Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
Bongo now days kuna GARI ZA HATARI unakutana na gari hata hujawahi kuiona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ma mie soon nitakuwa mtoto mwenye machine kali asee.. hata kwa kumwaga maji ya mtu.. haiwezekani tuzione upanga tuWatu wana mashine za hatari sana Holy Man
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Dah wabongo bhana Sijui huyo anae sema hiyo x6 ya diamond ni ya kawaida ye usikute ana miliki smartphone ya elfu 70 aliyo nunua mtaani na bando la chuo la wiki.
sio mbaya kupeana motivation... nishatoka huko na sitarajii kurudi...,Tumilikini IST na Porte kwanza nduguzanguni halafu tuje kwenye Rav 4 na Klugger nk.. Baada ya hapo ndio tunaweza kuweka vikao vya BAMA hata hold model
Sent from my Infinix X692 using JamiiForums mobile app
Ukitaka hata uchomwe kisu kawabishie kuhusu Diamond, wanamuonaga kama mungu, mengine tunakausha tu...., aende mikoani hata kule mwadui aone vijana wadogo wanasukuma range rover za hatari...[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
RR ya diamond huwezi ringanisha na Range Rover, wapo vijana makamo yake wanao mpiga gape pesa ila wachache sanaaaaaaaa mkuu wangu. Mshilaji alipotokea hadi hapo alipo kapambana anatakiwa kupewa mkono wa hongeraUkitaka hata uchomwe kisu kawabishie kuhusu Diamond, wanamuonaga kama mungu, mengine tunakausha tu...., aende mikoani hata kule mwadui aone vijana wadogo wanasukuma range rover za hatari...
Hahahahah kila kitu kinawezekana ukikazaMa mie soon nitakuwa mtoto mwenye machine kali asee.. hata kwa kumwaga maji ya mtu.. haiwezekani tuzione upanga tu
Hapana mkuu mimi sijalinganisha na upo sawa, Diamond ni kijana mwenzetu ambae ni mfano wa kuigwa, nampongeza at the age of 30, jamaa anamiliki vitu ambavyo wazee wa hii nchi ambao huwa wanatubeza vijana sisi ni wahuni wenyewe hawatovishika mpaka wanaingia kaburini,RR ya diamond huwezi ringanisha na Range Rover, wapo vijana makamo yake wanao mpiga gape pesa ila wachache sanaaaaaaaa mkuu wangu. Mshilaji alipotokea hadi hapo alipo kapambana anatakiwa kupewa mkono wa hongera
Mara zote gari za umeme zina fast acceleration kwasababu zinatumia mota ila za mafuta zina gear box lazima ziwe slow.Kuna Tesla Model S Plaid Plus ina 2.1 sec 0-100km/hr, hata porsche turbo s haifuatii
Big up sanasio mbaya kupeana motivation... nishatoka huko na sitarajii kurudi...,
Ndipo tunapoelekea, yajayo yanafurahisha, lakini ule utamu wa kusikia engine ikichoma mafuta ndipo huwa naziona Tesla zinakosa mvuto....Mara zote gari za umeme zina fast acceleration kwasababu zinatumia mota ila za mafuta zina gear box lazima ziwe slow.
Unaweza kubahatisha . ila hazina flow nzuri kwenye used markets, hizi ni gari ambazo zikiwa mpya zinauzwa karibu mara mbili ya bei ya standard version.Zikicjoka hawauzi? Kama mtumba?
Yani ukibeba demu wako kwenye IST yako kisha ukapaki karibu na Mimi na mnyama wanguNashukuru ist yangu inanivusha
Hapo ndipo utabaini hivi viumbe ni vya ovyoYani ukibeba demu wako kwenye IST yako kisha ukapaki karibu na Mimi na mnyama wangu
demu anakukataa blaza....
Tena anaingia kwenye mnyama wangu akiwa kavua chup kabisa......
"utani blaza".....Ila hawa wenye magari makubwa mazuri wanatuchukulia mademu zetu kizembe sana.......
hawatumii nguvu kutongoza bloodfuul!
Kuna pisi huwa hazijui magari inaweza ikaikubali PRADO kuliko LC VX-R V8... lakini ist hata pisi ambazo hazifuatilii ndinga zinaijua...Yani ukibeba demu wako kwenye IST yako kisha ukapaki karibu na Mimi na mnyama wangu
demu anakukataa blaza....
Tena anaingia kwenye mnyama wangu akiwa kavua chup kabisa......
"utani blaza".....Ila hawa wenye magari makubwa mazuri wanatuchukulia mademu zetu kizembe sana.......
hawatumii nguvu kutongoza bloodfuul!
Ni kweli pisi zingine hata hazijui plet namba za serekali na binafsi haziwezi kutofautishaKuna pisi huwa hazijui magari inaweza ikaikubali PRADO kuliko LC VX-R V8... lakini ist hata pisi ambazo hazifuatilii ndinga zinaijua...
Ukikutana na pisi inajua mpaka 5W-30 na SAE-40, Kimbia bro.......Ni kweli pisi zingine hata hazijui plet namba za serekali na binafsi haziwezi kutofautisha
Ha ha imebidi nicheke demu akijua sana magari namkimbiaUkikutana na pisi inajua mpaka 5W-30 na SAE-40, Kimbia bro.......
Hao mademu zenu watakuwa malaya.Yani ukibeba demu wako kwenye IST yako kisha ukapaki karibu na Mimi na mnyama wangu
demu anakukataa blaza....
Tena anaingia kwenye mnyama wangu akiwa kavua chup kabisa......
"utani blaza".....Ila hawa wenye magari makubwa mazuri wanatuchukulia mademu zetu kizembe sana.......
hawatumii nguvu kutongoza bloodfuul!
Jamaa wenye Land Cruiser za serikali wanawatafuna mno...Ni kweli pisi zingine hata hazijui plet namba za serekali na binafsi haziwezi kutofautisha