BMW X6 ambazo bongo utabaki kuzisikia

BMW X6 ambazo bongo utabaki kuzisikia

Toyota ya zamani tu nimeamua kutumia long life oil badala ya kubadili kila 3000km nabadili mara moja baada ya muda mrefu.
Tofauti yake moja ni mono grade ingine multi grade.
Nzuri sana hio sema ntajaribu 1 day
 
Screenshot_20210829_100114.jpg
 
Dah wabongo bhana Sijui huyo anae sema hiyo x6 ya diamond ni ya kawaida ye usikute ana miliki smartphone ya elfu 70 aliyo nunua mtaani na bando la chuo la wiki.
Kalinganisha hizo tatu, katumia kama reference ya Diamond sababu ndio wabongo wanalifahamu, hata mimi nimeona hizo sikufahamu kama kuna matoleo zaidi yako. Smart foni ya sh 70 na bando la chuo ni dhambi?
 
iyo car bali ni sysytem car jiniii.mnyamaaa
0-60 mph in 3.5 seconds, Trackhawk boasts a Supercharged 6.2L V8 engine
 
Back
Top Bottom