Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Picha hazionekani?Mkuu ulitulipia Karo?
Anyway, Picha ikwapi?
Propaganda kivipi? Kwamba huko Kosovo hakuna walioandamana kuunga mkono kampeni ya Black Lives Matter?Hizi propaganda bana, eti hadi Cosovo na Tunisia
So US ambayo Imewahi kuwa na black president, black secretary of state, black governors, Mayors, Senators, Senior Police officers etc etc imekuwa racist kuliko hata Tunisia na Cosovo?
Shangazi hajaitisha maandamano?Mbona Tz hatuandamani? 🤣🤣😂😂🤣😆😆😆
Picha hazionekani?
Cosovo Kuna ethnic and racial discrimination kuliko US, wanabagua hadi wazungu wenzao, Serbs, Bosniaks, TurksPropaganda kivipi? Kwamba huko Kosovo hakuna walioandamana kuunga mkono kampeni ya Black Lives Matter?
[emoji23] [emoji23]"If black lives matter then white lives do not matter" [emoji1787]
naweza kukubaliana na wewe, haya maandamano na wanayoyaunga mkono Wana agenda zao nyingine Japo baadhi Ni genuineWatu weusi wanatumiwa tu kwenye maugomvi ya ideologies ya Muzungu, hakuna Muzungu anayejali maisha ya Black Amerikan huko USA, hiyo ni politics perse, left vs right, blacks wanatumiwa tu kama mbuzi wa kafara, BTW mwanzilishi wa BLM ni Muzungu na iko funded na evil Jew George Soros kupitia Open Society, ...
Huyo ndiyo sponsor wa BLM
View attachment 1471448
Kwann wasiandamane wanavyouliwa na polisiJamaa wametisha sana, hongera kwao.
Ila hii kitu ukichimbua kwa undani zaidi unaweza sema ni kitu ilipangwa ili kizima ishu ya Corona. Eti hadi hapa Kenya wanaandamana aisee
Halafu kuna wakuja wanaimba eti mabeberu Hali hata uwezo wa kuwalipa wastaafu tu shida.Aisee!..hii inaonyesha Marekani 🇺🇸🇺🇸🇺🇸 taifa kubwa, hili tukio limegusa kila pembe.
Marekani ikipiga chafya dunia nzima inapata mafua.
[emoji23] [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app