Ndo mwanzao wa taifa lao .. sio kwamba wanapigana hovyo . israeli amesaidiwa na usa pekee trillinon 75 sawa na dollar 30b achilia mbali australia canada na uingereza . Mpaka sasa reputation ya israel imeshaaharibika na dunia imefunguliwa macho kuhusu zionist imperialism jinsi walivyo mashaten . Hii itapelekea baadhi ya nchi kuchukua hatua mapema na kuzuia zionist imperilsim isitawale siasa zao .demage walioipata usa uingerza ni kubwa sana hamna taisfa litakalowaaminiHamas wamekoma. Hawatorudia tena. Unabisha?
wUtawakomboaje mateka waliozingirwa na adui yako?
Mbona mnarahisisha tu mambo namna hiyo.
Siyo rahisi kuwakomboa mateka halafu ufanikiwe kuwakomboa wakiwa hai.
Haya, soma hii.
We know where most of the Hamas hostages are, say Israeli officials - The Jewish Chronicle
Hamas has provided signs of life for some hostages, the officials addedwww.thejc.com
Hii vita kwa usa umekuwa ziadi ya liability itapelekea hata kuwe na mgawanyiko ndani ya usa huko mbele watu wanadukuduku wamelibeba moyo kodi zao zinaplekwa israeli kuua watoto na hata wa marekan wenyeweAcha upumbavu, Hakuna mahali Hamas wamemuhofia Trump wala nani, makubaliano waliyoafikia zaidi waliotaka na kushadidia ni Biden mwenyewe baada yakumlazimisha baradhuli mwenzao netanyahu lazima wafikie makubaliano na Hamas kabla ya yeye kuondoka madarakani ili isije ikaonekana utawala wa Biden ulishindwa kusimamisha vita Middle East, na ipo kisiasa zaidi, Sharti kubwa la Hamas ambalo huko nyuma hakukua na maelewano ni Israel aondoe majeshi yake Gaza na Wapaletina warudi kwenye ardhi yao, netanyahu alikuwa hataki sasa amekubali kwa idhini ya bwana wake Biden. Usituletee porojo lako kichwani hapa.
Ww mwembe togwa unajua raia wa palestina hawaipendi hamasi hongera kwa hiloHuyo uneyemjibu ni proHAMAS; ameshindwa kuchambua kwa kina kile kinachoendelea vita ya Gaza. Wapalestina raia hawaipendi kabisa HAMAS ila wanaishi nao kinafik tu kutokana na ile hali kwamba Usipojiweka upande wao utauawa au utapotezwa. HAMAS; kwa hatua iliyokuwa imewafika walikuwa hawana tena mbadala iliwabidi wakubaliane na ceasefire deal vinginevyo watamalizwa wote. Inashangaza sana kumsikia mtu anasema HAMAS wameshinda vita.
Ndio point ya msingi walikuwa wanataka kuleta porojo za entebe ili waache history ila kwa hapa tulipofika jeshi la isreali ni la kawaida kbisa na dunia nzima imeshaajionea ni jeshi dhaifu .. mno nje ya usa hamna nchi itakayopeleka jeshi lake israle kwa mafunzo kaam ilivyokuwa zamaniKama walikuwa wanaelewa hilo kwamba ni risk kwenda kupambana kukomboa mateka, kwanini waliingia Gaza kuishambulia ardhini na angani? kulikuwa na sababu zipi hasa kuingia kijeshi?
Kwanini wasingekubali mazungumzo kabla hadi wanakuja kukubali askari wengi wa Israel wamepelekwa mbele za haki?
Israel ilidhani itajichukulia sifa kwa kuingia Gaza na kufanya OP kijeshi kuvunja ngome ya Hamas na kuwachukua mateka kama OP ya Entebbe, waliona aibu kufanya mazungumzo ya makubaliano na hao wanawaita magaidi, wakataka kuionyesha dunia wao hawashindwi vita, kilichotokea wameshindwa baada ya kuwakuta Hamas hawajakaa kinyonge.
Ww mwembe togwa unajua raia wa palestina hawaipendi hamasi hongera kwa hilo
Mkuu, dunia imekuwa kama ni kijiji i.e. hakuna kilichofichika. Ukitaka habari yoyote unaipata bila shida.Ww mwembe togwa unajua raia wa palestina hawaipendi hamasi hongera kwa hilo
Kwa taarifa yako tu gaza itajengwa haraka sana kwa mabilioni ya dola ya waarabu, Israel walikuwa hawataki makubaliano ya kusitisha vita kwakuwa Hamas na Houth wangeonekana washindi kwakuwa pesa kwa mwarabu kuijenga gaza sio tatizo, Waarabu wana pesa sana wamejaza kwenye mabank Ulaya magharibi sema akili hawanaNa wenyewe watajipanga tena kwa maelfu ya miaka..........naamini kizazi cha wajinga wapenda kufa ndio kinaenda kupotea ...........hakuna mwananchi mwingine ambaye atapenda kuona tena gharika linatokea pale gaza kwa ajiri ya ujinga.........next time watatumia busara zaidi na sio mihemko kama sasa .......kwenye hili palestine kwa upande wa gaza amepoteza pakubwa........atake hasitake.........wale Israel wataenda marekani na UK huko ndio wanakopenda kusafiri
Kakwambia nani??? Washindwe kuwasaidia wakati wa vita kabla hata mambo hayajaharibika waje sasa hivi papo kama jangwani ?? Kweli ukiwa wa mudi unakuwa taahira hata kama uko sawa kichwaniKwa taarifa yako tu gaza itajengwa haraka sana kwa mabilioni ya dola ya waarabu, Israel walikuwa hawataki makubaliano ya kusitisha vita kwakuwa Hamas na Houth wangeonekana washindi kwakuwa pesa kwa mwarabu kuijenga gaza sio tatizo, Waarabu wana pesa sana wamejaza kwenye mabank Ulaya magharibi sema akili hawana
Taliban kuna namna wamebadilika sana mkuu.US na mataifa ya magharibi waliwekeza fortune kumchapa Talibani. Leo wana kipi cha kuonyesha? Taliban hajabadili misimano yake hata inchi moja!
Religion can be a source of comfort and guidance, because we need to know what pleases God and what angers Him.Your views are always centered on senseless religious bigotry than reasoning and that's why only few radicalized people will pay attention to you.
Anaye kuambia hawapo labda awe ni shoga, wanaume huwa hawaishi.Hamas na Hezbollah kwani bado wapo? Maana Netanyahu amefanya mauaji ya kutisha
Anaye kuambia hawapo labda awe ni shoga, wanaume huwa hawaishi.
Kumbe wewe ni muflisi 🤣Kuna maneno mtu akionge unajua ni muflisi.
Hamas na Hezbollah wamesambaratishwa.
Na wanaoamini Donald Trump ndio suluhisho, nao pia wamesambaratishwa.
Sisi wenyee...tusiotegemea mambo ya wanadamu, ukweli utatuweka huru
Kuna maneno mtu akionge unajua ni muflisi.
Hamas na Hezbollah wamesambaratishwa.
Na wanaoamini Donald Trump ndio suluhisho, nao pia wamesambaratishwa.
Sisi wenyee...tusiotegemea mambo ya wanadamu, ukweli utatuweka huru
Kumbe wewe ni muflisi 🤣
Kumbe wewe ni muflisi 🤣
Wazungu wanaamini katika 'bombing hard'. 'Wali-bombiana' kwenye WW1 na WW2 wakalegezana. Wakaona utamu wake. Waka-bomb Vietnam, Iraq, Afghanistan, Libya na sasa Gaza. Haijulikani nani atafuata kuwa bombed.US na mataifa ya magharibi waliwekeza fortune kumchapa Talibani. Leo wana kipi cha kuonyesha? Taliban hajabadili misimano yake hata inchi moja!