.
View: https://m.youtube.com/watch?v=4upFAaJHGvg
Niliona gari yenye vioo vyeusi aina ya Alphard ikinifuatilia ... Rajab Hassan almaarufu Marco Charlie nikiwa Tumbi Kibaha nikaona watu wanataka kuniteka .. nikatumia njia za medani kuwakwepa nikaenda chama cha mabodaboda ... sasa wakati nikiwa na viongozi wa bodaboda tukaiona gari katika shell kituo cha mafuta..
Wakaniuliza kwanini utatuletea nzi hapa shell ndipo mkaona katika video hao wasiojulikana tuliotaka kuwafahamu wakaanza kunishambulia na kunichukua kwa nguvu ndani ya gari hadi kituo cha Polisi, ...
Pale kituoni Polisi sikupelekwa counter kuandikshwa bali nilipitishwa uani na kuingizwa katika ofisi na kutupwa chini nyuma ya meza ili nisionekane wakati ndugu na marafiki waliopokuwa wanafutilia nipo kituo gani cha polisi
Soma Pia:
Niliendelea kupigwa kichapo kwa kutumia chepeo ambalo askari rastaman dreadlocks alinishambulia kisha akaja mwingine na ubao wakaendelea kunishambulia...
Nikanyimwa dhamana na nikatupwa selo ...
View: https://m.youtube.com/watch?v=4upFAaJHGvg
Niliona gari yenye vioo vyeusi aina ya Alphard ikinifuatilia ... Rajab Hassan almaarufu Marco Charlie nikiwa Tumbi Kibaha nikaona watu wanataka kuniteka .. nikatumia njia za medani kuwakwepa nikaenda chama cha mabodaboda ... sasa wakati nikiwa na viongozi wa bodaboda tukaiona gari katika shell kituo cha mafuta..
Wakaniuliza kwanini utatuletea nzi hapa shell ndipo mkaona katika video hao wasiojulikana tuliotaka kuwafahamu wakaanza kunishambulia na kunichukua kwa nguvu ndani ya gari hadi kituo cha Polisi, ...
Pale kituoni Polisi sikupelekwa counter kuandikshwa bali nilipitishwa uani na kuingizwa katika ofisi na kutupwa chini nyuma ya meza ili nisionekane wakati ndugu na marafiki waliopokuwa wanafutilia nipo kituo gani cha polisi
Soma Pia:
- Jeshi la polisi latolea ufafanuzi tukio la bodaboda kusemekana kutekwa, wasema ni mhalifu aliyekuwa anatafutwa muda mrefu na polisi
- Video: Mtanzania adaiwa kutekwa mchana kweupe huko Kibaha
Niliendelea kupigwa kichapo kwa kutumia chepeo ambalo askari rastaman dreadlocks alinishambulia kisha akaja mwingine na ubao wakaendelea kunishambulia...
Nikanyimwa dhamana na nikatupwa selo ...
