Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa hapa magamba wamefikaje tena? anyway RIP Mzee wetu,mapambano bado yanaendelea
Poleni wakuu,tatizo lake lile lile au jingine? Maana nakumbuka kulikua na uzi alilazwa aghakan!!
Wakati wa msiba mzito kama huu hatutegemei mzaha! kama alikuwa anapiga fegi wewe inakuhusuje? Ndugu jamaa na marafiki wanatarajia maneno ya kuwafariji kipindi hiki kigumu! R.I.P Mwenyekiti mstaafu wa CDM!!r.i.p bob..mzee alikuwa anapiga fegi balaa!poleni wapigania uhuru wote
Unaleta siasa mpaka kwenye mambo ya misiba. Mtu kuuliza chanzo cha kifo kuna ubaya gani?
Confirmed!
Mohamed Nyanga (Bob) Makani is no more... Katutoka muda si mrefu
...............
Kumbe alikuwa Muislamu!!!
Chadema inaonewa jamani sasa mbona wanasema ni cha kidini kumbe waasisis walikuwa dini mchanganyiko!!!!
RIP Kamanda .......
Mwambie JK Nyerere kuwa chama alichokipenda sera zake ndicho kitatawala kuanzia 2015!
....
Mapambano yanaendelea!!