dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Invoice ikija ni bei ya Passo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Invoice ikija ni bei ya Passo!
Mkuu vipi mark x au bravis,kuhusiana na maintenance?Hebu tafuta wamiliki wa Crown Majesta au Lexus Gs, au gari yoyote inayotumia UR engines yaani 1UR-FSE, 2UR-FSE na 3UR-FSE wakupe stori zao.
Yaani ikianza kuondoa inapoteza nguvu kabisa karibia kuzima the ikichanganya Inakuwa SawaKwamba kadri unavyoendesha linapoteza nguvu?
M 2 usawa huu si mchezo aiseeAiseeee, Ikianza kumsumbua timing Chain awe na 2M pembeni ya kufix hiyo shida.
Na ndio ugonjwa mkubwa wa hizo gari.
Hakika mkuuInaweza kuwa nzima shida ni utunzaji wetu, mtu anaendesha gari kama mkokoteni, no service wala nn
Pia ukiendesha mwendo mdogo linapoteza nguvu?Yaani ikianza kuondoa inapoteza nguvu kabisa karibia kuzima the ikichanganya Inakuwa Sawa
ulikuja kuona uliambiwa nauzaKutunza gari ni kazi na wengi hawawezi.
Kuna mtu alikuja na e90 ikiwa mpya mwaka jana,
Mwezi uliopita nimeenda kuiona nikabaki nimeshika mikono kichwani.
YapPia ukiendesha mwendo mdogo linapoteza nguvu?
Insurance zake zinakuwaje, siyo Comprehensive? Maana kumiliki gari kubwa hivyo bila bima kubwa nayo ni ujinga sana. Na kama zina bima kubwa je imeshindwa kufanyia ukarabati mpaka mmiliki kuamua kutelekeza?Acha hizo kuna range rovers nyingi sana nimeziona gereji za mitaa ya kinondoni na sinza zimetelekezwa sijui kuna siri gani humo
Hapo ni nozzle/injector ni shida... pia tatizo linaweza kuwa cylinder leakage...
M na uchafu? Duuuh! Hivi kwamba mafundi wengi hawana profession au?!Kuna mwana alikuwa na X3 ikagoma kuwaka .Kahama nzima hakuna fundi aliweza kuiwasha jumlisha na Shinyanga .Ikabidi fundi atolewe Dar .Mpaka inawaka M na na uchafu .
Whaaaat! Sensor gani hiyo 12M? Ya gari ipi?Niliwahi kuta bei ya sensa moja ya gar ni milion 12. Dah nilipagawa kusikia hiyo bei
Ila aisee spea na service za magari kama huna helaa usijaribu kununua gari za mzunguu walahi... kuna audi niliona inauzwa mil 4 za kitanzania ila shida yake ni CARD ya kucontrol system nzima sijui... kuuliza mtu card inauzwa sh ngapi weeee mil 12+ hapo unaagiza toka nje.Niliwahi kuta bei ya sensa moja ya gar ni milion 12. Dah nilipagawa kusikia hiyo bei
gari hizi sio unagusa kila kituu aisee mzungu ukijidai fundi na hujuii mbona unazalisha matatizo zaidiiM na uchafu? Duuuh! Hivi kwamba mafundi wengi hawana profession au?!
Kifupi hazihitaji mbwembwe wala ujuaji siyo? Kama shida ni taa, rekebisha taa acha. Sivyo?gari hizi sio unagusa kila kituu aisee mzungu ukijidai fundi na hujuii mbona unazalisha matatizo zaidii
yaah na kama hujui shida ni nini bhasi kubali hujuii..!! wewe gusa gusaa uonee...Kifupi hazihitaji mbwembwe wala ujuaji siyo? Kama shida ni taa, rekebisha taa acha. Sivyo?
Sasa shida ya mafundi wengi wa Tanzania hawataki kukubali yaishe.! Kwanza hawataki kukosolewa wala kujifunza vitu vipya. Ni wavivu na wanatumia nguvu mno akili kisoda.yaah na kama hujui shida ni nini bhasi kubali hujuii..!! wewe gusa gusaa uonee...