BMW SUV (X3,X5) zinatelekezwa garage

BMW SUV (X3,X5) zinatelekezwa garage

Kwani kila sehemu unapoenda kuomba deal unakuwa umefanya appointment na mtu, haya mambo mimi naongea kuna watu yamewakuta wala siyo story. . . .
Mwezi wa 6 hii imenikuta na Boss wangu mmoja ana Land Rover 110 hapendi kuitumia akiwa mjini. Simu ikapigwa tupo Samora street twende Hotel moja jina kapuni kuna mteja alikuwa na boti inatakiwa kufanyiwa Engine Overhaul na anataka mrejesho wapi vifaa vitaagizwa na muda kazi itapokamilika.

Jioni kutokana na foleni tuka request Bolt tuwahi, tukamwambia tupo karibu tunakuja kumbe yeye katoa order pale wageni wake wanakuja akaweka reserves parking karibu na gari yake. Tumefika getini tunapiga simu anauliza mpo wapi sioni mkiingia nipo parking maagizo nimeacha wawape reserved parking tukamwambia mkuu tumeshuka na pikipiki tupo hapa tumevuka banda la mlinzi.
 
Shida sio umeme mwingi wala diagnosis.

Shida wamiliki wa hayo magari wabahili na hawana pesa ya kuhudumia hayo magari ya europe.

Garage za kizungu zipo hapa bongo ila wamiliki wa hizo BMW wanaziogopa hizo garage maana ni gharama.

BOSCH garage wana branch hapa bongo. Wana vifaa vyote na skills zote za kutengeneza hayo magari.

Mfano mwingine Bus za kisasa hizi Zhongtong, Yutong, scania G 7. Zina umeme mwingii kuliko hizo bmw , range ama discovery.

Pamoja na umeme wake wote bado diagnosis na hata matengenezo hizo bus zinafanyiwa hapa hapa bongo
Bosch pale Tazara usipeleke gari kama pesa unaichungulia, hizo bus za kichina hazina umeme mwingi mkuu labda Scania
 
Sasa shida ya mafundi wengi wa Tanzania hawataki kukubali yaishe.! Kwanza hawataki kukosolewa wala kujifunza vitu vipya. Ni wavivu na wanatumia nguvu mno akili kisoda.
Siku nikinunua gari nasoma kwanza user manual yake yote ndio naanza kuliendesha. Kanuni yangu kuu ni kufahamu gari lako kuliko mtu mwingine yeyote kwa sababu linabeba dhamana ya maisha yako unapoliendesha na pia linawakilisha taswira ya jinsi ulivyo.
 
Kuna cases kwa kijana kumiliki gari ambazo mimi naweza kuziona za muhimu kuliko vitu vingine,

Kama mtu anafanya biashara hata kama ni start up gari inamuongezea thamani,

Kama ushaenda kwenye maofisi makubwa kwa mguu au hata bodaboda tu nadhani utakuwa unajua sarakasi ambazo walinzi huwa wanawachezesha watu. Huo ni mfano tu ila zipo cases nyingi sana.

Unaweza kujuta.
nakubaliana na wewe mkuu na imenitokea mara nyingi, kuna aina za tender au pesa huwezi shika kisa haumiliki usafiri/gari, na hii inasababisha watu kuwa underrated sana.

kuna tukio liliwahi tokea(japo haihusiani na gari) nilichukuliwa poa sana katika moja ya taasisi ya kifedha baada ya kuonekana na kiswaswadu changu cha nokia tochi ila nilipotoa macbook kufanya presentation maongezi yakabadilika ghafla.
 
nakubaliana na wewe mkuu na imenitokea mara nyingi, kuna aina za tender au pesa huwezi shika kisa haumiliki usafiri/gari, na hii inasababisha watu kuwa underrated sana.

kuna tukio liliwahi tokea(japo haihusiani na gari) nilichukuliwa poa sana katika moja ya taasisi ya kifedha baada ya kuonekana na kiswaswadu changu cha nokia tochi ila nilipotoa macbook kufanya presentation maongezi yakabadilika ghafla.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Ndo kidogo wakaamini upo serious
 
Hatuwezi wote kumiliki Toyota. Lazima wawepo watu wa kuwapa elimu kwa vitendo na kuwakumbusha wengine umuhimu wa Toyota.

Mfano: Juzi nimeenda kufanya service ya Toyota yangu, nikakutana na mjerumani ambaye nilimuacha hapo wakati nafanya service iliyopita nikakumbushwa umuhimu wa Toyota na uzuri nilishawahi kuwa na mjerumani nikamuuzia huko huko garage baada ya kula sana pesa zangu na mavifaa yake ya online.
Dah
 
Siku nikinunua gari nasoma kwanza user manual yake yote ndio naanza kuliendesha. Kanuni yangu kuu ni kufahamu gari lako kuliko mtu mwingine yeyote kwa sababu linabeba dhamana ya maisha yako unapoliendesha na pia linawakilisha taswira ya jinsi ulivyo.
Lisiwe la kijapani au JDM kwa kifupi.

Wenzako wanalia humu kubadili lugha kwenye radio.

Sembuse manual book ya kijapani?
 
Shida sio umeme mwingi wala diagnosis.

Shida wamiliki wa hayo magari wabahili na hawana pesa ya kuhudumia hayo magari ya europe.

Garage za kizungu zipo hapa bongo ila wamiliki wa hizo BMW wanaziogopa hizo garage maana ni gharama.

BOSCH garage wana branch hapa bongo. Wana vifaa vyote na skills zote za kutengeneza hayo magari.

Mfano mwingine Bus za kisasa hizi Zhongtong, Yutong, scania G 7. Zina umeme mwingii kuliko hizo bmw , range ama discovery.

Pamoja na umeme wake wote bado diagnosis na hata matengenezo hizo bus zinafanyiwa hapa hapa bongo
Kuna mtu nafahamu ameshatumia milion 34 Hadi Sasa kurekebisha shida za gari yake audi na haijapona. Moja ya sehemu ya hiyo Hela alinunua engine milion 15. Na sio story Mimi ndio niliingua sokoni kutafuta hiyo engine. Kila siku taa ya Check Engine


Nilichojifunza kama huna Hela hizi gari za mzungu achana nazo Kaa mbali.
 
Back
Top Bottom