Vocal Fremitus
JF-Expert Member
- Oct 20, 2016
- 1,287
- 6,648
Dah kuliko kuiacha inaoza hivyo bora angewapa wazee wa vyuma chakavu. Wakipima hapo hakosi laki unusu au laki mbili ya kunywea bia [emoji3][emoji3][emoji3]vinginevyo siku moja utakuja kuiacha gereji mazima
Mwezi wa 6 hii imenikuta na Boss wangu mmoja ana Land Rover 110 hapendi kuitumia akiwa mjini. Simu ikapigwa tupo Samora street twende Hotel moja jina kapuni kuna mteja alikuwa na boti inatakiwa kufanyiwa Engine Overhaul na anataka mrejesho wapi vifaa vitaagizwa na muda kazi itapokamilika.Kwani kila sehemu unapoenda kuomba deal unakuwa umefanya appointment na mtu, haya mambo mimi naongea kuna watu yamewakuta wala siyo story. . . .
Mbeya Mafundi wa Gari za Ulaya mpaka Soweto wapo toka miaka ya nyuma au Tunduma upande wa Nakonde ile njia yeye soko la mahindi ukivuka Stesheni ya Tazara Tunduma.Hawawezi chief
Bosch pale Tazara usipeleke gari kama pesa unaichungulia, hizo bus za kichina hazina umeme mwingi mkuu labda ScaniaShida sio umeme mwingi wala diagnosis.
Shida wamiliki wa hayo magari wabahili na hawana pesa ya kuhudumia hayo magari ya europe.
Garage za kizungu zipo hapa bongo ila wamiliki wa hizo BMW wanaziogopa hizo garage maana ni gharama.
BOSCH garage wana branch hapa bongo. Wana vifaa vyote na skills zote za kutengeneza hayo magari.
Mfano mwingine Bus za kisasa hizi Zhongtong, Yutong, scania G 7. Zina umeme mwingii kuliko hizo bmw , range ama discovery.
Pamoja na umeme wake wote bado diagnosis na hata matengenezo hizo bus zinafanyiwa hapa hapa bongo
Basi kuna haja ya kufungua gereji ya gari za yuropu,Gari za uropu hakuna mafundi bongo labda libebe peleka Kenya au southern Africa kalitengeneze.Au uite fundi toka yuropu
Siku nikinunua gari nasoma kwanza user manual yake yote ndio naanza kuliendesha. Kanuni yangu kuu ni kufahamu gari lako kuliko mtu mwingine yeyote kwa sababu linabeba dhamana ya maisha yako unapoliendesha na pia linawakilisha taswira ya jinsi ulivyo.Sasa shida ya mafundi wengi wa Tanzania hawataki kukubali yaishe.! Kwanza hawataki kukosolewa wala kujifunza vitu vipya. Ni wavivu na wanatumia nguvu mno akili kisoda.
nakubaliana na wewe mkuu na imenitokea mara nyingi, kuna aina za tender au pesa huwezi shika kisa haumiliki usafiri/gari, na hii inasababisha watu kuwa underrated sana.Kuna cases kwa kijana kumiliki gari ambazo mimi naweza kuziona za muhimu kuliko vitu vingine,
Kama mtu anafanya biashara hata kama ni start up gari inamuongezea thamani,
Kama ushaenda kwenye maofisi makubwa kwa mguu au hata bodaboda tu nadhani utakuwa unajua sarakasi ambazo walinzi huwa wanawachezesha watu. Huo ni mfano tu ila zipo cases nyingi sana.
Unaweza kujuta.
kuna mwanangu alipata ajali hiyo road na ist (rip)Mandela Road si salama kwa magari madogo (SUV na Sedan) hao madereva wa Malori hawaoni chini so kupata ajali ni dakika chache tu. Nimenusurika mara kadhaa. Naepuka hiyo barabara kwa hali yoyote
European cars bongo zinakuja kuzikwaKuna garage mbezi BMW na VW station wagon zimepaki zinaozea pale muda mrefu sijui kwa nini
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1][emoji1]Hizo mashine ukishaanza gusa engine gari inakua kama ina ukimwi[emoji4][emoji847],magonjwa hayataisha.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Ndo kidogo wakaamini upo seriousnakubaliana na wewe mkuu na imenitokea mara nyingi, kuna aina za tender au pesa huwezi shika kisa haumiliki usafiri/gari, na hii inasababisha watu kuwa underrated sana.
kuna tukio liliwahi tokea(japo haihusiani na gari) nilichukuliwa poa sana katika moja ya taasisi ya kifedha baada ya kuonekana na kiswaswadu changu cha nokia tochi ila nilipotoa macbook kufanya presentation maongezi yakabadilika ghafla.
DahHatuwezi wote kumiliki Toyota. Lazima wawepo watu wa kuwapa elimu kwa vitendo na kuwakumbusha wengine umuhimu wa Toyota.
Mfano: Juzi nimeenda kufanya service ya Toyota yangu, nikakutana na mjerumani ambaye nilimuacha hapo wakati nafanya service iliyopita nikakumbushwa umuhimu wa Toyota na uzuri nilishawahi kuwa na mjerumani nikamuuzia huko huko garage baada ya kula sana pesa zangu na mavifaa yake ya online.
Lisiwe la kijapani au JDM kwa kifupi.Siku nikinunua gari nasoma kwanza user manual yake yote ndio naanza kuliendesha. Kanuni yangu kuu ni kufahamu gari lako kuliko mtu mwingine yeyote kwa sababu linabeba dhamana ya maisha yako unapoliendesha na pia linawakilisha taswira ya jinsi ulivyo.
Kuna mtu nafahamu ameshatumia milion 34 Hadi Sasa kurekebisha shida za gari yake audi na haijapona. Moja ya sehemu ya hiyo Hela alinunua engine milion 15. Na sio story Mimi ndio niliingua sokoni kutafuta hiyo engine. Kila siku taa ya Check EngineShida sio umeme mwingi wala diagnosis.
Shida wamiliki wa hayo magari wabahili na hawana pesa ya kuhudumia hayo magari ya europe.
Garage za kizungu zipo hapa bongo ila wamiliki wa hizo BMW wanaziogopa hizo garage maana ni gharama.
BOSCH garage wana branch hapa bongo. Wana vifaa vyote na skills zote za kutengeneza hayo magari.
Mfano mwingine Bus za kisasa hizi Zhongtong, Yutong, scania G 7. Zina umeme mwingii kuliko hizo bmw , range ama discovery.
Pamoja na umeme wake wote bado diagnosis na hata matengenezo hizo bus zinafanyiwa hapa hapa bongo
Chief nilikua na VW mwaka 2016 ilifika kwa fundi hapo Soweto,nimemsahau jina lake. Kipindi hicho ndiye alikua last option 🥱😏.Mbeya Mafundi wa Gari za Ulaya mpaka Soweto wapo toka miaka ya nyuma au Tunduma upande wa Nakonde ile njia yeye soko la mahindi ukivuka Stesheni ya Tazara Tunduma.
Pole sana ungeenda Tunduma upande wa Nakonde pale kuna wabongo na wazambia wanadeal na European Car na wana spare used kibaoChief nilikua na VW mwaka 2016 ilifika kwa fundi hapo Soweto,nimemsahau jina lake. Kipindi hicho ndiye alikua last option 🥱😏.