Black Lives Matter: Images from around the world

Black Lives Matter: Images from around the world

Cosovo Kuna ethnic and racial discrimination kuliko US, wanabagua hadi wazungu wenzao, Serbs, Bosniaks, Turks
Halafu wanaenda kuandamana ofisi za ubalozi wa US kupinga maandamano
Cosovo, Tunisia, Bulgaria
Ubaguzi upo kila sehemu. Hata watu wa race moja wanaweza kubaguana wao kwa wao, kama ilivyo India huko.

Nadhani wa msingi ni kwamba, ubaguzi wa aina yoyote ile, popote pale, ni mbaya.
 
naweza kukubaliana na wewe, haya maandamano na wanayoyaunga mkono Wana agenda zao nyingine Japo baadhi Ni genuine


Kwanza haya maandamano yanatuharibia zaidi na kutufanya tudharauliwe na kila mtu, kwamba sisi tunataka special treatment kwa sababu ni binadamu wanyonge, pale ambapo wengine wanafight wanajitahidi kufanikiwa maishani sisi tunataka special treatment, sasa hivi kuna Universities USA zimelower reqirements for Blacks ili kuwasaidia, hiyo inaleta picha gani? Wengine wote Wachina, Wahindi wana struggle to get ahead sisi tunapewa special treatment, sasa nani atakuheshimu?

Hii BLM inaharibu zaidi maisha na heshima yetu kuliko watu wanavyodhania, hakuna mtu atatuheshimu, kwani tunaonesha unyonge wetu mbele ya Dunia, I mean kwa nini Muzungu anayeishi New Zealand akaandamane eti Black life matters? Ina maana sisi kama weusi tuna tatizo, ndiyo tafsiri yake, ...
 
What a time to be alive! By the way, let's talk politics Ngabu; do you see Trump getting through this year's election?
Hard to tell.

Trump is not your typical politician.

I didn’t see him winning in 2016 and he did.

My gut feeling tells me he won’t win again this year...but my gut feeling is just that. A gut feeling.

We’ll find out on election day.
 
Ubaguzi upo kila sehemu. Hata watu wa race moja wanaweza kubaguana wao kwa wao, kama ilivyo India huko.

Nadhani wa msingi ni kwamba, ubaguzi wa aina yoyote ile, popote pale, ni mbaya.
Hao jamaa wameenda ubalozi wa US kuandamana ikimaanisha Kama wanaisuta Marekani kwa ubaguzi, wakati kwao upo worse
Wangeandamana kupinga ubaguzi in general afadhali
 
We ngedere ngabu hiyo lugha hata mfalme wetu haiwezi na anaichukia sambuse sisi watanzania wanyonge
 
Friends...this one has a different feel to it.

There’s something about it that makes it very different from events of the past.

Demonstrations from Kosovo to Tunisia to Bulgaria.

From Seoul to Tokyo.

Wow! Just wow!

I hope it will be that watershed moment in the quest for social justice and equal human rights.

I’ll keep my fingers crossed and my eyes wide open that it is that moment!

View attachment 1471428View attachment 1471429View attachment 1471430View attachment 1471431View attachment 1471432View attachment 1471433View attachment 1471434View attachment 1471435View attachment 1471436
Mzee wa 'Awol' na 'Faux bravado' na viingereza vingine uchwara na za kukera. Si ni wewe kila mara humu unang'aka CNN ni fake news siku hizi hata huifuatilii? Kwa nini sasa unacopy huko na kuja kupaste humu.
 
Ubaguzi upo kila sehemu. Hata watu wa race moja wanaweza kubaguana wao kwa wao, kama ilivyo India huko.

Nadhani wa msingi ni kwamba, ubaguzi wa aina yoyote ile, popote pale, ni mbaya.
Jamii zozote zisizo fanana hazichangamani
 
Kwanza haya maandamano yanatuharibia zaidi na kutufanya tudharauliwe na kila mtu, kwamba sisi tunataka special treatment kwa sababu ni binadamu wanyonge, pale ambapo wengine wanafight wanajitahidi kufanikiwa maishani sisi tunataka special treatment, sasa hivi kuna Universities USA zimelower reqirements for Blacks ili kuwasaidia, hiyo inaleta picha gani? Wengine wote Wachina, Wahindi wana struggle to get ahead sisi tunapewa special treatment, sasa nani atakuheshimu?

Hii BLM inaharibu zaidi maisha na heshima yetu kuliko watu wanavyodhania, hakuna mtu atatuheshimu, kwani tunaonesha unyonge wetu mbele ya Dunia, I mean kwa nini Muzungu anayeishi New Zealand akaandamane eti Black life matters? Ina maana sisi kama weusi tuna tatizo, ndiyo tafsiri yake, ...

Far right groups wanaweza kutumia hii kupata points kuwa, watu weusi na weupe hawachanganyikani, wanatumia hoja hii kuwa USA miaka 400 Hadi leo blacks na White bado hawaivi,

So kuruhusu wahamiaji weusi nchi ya weupe Ni disaster...hii agenda inaweza kuwepo pia kwa hao wanaondama,
 
Jamii zozote zisizo fanana hazichangamani
Haya maandamano yanaweza yakawa yanatuma ujumbe huu, na inawezekana watu wengi wanayapa promo sio kwa ajili ya kuwa wanajali watu weusi, Ila wanataka kuziambia nchi zao kuwaruhusu wahamiaji weusi Ni hatari, kamwe hawatachangamana
Hasa Kipindi hiki ambacho wimbi la wahamiaji limeshika Kasi ulimwenguni
 
Far right groups wanaweza kutumia hii kupata points kuwa, watu weusi na weupe hawachanganyikani na kukawa na amani, wanatumia hoja hii kuwa USA miaka 400 Hadi leo blacks na White bado hawaivi,

So kuruhusu wahamiaji weusi nchi ya weupe Ni disaster...hii agenda inaweza kuwepo pia kwa hao wanaondama,


Swala ni jinsi Dunia inavyotuona, sisi ni watu dhaifu ambao tunahitaji ,,Special treatment” kusurvive, usisahahu kwamba siyo sisi tu tunaobaguliwa Wachina, Wahindi, Waarabu wote wanabaguliwa lkn ulishawahi kusikia Dunia nzima ikiandamana na Arab lives matter au Indian na Chinese? Kwa nini sisi tu?

Usisahau pia Waafrika tunalia pia kubaguliwa ndanii ya Afrika yetu na wageni wakati kila kitu ni chetu, sasa kwa nini?

Nilifika Ghana, huko kuna Walebanoni wengi wanafanya Biashara, Waghana wanalalamika kubaguliwa na Walebanoni ndani ya Ghana, kwa nini Walebanoni wasibaguliwe na Waghana ndani ya Ghana?

Huu ujinga wa BLM unafanya more damage kwa mtu mweusi, kwani hakuna mtu atakuheshimu kama wewe ni mtu wa kuhurumiwa na kupewa special treatment, ...
 
Mzee wa 'Awol' na 'Faux bravado' na viingereza vingine uchwara na za kukera. Si ni wewe kila mara humu unang'aka CNN ni fake news siku hizi hata huifuatilii? Kwa nini sasa unacopy huko na kuja kupaste humu.
Sikiliza wewe...

Kuna CNN Domestic na CNN International.

CNN Domestic inaonekana Marekani. Hii ndo imebadilika sana. Imekuwa chombo cha propaganda.

CNN International bado iko vizuri kiasi.

Hizi ni stesheni mbili tofauti ingawa zinachangia jina moja, lakini pia zinalenga kufikia hadhira tofauti.

Kuna baadhi ya vipindi huwa vipo kwenye stesheni zote mbili. Ila vipindi vingi huwa vipo tofauti.

Kwa mfano, vipindi vya Marketplace Africa na Inside Africa huwa havionekani kwenye CNN Domestic.

Hata watangazaji ni tofauti.

Kwa hiyo, ninapoinanga CNN, huwa namaanisha ile ya Domestic, ambayo haionekani kwenye nchi zingine.

Hizo picha sijazitoa kwenye CNN Domestic. Nimezitoa CNN International, ambayo kwangu bado iko ‘palatable’.

Umeelewa sasa?
 
Sikiliza wewe...

Kuna CNN Domestic na CNN International.

CNN Domestic inaonekana Marekani. Hii ndo imebadilika sana. Imekuwa chombo cha propaganda.

CNN International bado iko vizuri kiasi.

Hizi ni stesheni mbili tofauti ingawa zinachangia jina moja, lakini pia zinalenga kufikia hadhira tofauti.

Kuna baadhi ya vipindi huwa vipo kwenye stesheni zote mbili. Ila vipindi vingi huwa vipo tofauti.

Kwa mfano, vipindi vya Marketplace Africa na Inside Africa huwa havionekani kwenye CNN Domestic.

Hata watangazaji ni tofauti.

Kwa hiyo, ninapoinanga CNN, huwa namaanisha ile ya Domestic, ambayo haionekani kwenye nchi zingine.

Hizo picha sijazitoa kwenye CNN Domestic. Nimezitoa CNN International, ambayo kwangu bado iko ‘palatable’.

Umeelewa sasa?
Sijaelewa
 
Hao jamaa wameenda ubalozi wa US kuandamana ikimaanisha Kama wanaisuta Marekani kwa ubaguzi, wakati kwao upo worse
Wangeandamana kupinga ubaguzi in general afadhali
Hata Marekani mbona huwa inazisuta nchi zingine kuhusu haki za binadamu ilhali kuna baadhi ya Wamarekani hawazipati hizo haki!

Ubinadamu ndo ulivyo. Kusutana kwa namna hiyo ndo sehemu ya kukumbashana kuhusu mapungufu tulonayo binadamu.
 
Acha uongo USA haijawahi kuwa na rais black na haitakuja kutokea,Obama ni shombe mchanganyiko wa rangi 2 sio mweusi maana Mama yake ni mzungu pure na baba yake ndio mweusi.itachukua zaidi ya miaka 500 USA kuwa na rais mweusi.
Hizi propaganda bana, eti hadi Cosovo na Bulgaria
So US ambayo Imewahi kuwa na black president, black secretary of state, black governors, Mayors, Senators, Senior Police officers etc etc imekuwa racist kuliko hata Cosovo na Bulgaria?
 
Hard to tell.

Trump is not your typical politician.

I didn’t see him winning in 2016 and he did.

My gut feeling tells me he won’t win again this year...but my gut feeling is just that. A gut feeling.

We’ll find out on election day.

I think the 2020 election is different.

Looking back at a number of issues he has been recently in, including his response to the protests of George Floyd killing and police brutality, his handling of the Covid 19 pandemic, the claims that he has been lying about things, the growing number of political and retired military figures denouncing him etc, etc.

I don't see his chance of winning this election.
 
Back
Top Bottom