BMW X6 ambazo bongo utabaki kuzisikia

BMW X6 ambazo bongo utabaki kuzisikia

Dah wabongo bhana Sijui huyo anae sema hiyo x6 ya diamond ni ya kawaida ye usikute ana miliki smartphone ya elfu 70 aliyo nunua mtaani na bando la chuo la wiki.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ukitaka hata uchomwe kisu kawabishie kuhusu Diamond, wanamuonaga kama mungu, mengine tunakausha tu...., aende mikoani hata kule mwadui aone vijana wadogo wanasukuma range rover za hatari...
 
Ukitaka hata uchomwe kisu kawabishie kuhusu Diamond, wanamuonaga kama mungu, mengine tunakausha tu...., aende mikoani hata kule mwadui aone vijana wadogo wanasukuma range rover za hatari...
RR ya diamond huwezi ringanisha na Range Rover, wapo vijana makamo yake wanao mpiga gape pesa ila wachache sanaaaaaaaa mkuu wangu. Mshilaji alipotokea hadi hapo alipo kapambana anatakiwa kupewa mkono wa hongera
 
RR ya diamond huwezi ringanisha na Range Rover, wapo vijana makamo yake wanao mpiga gape pesa ila wachache sanaaaaaaaa mkuu wangu. Mshilaji alipotokea hadi hapo alipo kapambana anatakiwa kupewa mkono wa hongera
Hapana mkuu mimi sijalinganisha na upo sawa, Diamond ni kijana mwenzetu ambae ni mfano wa kuigwa, nampongeza at the age of 30, jamaa anamiliki vitu ambavyo wazee wa hii nchi ambao huwa wanatubeza vijana sisi ni wahuni wenyewe hawatovishika mpaka wanaingia kaburini,

Nilichozungumzia ni x6 yake kwamba ni ya kawaida nikimaanisha ni toleo la kawaida, kuna watu wameona kama namu under estimate jamaa... ukitaka kuamini nchozungumzia hata kwenye misafara yake huwezi ona hio gari kwa sababu watu wanazo....
 
Mara zote gari za umeme zina fast acceleration kwasababu zinatumia mota ila za mafuta zina gear box lazima ziwe slow.
Ndipo tunapoelekea, yajayo yanafurahisha, lakini ule utamu wa kusikia engine ikichoma mafuta ndipo huwa naziona Tesla zinakosa mvuto....
 
Nashukuru ist yangu inanivusha
Yani ukibeba demu wako kwenye IST yako kisha ukapaki karibu na Mimi na mnyama wangu
demu anakukataa blaza....
Tena anaingia kwenye mnyama wangu akiwa kavua chup kabisa......
"utani blaza".....Ila hawa wenye magari makubwa mazuri wanatuchukulia mademu zetu kizembe sana.......
hawatumii nguvu kutongoza bloodfuul!
 
Yani ukibeba demu wako kwenye IST yako kisha ukapaki karibu na Mimi na mnyama wangu
demu anakukataa blaza....
Tena anaingia kwenye mnyama wangu akiwa kavua chup kabisa......
"utani blaza".....Ila hawa wenye magari makubwa mazuri wanatuchukulia mademu zetu kizembe sana.......
hawatumii nguvu kutongoza bloodfuul!
Hapo ndipo utabaini hivi viumbe ni vya ovyo
 
Yani ukibeba demu wako kwenye IST yako kisha ukapaki karibu na Mimi na mnyama wangu
demu anakukataa blaza....
Tena anaingia kwenye mnyama wangu akiwa kavua chup kabisa......
"utani blaza".....Ila hawa wenye magari makubwa mazuri wanatuchukulia mademu zetu kizembe sana.......
hawatumii nguvu kutongoza bloodfuul!
Kuna pisi huwa hazijui magari inaweza ikaikubali PRADO kuliko LC VX-R V8... lakini ist hata pisi ambazo hazifuatilii ndinga zinaijua...
 
Yani ukibeba demu wako kwenye IST yako kisha ukapaki karibu na Mimi na mnyama wangu
demu anakukataa blaza....
Tena anaingia kwenye mnyama wangu akiwa kavua chup kabisa......
"utani blaza".....Ila hawa wenye magari makubwa mazuri wanatuchukulia mademu zetu kizembe sana.......
hawatumii nguvu kutongoza bloodfuul!
Hao mademu zenu watakuwa malaya.

Mwanamke anayejua jasho unalitoa kutafuta mali zako ataheshimu hustle zako.

Ukiona demu wako anakukimbia kisa gari ujue ulikuwa na malaya.
 
Back
Top Bottom