Bodaboda aliyedaiwa kutekwa -afunguka - "alitoa bunduki - hawafananii na polisi nikaogopa"

Bodaboda aliyedaiwa kutekwa -afunguka - "alitoa bunduki - hawafananii na polisi nikaogopa"

Hawa bodaboda wakwapua vitu akina mama ndio wahanga wakubwa na pochi zao

husogeza pikipiki akiwa mwanamke amebeba pochi yake akiwa anatembea kwa miguu au akiongea na simun hunyakua kwa spidi ya mwewe na kukimbia na pikipiki

Wanawake wanawajua vizuri asante jeshi la polisi

Majambazi ya Chadema na watetezi wa hao Majambazi walioko Chadema hawajui hayo au hufanya kusudi sababu ni Majambazi wenzao waliojificha Chadema
Mimi niliporwa simu morogoro tarehe 29-12-2021 maeneo ya magereza nikiwa kwenye bajaji nilikaa nyuma upande wa kushoto hadi leo simu haijapatikana,

Waporaji waliendelea kuwapora wengine tena nikiwashuhudia kwa macho yangu nasubiri nikiwa na pesa niwashugulikie nitatoa taarifa polisi kwamba leo Niko doria maeneo ya magereza nitarekodi matukio na drone kwaajili ya ushahidi
 
.

View: https://m.youtube.com/watch?v=4upFAaJHGvg
Niliona gari yenye vioo vyeusi aina ya Alphard ikinifuatilia ... Rajab Hassan almaarufu Marco Charlie nikiwa Tumbi Kibaha nikaona watu wanataka kuniteka .. nikatumia njia za medani kuwakwepa nikaenda chama cha mabodaboda ... sasa wakati nikiwa na viongozi wa bodaboda tukaiona gari katika shell kituo cha mafuta..

Wakaniuliza kwanini utatuletea nzi hapa shell ndipo mkaona katika video hao wasiojulikana tuliotaka kuwafahamu wakaanza kunishambulia na kunichukua kwa nguvu ndani ya gari hadi kituo cha Polisi, ...

Pale kituoni Polisi sikupelekwa counter kuandikshwa bali nilipitishwa uani na kuingizwa katika ofisi na kutupwa chini nyuma ya meza ili nisionekane wakati ndugu na marafiki waliopokuwa wanafutilia nipo kituo gani cha polisi

Soma Pia:

Niliendelea kupigwa kichapo kwa kutumia chepeo ambalo askari rastaman dreadlocks alinishambulia kisha akaja mwingine na ubao wakaendelea kunishambulia...

Nikanyimwa dhamana na nikatupwa selo ...

Je boda boda anamiliki bunduki ama mimi uwezo wangu wa kutafsiri maneno, (maelezo ya mwandishi) ni mdogo
 
Hawa bodaboda wakwapua vitu akina mama ndio wahanga wakubwa na pochi zao

husogeza pikipiki akiwa mwanamke amebeba pochi yake akiwa anatembea kwa miguu au akiongea na simun hunyakua kwa spidi ya mwewe na kukimbia na pikipiki

Wanawake wanawajua vizuri asante jeshi la polisi

Majambazi ya Chadema na watetezi wa hao Majambazi walioko Chadema hawajui hayo au hufanya kusudi sababu ni Majambazi wenzao waliojificha Chadema
Wewe kama siyo kibaka mmojawapo anayefanya Uhuni huo basi utakuwa ni mama mmojawapo aliyetendewa Uhuni huo,pole sana
 
Hawa bodaboda wakwapua vitu akina mama ndio wahanga wakubwa na pochi zao

husogeza pikipiki akiwa mwanamke amebeba pochi yake akiwa anatembea kwa miguu au akiongea na simun hunyakua kwa spidi ya mwewe na kukimbia na pikipiki

Wanawake wanawajua vizuri asante jeshi la polisi

Majambazi ya Chadema na watetezi wa hao Majambazi walioko Chadema hawajui hayo au hufanya kusudi sababu ni Majambazi wenzao waliojificha Chadema
Bila shaka wewe utakuwa ndio yule rasta
 
.

View: https://m.youtube.com/watch?v=4upFAaJHGvg
Niliona gari yenye vioo vyeusi aina ya Alphard ikinifuatilia ... Rajab Hassan almaarufu Marco Charlie nikiwa Tumbi Kibaha nikaona watu wanataka kuniteka .. nikatumia njia za medani kuwakwepa nikaenda chama cha mabodaboda ... sasa wakati nikiwa na viongozi wa bodaboda tukaiona gari katika shell kituo cha mafuta..

Wakaniuliza kwanini utatuletea nzi hapa shell ndipo mkaona katika video hao wasiojulikana tuliotaka kuwafahamu wakaanza kunishambulia na kunichukua kwa nguvu ndani ya gari hadi kituo cha Polisi, ...

Pale kituoni Polisi sikupelekwa counter kuandikshwa bali nilipitishwa uani na kuingizwa katika ofisi na kutupwa chini nyuma ya meza ili nisionekane wakati ndugu na marafiki waliopokuwa wanafutilia nipo kituo gani cha polisi

Soma Pia:

Niliendelea kupigwa kichapo kwa kutumia chepeo ambalo askari rastaman dreadlocks alinishambulia kisha akaja mwingine na ubao wakaendelea kunishambulia...

Nikanyimwa dhamana na nikatupwa selo ...

1. Msemaji wa jeshi alipewa taarifa za uongo!!!!
2. Mtuhumiwa aliyedaiwa kutekwa na polisi wamemtaja kama 'Rajab Hassan' kwamba ni mwizi mzoefu kwa kutumia pikipiki!!!
3. Mtuhumiwa baada ya kuachiliwa akihojiwa na vyombo vya habari mtandao amejitambulisha kwamba yeye anaitwa 'Marco Charlie' kwamba pikipiki aliyokuwa anaendesha ilikuwa haina namba za usajili kwa sababu ndio alikuwa ameinunua na ilikuwa haina usajili. Taratibu za usajili alikuwa amefanya akisubiria majibu ili mchakato wa kupewa namba ufanyike
4. Mtuhumiwa alidai yeye sio mwizi na hajawahi kuiba kwa yeyote
5. Wakati alipokuwa kwenye shughuli zake aliona gari kwa nyuma ikimfuatilia, kila akiongeza spidi na lenyewe linaongeza spidi, akipunguza spidi ili lipite na lenyewe linapunguza spidi pia likiwa nyuma yake. Akahisi wale hawakuwa watu wema ndipo alipochepuka njia isiyotumika na gari akaenda kwenye kituo cha waendesha bodaboda akaelezea mashaka yake. Walipoanza kufuatilia kujua hilo gari ni la nani na kwanini waliokuwemo walikuwa wanamfuatilia, ndipo wakaliona linaingia kituo cha mafuta likasimama. Waliambatana kuelekea hapo kwenda kuwauliza kwanini walikuwa wanamfuatilia na yeye akiwahoji mbona walikuwa wanaleta nzi kwa raia?
6. Kauli hiyo bila shaka iliwaghafilisha ndipo wakamkabili kumkamata kwa nguvu

Tanbihi: Ukamataji usio na staha na weledi bila kujali walikuwa wanavunja haki za binadamu, PGO na sheria za nchi.

This kind of animosity arrest should come to an end
 
Back
Top Bottom