Bodaboda aliyedaiwa kutekwa -afunguka - "alitoa bunduki - hawafananii na polisi nikaogopa"

Bodaboda aliyedaiwa kutekwa -afunguka - "alitoa bunduki - hawafananii na polisi nikaogopa"

Kipi rahisi, wao kujitambulisha au raia kupiga simu?
Wakijitambulisha hao raia hao raia wanahakiki vipi kama wana vitambulisho feki au halali ? Na hiyo.operation wana hakiki vipi kama genuine au siyo? Wapige simu huko ndiko wanajua kila kitu kinaendelea eneo hilo

Raia hawezi hakiki kwa kuwauliza tu
 
Wakijitambulisha hao raia hao raia wanahakiki vipi kama wana vitambulisho feki au halali ? Na hiyo.operation wana hakiki vipi kama genuine au siyo? Wapige simu huko ndiko wanajua kila kitu kinaendelea eneo hilo

Raia hawezi hakiki kwa kuwauliza tu

Kwa Maelezo yako unayotoa humu mtandaoni inaonyesha dhahiri kabisa kwamba wewe ni miongoni mwa wale Watu ambao ni Mambumbumbu haswa kuhusiana na masuala haya unayoyatolea Maelezo potofu hapa. Completely a Fool!

Kabla ya kujiunga na timu za Ushabiki wa Siasa za kuisifu Ccm nawashauri mwende shule kwanza ili kunoa mbongo zenu.
 
Mambo kama haya yanatakiwa yakemewa kwa sauti kubwa, la sivyo tutakuwa wote ndani ya gereza kuu la wazi tukiwa mahabusu tunaotembea mitaani na vijijini, nje ya ngome za magereza rasmi.

View attachment 3245622
Lisu aache ujinga kulaumu jeshi la polisi kuwa wahalifu mahakama pekee ndiyo yenye uwezo wa kusema polisi wahallfu kukamata huyo bodaboda

Na yeye aache kutaja watu waliohusika kumtwanga marisasi asuburi mahakama itamke kuwa ndio wahusika naye azingatie utawala wa sheria sio kuropoka tu ooh fulani alihusika

Mtu kuwa mhalifu hadi mahakama iseme akiwemo yeye na huyo bodaboda

Lisu azingatie hilo hao waliomtwanga risasi wako innocent hafi mahakama i prove
 
Hawa bodaboda wakwapua vitu akina mama ndio wahanga wakubwa na pochi zao

husogeza pikipiki akiwa mwanamke amebeba pochi yake akiwa anatembea kwa miguu au akiongea na simun hunyakua kwa spidi ya mwewe na kukimbia na pikipiki

Wanawake wanawajua vizuri asante jeshi la polisi

Majambazi ya Chadema na watetezi wa hao Majambazi walioko Chadema hawajui hayo au hufanya kusudi sababu ni Majambazi wenzao waliojificha Chadema
Unaf*rwa.
 
Shida inakuja unatofautisha vipi polisi na wahalifu polisi hawana uniform, wana tatoo, kama anavyosema. Utajuaje kama ni askari?
Kwa Tanzania polisi ni vibaka, wauaji na waporaji zaidi ya wezi na majambazi. Kilichomuokoa huyo dogo ni video kusambaa mitandaoni otherwise wangemuua kwa lengo la kumuibia pikipiki.
Msemaji wa hao mambwiga mapolisi alidai huyo dogo ni jambazi sugu highly wanted, sasa wanakula matapishi yao wenyewe kwa kuzuga kumpeleka mahakamani kwa vikesi vya kike.
 
Mfano huyo angesema natekwa halafu wananchi hawamjui wakawashambulia na kuua hao polisi unajua nini kingewapata hao wananchi baadaye huyo mtu wakiambiwa alikuwa jambazi wakimkimbiza

Wao watahesabika sehemu ya huyo jambazi na kupewa kesi ya mauaji ya kuua polisi

Njia nzuri kwenye hilo ni kupiga simu polisi upesi au kuripoti kituo cha polisi cha karibu upesi au kwa mjumbe au kiongozi wa mtaa eneo hilo haraka haraka sana kwa simu au bodaboda anakimbia haraka kuripoti

Usichukue sheria mkononi hata apige kelele anatekwa

Kama huna uhakika hao wanabeba ni polisi au la na huna uhakika kama huyo mlia natekwa ni raia mwema au la tumia hizo nimekupa kama raia mwema unayeona tukio

Usitoe maamuzi haraka kuwa wake ni polisi au la na kuwa yule ni raia mwema au la

Ukachukua hatua kipofu pofu yaweza kukugharimu ikithibitika hatua uliyochukua sio kama ulivyochukua sababu ya mihemko ya kichadema maamuzi ukaozea jela au kunyongwa kwa kununua kesi isiyo yako na kuchukua hatua mbaya
Mawazo ya ki*enge sana hayo, mtu anatekwa raia wasimuokoe are you serious? Huwa kuna taratibu za ukamataji na kwenda kama majambazi siku watakapokutana na watu wanaojielewa watakula kichapo au hata kuuawa kabisa mpaka serikali itakuja na longolongo za ooh mara walikuwa TRA mara sijui watu gani kutafuta tu justification ya ubaradhuli wanaoufanya.
Police department imekuwa ni kitengo cha uhalifu through and through hata majority ya raia hawana imani nao, kutetea polisi labda uwe mwendawazimu au uwe ni mmoja wao hao polisi wahalifu.
 
.

View: https://m.youtube.com/watch?v=4upFAaJHGvg
Niliona gari yenye vioo vyeusi aina ya Alphard ikinifuatilia ... Rajab Hassan almaarufu Marco Charlie nikiwa Tumbi Kibaha nikaona watu wanataka kuniteka .. nikatumia njia za medani kuwakwepa nikaenda chama cha mabodaboda ... sasa wakati nikiwa na viongozi wa bodaboda tukaiona gari katika shell kituo cha mafuta..

Wakaniuliza kwanini utatuletea nzi hapa shell ndipo mkaona katika video hao wasiojulikana tuliotaka kuwafahamu wakaanza kunishambulia na kunichukua kwa nguvu ndani ya gari hadi kituo cha Polisi, ...

Pale kituoni Polisi sikupelekwa counter kuandikshwa bali nilipitishwa uani na kuingizwa katika ofisi na kutupwa chini nyuma ya meza ili nisionekane wakati ndugu na marafiki waliopokuwa wanafutilia nipo kituo gani cha polisi

Soma Pia:

Niliendelea kupigwa kichapo kwa kutumia chepeo ambalo askari rastaman dreadlocks alinishambulia kisha akaja mwingine na ubao wakaendelea kunishambulia...

Nikanyimwa dhamana na nikatupwa selo ...

😲😲😲
 
Wakaniuliza kwanini utatuletea nzi hapa shell ndipo mkaona katika video hao wasiojulikana tuliotaka kuwafahamu wakaanza kunishambulia na kunichukua kwa nguvu ndani ya gari hadi kituo cha Polisi, ...
Kwahiyo viongozi wa bodaboda walimsaidia nini maana kutakwa kuliendelea
 
Hawa bodaboda wakwapua vitu akina mama ndio wahanga wakubwa na pochi zao

husogeza pikipiki akiwa mwanamke amebeba pochi yake akiwa anatembea kwa miguu au akiongea na simun hunyakua kwa spidi ya mwewe na kukimbia na pikipiki

Wanawake wanawajua vizuri asante jeshi la polisi

Majambazi ya Chadema na watetezi wa hao Majambazi walioko Chadema hawajui hayo au hufanya kusudi sababu ni Majambazi wenzao waliojificha Chadema

Mkuu kwa hiyo hao vibaka huwaibia wa kina mama wa CCM tu hadi majambazi ya chadema kana ulivyowaita wawatetee??
 
Back
Top Bottom