LGE2024 Bob Wangwe aiomba Mahakama Kuu iizuie TAMISEMI kusimamia shughuli za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

LGE2024 Bob Wangwe aiomba Mahakama Kuu iizuie TAMISEMI kusimamia shughuli za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
kwanza kabisa ifahamike wazi kwamba vyombo vya kiuchunguzi vya ulinzi na usalama haviwezi hata siku moja kupuuzia taarifa zozote za kihalifu zinazoweza kuhatarisha umoja, amani na utulivu wa wananchi lakini pia taarifa zinazoweza kutumika kukamilisha uchunguzi au kufanikisha kuwatia nguvuni wahalifu...zote hizo mitandaoni zinazongatiwa...

jambo la pili la maana zaidi ni kwamba, baada ya hatua za kiuchunguzi kukamilika, kule mahakamani hapataki mzaha, harakati, hisia au huruma...
panahitajika uthibitisho wa ushahidi usio na mashaka dhidi ya mashaka yaliyowasilishwa mbele ya pilato..

na mapilato wengi sasa hivi hawaburuzwi tena kama zamani, kila moja anataka kuweka yake records safi, kwamba atoe hukumu ya haki ya kihistoria amabayo hapo baadae itumike kama reference kuhukumu kesi nyingine au kama reference ya kufundishia vyuoni...

nitoe wito tu kwa ujumla,
kwamba pamoja na hizo picha za mitandaoni,
ikiwa kuna raia yeyote, anazo taarifa za kutosha kufanikisha uchunguzi au kutiwa nguvuni kwa wahalifu wa utekaji na wengineo, milango ya vyombo vya ulinzi na usalama iko wazi, ajitokeze ili kufanikisha upatikanaji wa haki kwa waliodhulimiwa...

samahani sana kwa maelezo marefu niko ambako siwezi kuandika vizur 🐒
Kama kawaida yako unaandika takataka tu humu, kupoteza muda.
 
kwanza kabisa ifahamike wazi kwamba vyombo vya kiuchunguzi vya ulinzi na usalama haviwezi hata siku moja kupuuzia taarifa zozote za kihalifu zinazoweza kuhatarisha umoja, amani na utulivu wa wananchi lakini pia taarifa zinazoweza kutumika kukamilisha uchunguzi au kufanikisha kuwatia nguvuni wahalifu...zote hizo mitandaoni zinazongatiwa...

jambo la pili la maana zaidi ni kwamba, baada ya hatua za kiuchunguzi kukamilika, kule mahakamani hapataki mzaha, harakati, hisia au huruma...
panahitajika uthibitisho wa ushahidi usio na mashaka dhidi ya mashaka yaliyowasilishwa mbele ya pilato..

na mapilato wengi sasa hivi hawaburuzwi tena kama zamani, kila moja anataka kuweka yake records safi, kwamba atoe hukumu ya haki ya kihistoria amabayo hapo baadae itumike kama reference kuhukumu kesi nyingine au kama reference ya kufundishia vyuoni...

nitoe wito tu kwa ujumla,
kwamba pamoja na hizo picha za mitandaoni,
ikiwa kuna raia yeyote, anazo taarifa za kutosha kufanikisha uchunguzi au kutiwa nguvuni kwa wahalifu wa utekaji na wengineo, milango ya vyombo vya ulinzi na usalama iko wazi, ajitokeze ili kufanikisha upatikanaji wa haki kwa waliodhulimiwa...

samahani sana kwa maelezo marefu niko ambako siwezi kuandika vizur 🐒
Bila samahani umeeleza vizuri japo ,ila kwa mashaka , siku zote wahuni sio watu wazuri, alafu kama utojali mkuu hivi mwenyekiti wako ccm tamka neno kwa kuna mbwa hawataki maendeleo yetu alimanisha nini ?
 
Kama huyo 'Tlaatlaah' si mmoja wa hao watekaji; kwa vyovyote atakuwa ni muhusika kwa njia moja au nyingine katika mambo hayo ya utekaji.
Huyu atakuwa yumo kwenye kundi maalum la kumpigania mama kwa kila namna ili abaki madarakani. Ndiyo maana yumo humu JF kwa kazi hiyo moja tu ya kumpigania mama, na siyo maslahi ya Tanzania na waTanzania wote.
We muache tu kama kweli ni mmoja wa vibaka watekaji yupo na bahati mbaya siku sio nyingi,
 
Bila samahani umeeleza vizuri japo ,ila kwa mashaka , siku zote wahuni sio watu wazuri, alafu kama utojali mkuu hivi mwenyekiti wako ccm tamka neno kwa kuna mbwa hawataki maendeleo yetu alimanisha nini ?
that is just normal political statements by a politician,
I think politicians knows it,

but it might confuse some non politicians and couse head arc, mayhem and panic to activists with completely no impacts to the publics🐒
 
Bila samahani umeeleza vizuri japo ,ila kwa mashaka , siku zote wahuni sio watu wazuri, alafu kama utojali mkuu hivi mwenyekiti wako ccm tamka neno kwa kuna mbwa hawataki maendeleo yetu alimanisha nini ?
that is just normal political statements by a politician,
I think politicians knows it,

but it might confuse some non politicians and couse head arc, mayhem and panic to activists with completely no impacts to the publics🐒
 
that is just normal political statements by a politician,
I think politicians knows it,

but it might confuse some non politicians and couse head arc, mayhem and panic to activists with completely no impacts to the publics🐒
Hakuna kitu ,all in all katumia maneno sehem ambayo sio sahii
 
Bila samahani umeeleza vizuri japo ,ila kwa mashaka , siku zote wahuni sio watu wazuri, alafu kama utojali mkuu hivi mwenyekiti wako ccm tamka neno kwa kuna mbwa hawataki maendeleo yetu alimanisha nini ?
that is just normal political statements by a politician,
I think politicians knows it,

but it might confuse some non politicians and couse head arc, mayhem and panic to activists with completely no impacts to the publics🐒
 
Bila samahani umeeleza vizuri japo ,ila kwa mashaka , siku zote wahuni sio watu wazuri, alafu kama utojali mkuu hivi mwenyekiti wako ccm tamka neno kwa kuna mbwa hawataki maendeleo yetu alimanisha nini ?
that is just normal political statements by a politician,
I think politicians knows it,

but it might confuse some non politicians and couse head arc, mayhem and panic to activists with completely no impacts to the publics🐒
 
Swala siyo wakala acha kuhalalisha wizi wa kura! Kura zinatakiwa zipigwe lakini taratibu kanuni na Sheria vizingatiwe. Wasimizi wasimamie wahesabu watoe taarifa sahihi siyo lazima wakala awepo. Acheni mawazo ya wizi,wizi,wizi,......
Sawa kiongozi kwa kuni elewesha 🙏
 
that is just normal political statements by a politician,
I think politicians knows it,

but it might confuse some non politicians and couse head arc, mayhem and panic to activists with completely no impacts to the publics🐒
Hii nayo ni lugha gani? Hiyo lugha hapo umeivuruga kwelikweli.
Damu za watu zinapita machoni, kiasi kwamba hata akili zinachanganyikiwa!

Sasa ndiyo umejiachia kabisa kuonyesha ngazi yako katika maisha. Bahati mbaya sana kwa nchi hii sasa kwamba aina ya watu kwenye ngazi za uongozi ni wa kiwango cha chini namna hii.
 
Maombi yanayoombwa na Waleta maombi ni pamoja na;

1. Mahakama Kutoa ruhusa kwa Waleta maombi kuwasilisha maombi ya kufuta Sheria Ndogo zilizotolewa kupitia matangazo ya serikali Na. 571, 572, 573, na 574 ya tarehe 12/7/2024;

2. Mahakama kutoa ruhusa kwa waleta maombi kuwasilisha maombi ya kuizuia TAMISEMI kuratibu, kuandaa, na kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa wa mwaka 2024;

3. Mahakama kuweka zuio kwa TAMISEMI, mawakala wake, wawakilishi au wafanyakazi wake kuratibu, kuandaa, na kusimamia uchaguzi wa serikali za mitaa wa mwaka 2024.

View attachment 3075734

View attachment 3075744
Hilo jopo la mawakili ni kiboko!

Itabidi Serikali iombe poo!😁
 
Hii nayo ni lugha gani? Hiyo lugha hapo umeivuruga kwelikweli.
Damu za watu zinapita machoni, kiasi kwamba hata akili zinachanganyikiwa!

Sasa ndiyo umejiachia kabisa kuonyesha ngazi yako katika maisha. Bahati mbaya sana kwa nchi hii sasa kwamba aina ya watu kwenye ngazi za uongozi ni wa kiwango cha chini namna hii.
so umekua confused kama nilivyosema right?🐒

pole,
lakini hata hivyo zaid ya hapo hakuna athari kiutendaji au kisiasa kabisa..
serikali sikivu ya CCM chini ya kiongozi wetu makini, shupavu na kipenz cha waTanzania Dr Samia Suluhu Hassan ataendelea kuchapa kazi kwa weledi na uadilifu ili hatimae maendeleo ya kweli kwa waTanzania wote yapatikane 🐒
 
Kesi ni tarehe 27/9 tayari tangazo la uchaguzi na mambo mengine litakuwa lilishatoka, hukumu yaweza kuwa january mwakani.
elezea vizuri gentleman,

huku ukiwa unafahamu kwamba maandalizi ya uchaguzi yanaendelea vizuri sana na hakuna namna yanaweza simama hadi 27, Nov 2024 uchaguzi utakapofanyika, huku maeneo yaliyofutwa hapatakua na uchaguzi au maandalizi ya uchaguzi ya aina yoyote kwasabb hakuna wananchi wanaoruhusiwa kuishi huko 🐒
 
so umekua confused kama nilivyosema right?🐒

pole,
lakini hata hivyo zaid ya hapo hakuna athari kiutendaji au kisiasa kabisa..
serikali sikivu ya CCM chini ya kiongozi wetu makini, shupavu na kipenz cha waTanzania Dr Samia Suluhu Hassan ataendelea kuchapa kazi kwa weledi na uadilifu ili hatimae maendeleo ya kweli kwa waTanzania wote yapatikane 🐒

Najuwa, huyo unaye muita "...kiongozi wenu makini, shupavu na kipenzi chenu..." (siyo cha waTanzania), ndiye mungu wako anayekulazimisha kuja humu kila siku na kuweka takataka kama hizi.
Najuwa pia kwamba mnayo hofu kubwa sana sasa hivi kwa sababu mnaiona njia ya kuwaondoa madarakani ipo dhahiri kabisa.
Sasa basi, kama huko kichwani mwako bado kuna viakaili kidogo, nakushauri jambo muhimu hapa. Msithubutu kumwaga damu ya waTanzania wakati mking'ang'ania kubaki madarakani. Mkilazimisha hivyo yatawakuta makubwa.

Ngoja nimalize kwa kukufahamisha pia,kwamba napoteza muda mara kadhaa kukujibu hivi kwa sababu nategemea akili itawarudi na kuacha ushetani mnao ushikilia kulazimisha kubaki madarakani..

Baada ya hapa, nitaendelea na majibu yanayo kustahili kama kawaida. yako.
 
Back
Top Bottom