BMW SUV (X3,X5) zinatelekezwa garage

BMW SUV (X3,X5) zinatelekezwa garage

Wakuu nimeshuhudia hizi gari zikitelekezwa Garage kadhaa hapo Dar. Wamiliki wamechemsha kuzimaintain? Tuachane na kumiliki gari kwa kufuata mkumbo.
MC pilipili like X3 lake sijui kalificha wapi siku hizi

View attachment 2682010View attachment 2682011View attachment 2682012
Tatizo kubwa hapa bongo ni mafundi wanatuharibia magari.

Inaweza kuwa tatizo la umeme kwenye gari, labda sensor fulani au wiring tu, wao wanalitafsiri ni mechanical problem; wanabomoa injini au gearbox hapo ndo habari imekwisha huna gari.

Imeshawahi kunitokea ndo maana nasema haya, niliingizwa hasara ya kununua gear box nyingine kumbe tatizo halikuwa gearbox, niliyoitoa kumbe ilikuwa nzima,

Gari ilikuwa na tatizo la kushtuka na kuzima inapoingia speed ya 80km/h au wakati mwingine inapoingia speed ya 60km/h, inastuka wakati gear inaingia na inazima. Walibomoa gearbox wakairudidhia ndo ikafa mazima gari haisogei hata futi moja.

Nikanunua hiyo gearbox nyingine wakaweka gari ikarudi na tatizo lilelile inazima baada ya kufikia hizo speed.

Hapo nimeshatupa 2m imagine.
Sasa wakaanza kuisingizia injini nikawaambia acheni nikachukua gari yangu nikaenda nayo nyumbani kwa hasira.

Gari ukitembea speed chini ya 60 unaenda nayo popote haizimi.

Nikaanza kuhangaika mwenyewe utundu utundu wa kufunguafungua kidogo ninao na spanner ninazo kwa kazi zangu ninazofanya.na google pia inasaidia sana tusidharau ilimradi rugha iwe inapanda.

Baada ya kupata marekezo sababu zinazoweza kusababisha hiyo hali wakaziorodhesha, nikafata moja baada ya nyingine.

Nikafika kwenye crank shaft sensor hapo ndipo lilipokuwa tatizo, huwezi kuamini matatizo yote na kuhangaika kote ni hapo, kadude kadogo tu kama betri ya remote, hii gari hiyo sensor ipo chini ya injini imefichwa kidogo na bellhousing ilikuwa imejaa tope limeganda, nikaifungu nikaisafisha nikaifunga gari ikawa imepona inabadili gear vizuri haizimiki tena

Mafundi sina hamu nao.
 
Tatizo kubwa hapa bongo ni mafundi wanatuharibia magari.

Inaweza kuwa tatizo la umeme kwenye gari, labda sensor fulani au wiring tu, wao wanalitafsiri ni mechanical problem; wanabomoa injini au gearbox hapo ndo habari imekwisha huna gari.

Imeshawahi kunitokea ndo maana nasema haya, niliingizwa hasara ya kununua gear box nyingine kumbe tatizo halikuwa gearbox, niliyoitoa kumbe ilikuwa nzima,

Gari ilikuwa na tatizo la kushtuka na kuzima inapoingia speed ya 80km/h au wakati mwingine inapoingia speed ya 60km/h, inastuka wakati gear inaingia na inazima. Walibomoa gearbox wakairudidhia ndo ikafa mazima gari haisogei hata futi moja.

Nikanunua hiyo gearbox nyingine wakaweka gari ikarudi na tatizo lilelile inazima baada ya kufikia hizo speed.

Hapo nimeshatupa 2m imagine.
Sasa wakaanza kuisingizia injini nikawaambia acheni nikachukua gari yangu nikaenda nayo nyumbani kwa hasira.

Gari ukitembea speed chini ya 60 unaenda nayo popote haizimi.

Nikaanza kuhangaika mwenyewe utundu utundu wa kufunguafungua kidogo ninao na spanner ninazo kwa kazi zangu ninazofanya.na google pia inasaidia sana tusidharau ilimradi rugha iwe inapanda.

Baada ya kupata marekezo sababu zinazoweza kusababisha hiyo hali wakaziorodhesha, nikafata moja baada ya nyingine.

Nikafika kwenye crank shaft sensor hapo ndipo lilipokuwa tatizo, huwezi kuamini matatizo yote na kuhangaika kote ni hapo, kadude kadogo tu kama betri ya remote, hii gari hiyo sensor ipo chini ya injini imefichwa kidogo na bellhousing ilikuwa imejaa tope limeganda, nikaifungu nikaisafisha nikaifunga gari ikawa imepona inabadili gear vizuri haizimiki tena

Mafundi sina hamu nao.
Umeme wa magari bado ni janga kubwa kwa mafundi wengi na mafundi wengi wamekalili tu hawana uelewa
 
Macbook ni kiasi gani dukani.

Nipe 1m nkuachie yangu

IMG_3582.jpg

IMG_3581.jpg
 
Tatizo kubwa hapa bongo ni mafundi wanatuharibia magari.

Inaweza kuwa tatizo la umeme kwenye gari, labda sensor fulani au wiring tu, wao wanalitafsiri ni mechanical problem; wanabomoa injini au gearbox hapo ndo habari imekwisha huna gari.

Imeshawahi kunitokea ndo maana nasema haya, niliingizwa hasara ya kununua gear box nyingine kumbe tatizo halikuwa gearbox, niliyoitoa kumbe ilikuwa nzima,

Gari ilikuwa na tatizo la kushtuka na kuzima inapoingia speed ya 80km/h au wakati mwingine inapoingia speed ya 60km/h, inastuka wakati gear inaingia na inazima. Walibomoa gearbox wakairudidhia ndo ikafa mazima gari haisogei hata futi moja.

Nikanunua hiyo gearbox nyingine wakaweka gari ikarudi na tatizo lilelile inazima baada ya kufikia hizo speed.

Hapo nimeshatupa 2m imagine.
Sasa wakaanza kuisingizia injini nikawaambia acheni nikachukua gari yangu nikaenda nayo nyumbani kwa hasira.

Gari ukitembea speed chini ya 60 unaenda nayo popote haizimi.

Nikaanza kuhangaika mwenyewe utundu utundu wa kufunguafungua kidogo ninao na spanner ninazo kwa kazi zangu ninazofanya.na google pia inasaidia sana tusidharau ilimradi rugha iwe inapanda.

Baada ya kupata marekezo sababu zinazoweza kusababisha hiyo hali wakaziorodhesha, nikafata moja baada ya nyingine.

Nikafika kwenye crank shaft sensor hapo ndipo lilipokuwa tatizo, huwezi kuamini matatizo yote na kuhangaika kote ni hapo, kadude kadogo tu kama betri ya remote, hii gari hiyo sensor ipo chini ya injini imefichwa kidogo na bellhousing ilikuwa imejaa tope limeganda, nikaifungu nikaisafisha nikaifunga gari ikawa imepona inabadili gear vizuri haizimiki tena

Mafundi sina hamu nao.
Duuh hatari sanaa hii bosss.. Mil 2 zikaendaaa
 
Wally naomba smush auto went. Gari aina ya Premio New model cc1490 au 1790 ipi inachangamoto?
 
Back
Top Bottom