JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,381
- 9,744
Tindo na nyundo havisolve matatizo makubwaIS
IST unapelekaje Toyota wakati fundi anakufuata home tuna nyundo na tindo tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tindo na nyundo havisolve matatizo makubwaIS
IST unapelekaje Toyota wakati fundi anakufuata home tuna nyundo na tindo tu
Nyinyi mafundi mwaongoza, mkikutana na wamiliki wajuaji mnaharibu kabisa kukomoa.Hata wamiliki pia ni tatizo muda mwingine.
Kuna visa vya wamiliki tunatamani kuvileta humu ila tunakausha tu.
Wakuu nimeshuhudia hizi gari zikitelekezwa Garage kadhaa hapo Dar. Wamiliki wamechemsha kuzimaintain? Tuachane na kumiliki gari kwa kufuata mkumbo.
MC pilipili like X3 lake sijui kalificha wapi siku hizi
View attachment 2682010View attachment 2682011View attachment 2682012
Chain guide zimekufa(kwa maana ni plastics so zinadeteriorate faster sana), chain imestretch, unataka ufanye nini na hiyo gari?Kwamba ni lazima abadilishe chain
Tunazingua nini mkuu?Nyinyi mafundi mwaongoza, mkikutana na wamiliki wajuaji mnaharibu kabisa kukomoa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] msichukulie kienyeji haya mambo jamaniIS
IST unapelekaje Toyota wakati fundi anakufuata home tuna nyundo na tindo tu
Unawa diss mafundi wetu Mshana Jr[emoji23][emoji23][emoji23]Gari za kupewa zawadi
Kutaka kuitumia kama unavyotumia magari ya Toyota
Mikono mingi
Mafundi wa vichochoroni
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu kumbe ni ushamba tu. Yaani anapima na scan tool kabisa?[emoji23]Unampelekea fundi anajifanya anapima na mashine kumbe naye mwizi tu, tatizo dogo anataka atajirikie hapo
Injector? Yaani wanapima waonekane wana uwezo ilhali hawajui kutafsiri vipimo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakuna wapumbavu kama Hawa Vijana wapima na machine, hawajui kutafsiri codes wanakubambikia ugonjwa Mkubwa katika Gari lako, Mimi walishaninunulisha turbo wakati Gari ilikuwa na shida ya nozzle, very useless
Vilete mkuuHata wamiliki pia ni tatizo muda mwingine.
Kuna visa vya wamiliki tunatamani kuvileta humu ila tunakausha tu.
Kabisa. Ila wapoje wachache by professionalMafundi wapo mkuu, watu tu hawazingatii service na bei ha spea pia inawakaanga baadhi ya watu.
Utajuaje turbo ni mbovu?Wewe tu fundi wako uliyepata alikuwa miyeyusho, mbona turbo kama ni mbovu inajieleza
Kwamba kadri unavyoendesha linapoteza nguvu?Gari ilikuwa inapoteza nguvu na Ina electric nozzles
Wengi wanatumia Scanner za zamani au latest ambazo baadhi ya magari hayapo, hivyo wanaishia kuanza jaribu kwa kubadili sensor na kukuambia kajaribu afu utatwambiaHalafu kumbe ni ushamba tu. Yaani anapima na scan tool kabisa?[emoji23]
Ye si anachukua maokoto 🤣 watu watapigwa kama ngomaChris Lukosi anawaaminisha madungu jeshi ndio kila kitu ,sio unamiliki kibakuli.
Wanapokuambia ubadili sensor unahisi wanaongopa? Si wanakuambia walichokiona kwenye majibu ya scanner au?Wengi wanatumia Scanner za zamani au latest ambazo baadhi ya magari hayapo, hivyo wanaishia kuanza jaribu kwa kubadili sensor na kukuambia kajaribu afu utatwambia
Masikini kumbe wapo wenye magari pia? DaahHujielewi, ninayo Kama hiyo ilipata ajali mwezi baada ya kufika Tanzania, sitaki ipiga rangi, nangoja spare parts zake.
Kumbuka, wakati nangoja parts zake nina hardtop 1Hz, intercooler, kwa hiyo sio pressure wala kungoja hizo parts, na hakuna haraka.
Aliyepark hayo magari anaweza kuwa na uwezo mkuwa sana, au keshanunua au kulipwa na insurance, na Aliyepark hapo ni maskin kadunduliza kununua kwa 6m.
Ni kweli nisemayoUnawa diss mafundi wetu Mshana Jr[emoji23][emoji23][emoji23]