Biti la Trump limefanya kazi huko Gaza

Biti la Trump limefanya kazi huko Gaza

Makosa vitani huwa yapo. Friendly fire huwa zinatokea.

So what’s your point?
My point umetupiga kamba kusema wanajua Mateka wote walipo, ni kauli mbili ambazo haziwezi exist kwa pamoja. Kwamba wanajua mateka wote walipo halafu wanaua mateka wao, unless wanawaua makusudi.
 
My point umetupiga kamba kusema wanajua Mateka wote walipo, ni kauli mbili ambazo haziwezi exist kwa pamoja. Kwamba wanajua mateka wote walipo halafu wanaua mateka wao, unless wanawaua makusudi.
Hakuna nilichodanganya.

Ni wewe tu huna comprehension.

Nimsema makosa hutokea. Friendly fire zipo.

Ndiyo, Israel kuna wakati ilifanya makosa na ikaua raia wake. Lakini si wote.

Kuna mateka ambao Israel ilikuwa inajua walipo. Na sikusemq inajua mateka wote walipo.

Ila kujua walipo na kuwakomboa wakiwa hai, si kitu rahisi.

Unaweza kwenda kuwakomboa wakaishia kuuliwa na Hamas na Hamas wakajiua wenyewe.

You have to move carefully and intelligently.

Kipi hapo ambacho huelewi!

 
Hakuna nilichodanganya.

Ni wewe tu huna comprehension.

Nimsema makosa hutokea. Friendly fire zipo.

Ndiyo, Israel kuna wakati ilifanya makosa na ikaua raia wake. Lakini si wote.

Kuna mateka ambao Israel ilikuwa inajua walipo. Na sikusemq inajua mateka wote walipo.

Ila kujua walipo na kuwakomboa wakiwa hai, si kitu rahisi.

Unaweza kwenda kuwakomboa wakaishia kuuliwa na Hamas na Hamas wakajiua wenyewe.

You have to move carefully and intelligently.

Kipi hapo ambacho huelewi!

Kusema kuna mateka Israel ilikua inajua na kusema Israel inajua mateka wote walipo ni vitu viwili tofauti unageuza tu maneno sasa hivi
 
Nadhani tungetizama malengo ya kila mmoja halafu tutapata picha which is which.

Kampeni ya Israel ilikuwa na malengo makuu manne : kuitokomeza Hamas, kuwaachilia mateka, kuhakikisha Gaza haileti tishio tena kwa Israeli, na kuwarudisha wakaazi waliokimbia makazi yao Kaskazini mwa Israeli.

Israel imeshindwa kufikia malengo yake makuu, kama vile Marekani ilivyoshindwa huko Afghanistan na Vietnam.

Watu wanapaswa kuelewa: Kwa serikali kushinda dhidi ya wanamgambo kama Hamas au Hezbollah, nguvu haitoshi; unapaswa kushinda mioyo ya watu. Inabidi utoe mbadala bora kuliko hali ilivyo--katika kesi hii, Hamas. Inahitaji suluhisho la kisiasa, suluhisho la kiitikadi, sio la kijeshi. Lakini Israeli hawakushinda mioyo ya watu, kinyume chake kabisa. Israel na Marekani zilishindwa kuwaondoa kabisa kutoka Gaza--lengo lao kuu.

Hata Blinken juzi alisema Hamas imeongeza wapiganaji wengi zaidi hivi sasa kuliko walivyokuwa kabla ya vita.

Na vipi kuhusu mateka? Kuwaachilia mateka iliipaswa kuwa kipaumbele cha kwanza lakini Sio tu kwamba makumi yao bado wako mikononi mwa Hamas, lakini baadhi yao waliuawa wakati wa mashambulizi ya anga ya Israeli.

Badala ya kutokomeza Hamas, Israel imejifanya kuonekana kama taifa la kihuni, na Hamas wametoka katika hali hii wakionekana kama "watetezi" wa upinzani wa Palestina.

Sisemi Hamas hawana lawama, La hasha. Lakini jibu la maelfu ya mabomu hayakuitokomeza Hamas; iliimarisha masimulizi yao. Kila bomu lililoua raia, kila mtoto aliyetolewa kutoka kwenye vifusi, kila familia iliyokata tamaa iliyoachwa bila chakula au maji-yote hayo yalivhochea mashine ya propaganda ya Hamas.

Kijiografia, sifa ya Israeli imeharibika, limebakia sasa kama taifa pariah.Nchi nyingi (kama Uhispania, Ireland, Norway..nk) zimelitambua rasmi taifa la Palestina na hata kujiunga na kesi ya afrika kusini dhidi ya israel

Sifa ya Israel Kimataifa imechafuka. Viongozi wake wanatafutwa rasmi kwa uhalifu dhidi ya ubinadamu. Wanajeshi wa IDF wamesimamishwa kote ulimwenguni. Kuna kesi ya mauaji ya kimbari dhidi ya Israel na taswira yake imeharibiwa vibaya.

Kwa upande wa Palestina, ni wazi.. Gaza imeharibiwa. Zaidi ya 100k waliuawa na bado hakuna taifa la Palestina. Bado wanaishi bila utaifa chini ya vizuizi vya Israeli.

Hamas Walipata kabisa walichotaka. Walitaka kusalia madarakani, kurudisha sababu ya Palestina kuwa nchi huru, kuizuia mpango wa normalization wa Israel na Saudia na kusaidia wafungwa wa kipalestina kutoka jela.

Vita hivi vinaendea kwisha, lakini cha kusikitisha ni kwamba tatizo la Waisraeli na Wapalestina bado halijaisha. Mzozo utaendelea kwa miaka ijayo.
Umeeleza vyema sana,tatizo watu humu hawajengi hoja badala yake wanaleta utoto na kujibishana kwa mihemko tu!
 
Kusema kuna mateka Israel ilikua inajua na kusema Israel inajua mateka wote walipo ni vitu viwili tofauti unageuza tu maneno sasa hivi
Wapi nimesema “Israel inajua mateka wote walipo”? Pray tell.
 
Like, are you serious? You can sit there and with a straight face claim that Hamas won?

Reeeaally? Causing unspeakable and unmitigated suffering is a win?

Okay 🤣.
Huyo uneyemjibu ni proHAMAS; ameshindwa kuchambua kwa kina kile kinachoendelea vita ya Gaza. Wapalestina raia hawaipendi kabisa HAMAS ila wanaishi nao kinafik tu kutokana na ile hali kwamba Usipojiweka upande wao utauawa au utapotezwa. HAMAS; kwa hatua iliyokuwa imewafika walikuwa hawana tena mbadala iliwabidi wakubaliane na ceasefire deal vinginevyo watamalizwa wote. Inashangaza sana kumsikia mtu anasema HAMAS wameshinda vita.
 
Wiki iliyopita, tarehe 7, Januari 2025, akiwa Mar a Lago, Rais Trump alichimba biti.

Alisema kwamba ifikapo tarehe 20 mwezi hao mateka wa Hamas hawajaachiwa, basi huko Mashariki ya Kati patachimbika.

Mapema leo/ jana, imetangazwa kuwa Israel na Hamas wamefikia makubaliano ya kusitisha mapigano [licha ya kwamba mapigano halisi yalikuwa yashaisha maana Hamas walikuwa hawapigani kwa sababu wametandikwa vibaya mno].

Katika makubaliano hayo, Hamas na Israel watabadilishana mateka kwa awamu.

Huyu hapa Rais Trump akichimba biti. Sidhani haya makubaliano ni sadfa tu iliyotokea.

Ni matokeo ya biti la Trump kwa Hamas 🤣.


View: https://youtu.be/6RpFe9j8UpU?si=9uNmGyTKD_X9mJW-

Hii mbinu Tu watu wale likizo ila bogi litaendelea
 
Hii ndo Gaza ya leo. Huu ndo upande ulioshinda vita eti🤣.

View attachment 3203097

Akili za Hamas na washabiki wao zinalingana.

Hamas hawakuwa na akili ya kutambua kuwa hawawezi tifu na Israel.

Leo wamefikia makubaliano ya kusitisha vita, mashabiki wao wana claim ushindi 🤣.

Talk about being delusional.
Umeulizwa swali lenye hoja we unaweka picha za Gaza kushambuliwa...
(i)Kama Hamas wameshindwa kwanini Israel ina negotiate na Hamas?

Gaza lazima ingeshambuliwa tu, Gaza ni mahala wanapoishi Hamas, je hayo majengo yaliyopigwa na Israel ndio askari wa Hamas hao? Kama hayo majengo ni askari basi ni kweli Israel imeshinda vita.

Israel ina uwezo wa kulipua Gaza yote hilo tunaelewa, wala haionyeshi nguvu za kijeshi za Israel, nchi yeyote yenye ndege vita hata South Africa au Egypt inaweza bomb Gaza yote ukabaki mchanga... hapo sioni hizo nguvu za Israel zio wapi na upekee wao kwenye medani.

Kupigana na kikundi cha migambo wanaoishi kieneo kama kiwilaya, hawana air defenses, hawana vifaru, hawana ndege vita, hawana silaha yeyote ya kutisha, mmezuia chakula kuingia, mmezuia maji, mmezuia matibabu, mmepiga minara ya mawasiliano, lakini bado unashindwa komboa mateka wako hadi unakubali makubaliano bado utajiita mbabe?
 
Hakuna nilichodanganya.

Ni wewe tu huna comprehension.

Nimsema makosa hutokea. Friendly fire zipo.

Ndiyo, Israel kuna wakati ilifanya makosa na ikaua raia wake. Lakini si wote.

Kuna mateka ambao Israel ilikuwa inajua walipo. Na sikusemq inajua mateka wote walipo.

Ila kujua walipo na kuwakomboa wakiwa hai, si kitu rahisi.

Unaweza kwenda kuwakomboa wakaishia kuuliwa na Hamas na Hamas wakajiua wenyewe.

You have to move carefully and intelligently.

Kipi hapo ambacho huelewi!

Umeandika la maana sana Hamas/wapalestina walikuwa wakiwatumia mateka kama ngao na hilo ndo tatizo ambalo Israel lilimsumbua sana na hilo lipo sana kwenye jamii ya hao watu.
Osama wakati anauwawa katika kupambana alitumia wanafamilia yake kama ngao ili asiuwawe.
Katika hii vita wapalestina na Iran ni big malooser
Na ndiyo maana mataifa mengine ya kiarabu kama Egypt, Jordan, Saudia na wengine upuuzi wa kupigana na Israel walishakataa kama Egypt ndo kabisaa kwa kipondo anakipataga miaka na miaka hana hamu na myahudi maana ana historia naye mbaya tena sana tokea enzi ya Musa, na hata alipokusanya waarabu wenzake aliishia kupigwa mpaka kiongozi wao akafa kwa kihoro na mshtuko wa moyo maana hakuamini kilichokuwa kinatokea.
 
Back
Top Bottom