah kabla ya kusimamisha vita ya Lebanon ndio kumeifanya Israel iwe haina nguvu, na US kasaidia mpaa kachoka hawajaweza kuwashinda Hamasi.

Hamasi ni wanaume lazima tukubali ukweli, pia Yemen. Na bila kuwasahau Hezbullah
You're speaking from terrorist point of view that reflects shallow thinking.
 
Usitumie maneno yako. Alisema hivi "kama mateka hawatowachiwa, basi gaza patawaka moto" hakusema patachimbika.

Sasa moto umewaka wapi? Gaza au California 😁.

Gharama za kuirudisha Gaza kwenye ubora wake ni takriban usd 70b. Hasara ya moto wa marekani mpaka sasa imefikia usd 275b na bado moto unaendelea kuwaka.
Kabla ya hiyo tarehe, moto umewaka Marekani! Inasikitisha!!!
 
Kusema kuwa Hamas wameshinda, ili Israel iendeleze Vita ni ku-support Genocide.

Kuna Lipi limebakia pale, Israel imemaliza majengo sa hivi watu wanaoipuliwa kwenye mahema. Viongozi wa kubwa wa HAMAS wameuliwa.

Na sidhani kama vita imeisha
Hamas hana uwezo wa kuprotect Wa Palestina kwa muktadha huu ndio Hamas ameshindwa, sababu Hamas ni both Political Party na wanajeshi.

Ila unapoongelea Jeshi kwa jeshi Wana mgambo wa Hamas na IDF, basi IDF kachakazwa vya kutosha tu. Gaza sasa hivi imejaa mavifaru ya Israel yaliyolipuliwa, kila siku Wanajeshi wao wanakuwa Ambushed, Israel mwenyewe ana claim Askari 800 wameuliwa ila tunajua hawa report wanajeshi wa kawaida wana report wenye vyeo tu, So far wamekiri Colonel 6 wameuliwa, hakuna vita vya karibuni vyote walivyopigana iwe na EGPTY, Jordan, Syria, Lebanon etc ambao viongozi wakubwa wamedondoshwa kama hii.

Sio tu kushindwa kwenye Vita Israel sasa hivi kila eneo Kuanzia SOUTH America, Africa, Asia hadi Ulaya Kidiplomasia wamepoteza vya kutosha, Tumeona Nchi kama Norway, Spain, Ubelgiji, Ugiriki na wengineo wakisitisha diplomacy na Israel tumeona hadi Israel viongozi wao sasa hivi wanatafutwa wakamatwe, kuna Nchi hawawezi kwenda sababu ya ICC.
 
You're speaking from terrorist point of view that reflects shallow thinking.
I deal with so called educated people all the time, who have some of the dumbest opinions and feelings I have ever heard spoken. The only thing you can do is let them be who they are going to be and try to not let them bother you.

Today lesson; Terrorism, in its broadest sense, is the use of violence against non-combatants to achieve political or ideological aim.

Tatizo wehujui kizungu huwa sijui unahifadhi sentence mtu akiongea. Point yangu inahusika vipi na ulicho ongea 🤣
 
makobaz mapumbav tuu, uharooo yapigwe kabisaa jmn ,wengi hawaitaki hio ceasefire
 
I deal with so called educated people all the time, who have some of the dumbest opinions and feelings I have ever heard spoken. The only thing you can do is let them be who they are going to be and try to not let them bother you.

Today lesson; Terrorism, in its broadest sense, is the use of violence against non-combatants to achieve political or ideological aim.

Tatizo wehujui kizungu huwa sijui unahifadhi sentence mtu akiongea. Point yangu inahusika vipi na ulicho ongea 🤣
Your views are always centered on senseless religious bigotry than reasoning and that's why only few radicalized people will pay attention to you.
 
Nenda kapime akili zako wewe kama unamini ceasefire sababu ya Trump. Kipigo cha Hamasi, pia kutoka Yemen pomoja na Hezbullah kabla ya kusimamisha vita ya Lebanon ndio kumeifanya Israel iwe haina nguvu, na US kasaidia mpaa kachoka hawajaweza kuwashinda Hamasi.

Hamasi ni wanaume lazima tukubali ukweli, pia Yemen. Na bila kuwasahau Hezbullah
Ukiwa unatetea haki yao kamwe huwezi choka jamaa wamekuwa wavumilivu sana
 
Back
Top Bottom