Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
R.I.P mzee wetu , ila huyu mzee cdm walimtupa na hawakumpa hata matibabu apart from mchango mkubwa alioutoa kwenye chama
huna akili wewe,sokoine alivyofia morogoro alitupwa?huyu marehemu ndiye wakili wa sabodo, jiulize mzee sabodo alishindwa kumpeleka india kwa matibabu?ugonjwa kama cancer hata uende wapi utakufa tuuR.I.P mzee wetu , ila huyu mzee cdm walimtupa na hawakumpa hata matibabu apart from mchango mkubwa alioutoa kwenye chama
Mkuu hebu tuondolee historia hapa changia uzi wa wenzako ambao upo tokea janaHabari zilizothibitishwa na uongozi wa CHADEMA ni kuwa Mzee Bob Makani,mwenyekiti mstaafu wa chama hicho amefariki dunia jioni ya tarehe 9 june 2012.Mjengwablog inaungana na familia yake,chama chake na watanzania wote kuomboleza msiba wa mwanaharakati huyu.Mungu amlaze mahali pema paradisosource mjengwa blog
[TD="align: center"][/TD]
Confirmed!
Mohamed Nyanga (Bob) Makani is no more... Katutoka muda si mrefu