dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
shida ni kwamba hana tools sahihi ( au anazo ila hajui kuzitumia), so hajui shida iko wapiKama shida ni taa
anaishia ku trial&error
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
shida ni kwamba hana tools sahihi ( au anazo ila hajui kuzitumia), so hajui shida iko wapiKama shida ni taa
Tools kuu zipo mkuu! Kubwa mbili ni scan tool na OBD 1shida ni kwamba hana tools sahihi ( au anazo ila hajui kuzitumia), so hajui shida iko wapi
anaishia ku trial&error
Unajua ukiwaambia vijana kwamba kumiliki gari kunahitaji fedha nyingi wanakuona kama wewe unawazibia. Wakipita kwenye mitandao na kuona magari yanauzwa kwa bei fulani anaona ni vyema akakope bank anunue huo mgari ili apate kutamba nao mitaani. Hana uzoefu wa bajeti ya mafuta wala gharama za matengenezo. Na wakati huo hana umiliki wa kiwanja au hata kujenga chumba kimoja cha kuishi.Kutunza gari ni kazi na wengi hawawezi.
Kuna mtu alikuja na e90 ikiwa mpya mwaka jana,
Mwezi uliopita nimeenda kuiona nikabaki nimeshika mikono kichwani.
Kila baada ya muda upi gas ya AC inajazwa?Kingine mafundi wanakua na njaa kali, wakiona gari ya European, hata kujaza gesi ya AC tuu utapigwa bei kubwa akalipe ada ya watoto
Muda wowote baada ya miaka miwili ya matumizi, ila unaweza kupata majanga, ukapata gas leakage etcKila baada ya muda upi gas ya AC inajazwa?
Duh! Ahsante!Muda wowote baada ya miaka miwili ya matumizi, ila unaweza kupata majanga, ukapata gas leakage etc
Kuna muda unaacha gari nyumbani sio kwamba unapendaa[emoji28][emoji28][emoji28] kutembea na gari unachungulia mshalee na foleni za dar ni undezii.. kumaintain gari sio kazi ndogoo ukinunua kwa ajili ya kwenda nalo kazini labda kama karibu ila more than 20km bhasi andaa si chini ya 10k ya mafuta daily.Unajua ukiwaambia vijana kwamba kumiliki gari kunahitaji fedha nyingi wanakuona kama wewe unawazibia. Wakipita kwenye mitandao na kuona magari yanauzwa kwa bei fulani anaona ni vyema akakope bank anunue huo mgari ili apate kutamba nao mitaani. Hana uzoefu wa bajeti ya mafuta wala gharama za matengenezo. Na wakati huo hana umiliki wa kiwanja au hata kujenga chumba kimoja cha kuishi.
Vipaumbele vya vijana vimekaa ki reverse reverse.
Kuna cases kwa kijana kumiliki gari ambazo mimi naweza kuziona za muhimu kuliko vitu vingine,Unajua ukiwaambia vijana kwamba kumiliki gari kunahitaji fedha nyingi wanakuona kama wewe unawazibia. Wakipita kwenye mitandao na kuona magari yanauzwa kwa bei fulani anaona ni vyema akakope bank anunue huo mgari ili apate kutamba nao mitaani. Hana uzoefu wa bajeti ya mafuta wala gharama za matengenezo. Na wakati huo hana umiliki wa kiwanja au hata kujenga chumba kimoja cha kuishi.
Vipaumbele vya vijana vimekaa ki reverse reverse.
Inategemea imeharibika nini,Utajuaje turbo ni mbovu?
Diesel au Petrol?Gari ilikuwa inapoteza nguvu na Ina electric nozzles
Kwani jamani scanner si inaonesha? Au mkipeleka magari Diagnostic macho huwa yanakuwa wapi?Wengi wanatumia Scanner za zamani au latest ambazo baadhi ya magari hayapo, hivyo wanaishia kuanza jaribu kwa kubadili sensor na kukuambia kajaribu afu utatwambia
Hawajui na vifaa vya kuunga unga .M na uchafu? Duuuh! Hivi kwamba mafundi wengi hawana profession au?!
Hiyo ni bei ya hapa ila nje kuna unafuu.Spea za mjerumani unaagiza Toyota mpyaa
Hizo bhana labda wamiliki watupe experience maana wamejaa humu ndani.Mkuu vipi mark x au bravis,kuhusiana na maintenance?
Hizi sasa stori za vijiweni (stori za Jaba). . . .Niliwahi kuta bei ya sensa moja ya gar ni milion 12. Dah nilipagawa kusikia hiyo bei
Hajasema kama ni petrol au DieselHapo ni nozzle/injector ni shida... pia tatizo linaweza kuwa cylinder leakage...
Ila gari ingekuwa inapoteza nguvu ukiongeza mwendo, hapo tatizo kubwa lingekuwa ni IGF, kwamba IGF (ignition feedback signal) ingekuwa haifiki kwa ECU...
Mimi mwaka huu baada ya kulitumia gari miaka 7 ndio nikafanya service kubwa iliyonicost kama 140,000 na nilimmind fundi kwamba kanipigaMjapan ukiwa na 200k unafanya service saafi kabisa, sasa njoo mzungu oil pekee 150k+ hujagusa filter, hydraulic, brakepades, hujagusa Sparkcoils, airfilter Nk.
Ukimaliza hapo fundi amekaa paleee ana kimashine cha POS [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] au Lipa namba
Sasa kwa nini wasijishushe na kujifunza vitu vipya? Seems ni wajuaji mnoHawajui na vifaa vya kuunga unga .