Snapdragon 8
JF-Expert Member
- Jan 16, 2023
- 1,046
- 3,781
are not meant wapi bana mnanunua kutafuta uniqueness wakat mna hela za mawazo😁😁😁Kama vile kuna ka ukweli fulani.
European cars are not meant to be driven in Africa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
are not meant wapi bana mnanunua kutafuta uniqueness wakat mna hela za mawazo😁😁😁Kama vile kuna ka ukweli fulani.
European cars are not meant to be driven in Africa
12M tena kwa A4 labda ilikuwa latest Audi A4 tena S line package lakini bado akili inakataa.Labda anamaanisha ECU mkuu
ila dar kumiliki gari alafu unaenda nayo town ni gharama sana... kuna kipindi nilikuwa nalipa hela ya parking alafu ukirudi unakuta kuna jamaa wameioshaa bila kuambiwaa...bado kuna wale wa kukutafutia sehemu ya kupark au kuilinda asipark mwingine shida sanaaKijana unakopa hela kupitia mshahara wako halafu parking unatumi ile ya CCM.. Ni ujinga mtupu.
Isije kuwa mambo ya Immobilizer watu wameyakuza.Kiufupi sijui ni card gani ila audi ilikuwa kali sana haitembei wala kuwaka...changamoto card ilikua sijui operation yake inatumuia vipi hiyo card ila bila card haiwaki
Kweli ni story mkuu. Mwenyewe niliwahi bisha vitu kama wewe pasipokujua ila nilipofika dukan sikuamini nlichojibiwaHizi sasa stori za vijiweni (stori za Jaba). . . .
Sensor gani ya kuuzwa 12M?
Labda Sensor ya Bugatti.
Mkuu hamna sensor ya 12M labda kama mjadala wetu unahamia kwenye super cars zile wanazozireview akina Car Blondie.Kweli ni story mkuu. Mwenyewe niliwahi bisha vitu kama wewe pasipokujua ila nilipofika dukan sikuamini nlichojibiwa
Nilikuta dereva mmoja anaendesha scania ule ufunguo wa gari umefunwa pale pale hautolewi. Nkawauliza kwann mmeufunga hapo wakanambia bora ukae hapo kuliko upotee maana bei yake n kubwa ni milion moja na usheeIla aisee spea na service za magari kama huna helaa usijaribu kununua gari za mzunguu walahi... kuna audi niliona inauzwa mil 4 za kitanzania ila shida yake ni CARD ya kucontrol system nzima sijui... kuuliza mtu card inauzwa sh ngapi weeee mil 12+ hapo unaagiza toka nje.
Tukihamia kwenye trucks ni different story, Kuna tracks programming ya funguo inafika 10M kazi ambayo kwenye gari ndogo kwa gari nyingi haivuki hata laki 5Nilikuta dereva mmoja anaendesha scania ule ufunguo wa gari umefunwa pale pale hautolewi. Nkawauliza kwann mmeufunga hapo wakanambia bora ukae hapo kuliko upotee maana bei yake n kubwa ni milion moja na ushee
duuh na ukizidi kuiacha ndo inazidi kuharibikaa...!!Mi yangu iligonga dalaja sku wametangaza kifo cha jiwe ad leo imenishinda iko garage moja apa arusha inatakiwa kunyooshwa na engine imenock
Nilishelekea sana kifo cha jiwe sasa saiv nalia na matengenezo ya x5
Ndio mkuu na mie siku maanisha hizo gar alizomaanisha mtoa uziTukihamia kwenye trucks ni different story, Kuna tracks programming ya funguo inafika 10M kazi ambayo kwenye gari ndogo kwa gari nyingi haivuki hata laki 5
scania.Whaaaat! Sensor gani hiyo 12M? Ya gari ipi?
huko ni kujikweza na kufanya matumizi yasiyo na tija kwa business changa (jifunzeni kwa wahindi). Unataka kumu'impress' mlinzi, atakuwa na manufaa gani kwako pale biashara yako itakapoanguka? Chukua taxi basi au siku hizi uber na bolt wamejaa hasa hapa Dar.Kuna cases kwa kijana kumiliki gari ambazo mimi naweza kuziona za muhimu kuliko vitu vingine,
Kama mtu anafanya biashara hata kama ni start up gari inamuongezea thamani,
Kama ushaenda kwenye maofisi makubwa kwa mguu au hata bodaboda tu nadhani utakuwa unajua sarakasi ambazo walinzi huwa wanawachezesha watu. Huo ni mfano tu ila zipo cases nyingi sana.
Unaweza kujuta.
Maana yake Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo.Wewe Kiranga huamini kama Mungu yupo ila unamiliki ndinga kali... hii maana yake nini?
Kuna ofisi mkuu unaishia getini unaondoka hivihivi unajiona, Natamani aje mtu aliyeexperience hicho kitu ndio anaweza kuelewa naongelea nini.huko ni kujikweza na kufanya matumizi yasiyo na tija kwa business changa (jifunzeni kwa wahindi). Unataka kumu'impress' mlinzi, atakuwa na manufaa gani kwako pale biashara yako itakapoanguka? Chukua taxi basi au siku hizi uber na bolt wamejaa hasa hapa Dar.
We unazungumza mambo ya kuimpress mlinzi???huko ni kujikweza na kufanya matumizi yasiyo na tija kwa business changa (jifunzeni kwa wahindi). Unataka kumu'impress' mlinzi, atakuwa na manufaa gani kwako pale biashara yako itakapoanguka? Chukua taxi basi au siku hizi uber na bolt wamejaa hasa hapa Dar.
hizo ni biashara za kitoto basi, hivi mlinzi ana uamuzi gani kwenye deals za mtu kama umefanya appointment na kupitia kwenye njia sahihi.We unazungumza mambo ya kuimpress mlinzi???
Mtu anaenda kuomba deals kwenye kampuni mlinzi anamtolea nje kuingia ndani sababu tu amekuja ya mguu au na bodaboda.
Yaani ukose deals kwa sababu za kipuuzi. Ujinga huo.
Kwani kila sehemu unapoenda kuomba deal unakuwa umefanya appointment na mtu, haya mambo mimi naongea kuna watu yamewakuta wala siyo story. . . .hizo ni biashara za kitoto basi, hivi mlinzi ana uamuzi gani kwenye deals za mtu kama umefanya appointment na kupitia kwenye njia sahihi.
Sijawahi kusikia hii ila hapa Tanzania kuwa mlinzi ana nguvu za kufanya decisions kama vile ana share kwenye hiyo kampuni.