Bodaboda aliyedaiwa kutekwa -afunguka - "alitoa bunduki - hawafananii na polisi nikaogopa"

Bodaboda aliyedaiwa kutekwa -afunguka - "alitoa bunduki - hawafananii na polisi nikaogopa"

Kapelekwa polisi sasa kelele za nini ?!!

Sisi wananchi hatuna haki ya kutii kukamatwa na polisi wetu?!!
 
Kapelekwa polisi sasa kelele za nini ?!!

Sisi wananchi hatuna haki ya kutii kukamatwa na polisi wetu?!!
Chadema wana changamoto kwenye vichwa vyao

Nashauri hospitali ya vichaa mirembe ifungue matawi kila lilipo tawi na la Chadema kusogeza huduma karibu na wateja wao
 
Pale kituoni Polisi sikupelekwa counter kuandikshwa bali nilipitishwa uani na kuingizwa katika ofisi na kutupwa chini nyuma ya meza ili nisionekane wakati ndugu na marafiki waliopokuwa wanafutilia nipo kituo gani cha polisi
Detention Register dogo walimrukisha. Yaani .

Waliokinyume na Haki Makazi yao Jehanamu.

Asalam aleykum
 
Hii tabia ya WAHALIFU kukaidi kukamatwa kisheria na polisi wetu na kuwasingizia kuwa "hawajulikani" inaendelea kuota MIZIZI........

Tuikemee kwa nguvu zote kwani itakwenda kuhatarisha usalama wa polisi wetu wanaofanya kazi ngumu......

#Kemea Wahalifu Kutotaka kukamatwa !!
#Kemea kuwaita polisi wetu kuwa hawajulikani !
 
Mfano huyo angesema natekwa halafu wananchi hawamjui wakawashambulia na kuua hao polisi unajua nini kingewapata hao wananchi baadaye huyo mtu wakiambiwa alikuwa jambazi wakimkimbiza

Wao watahesabika sehemu ya huyo jambazi na kupewa kesi ya mauaji ya kuua polisi

Njia nzuri kwenye hilo ni kupiga simu polisi upesi au kuripoti kituo cha polisi cha karibu upesi au kwa mjumbe au kiongozi wa mtaa eneo hilo haraka haraka sana kwa simu au bodaboda anakimbia haraka kuripoti

Usichukue sheria mkononi hata apige kelele anatekwa

Kama huna uhakika hao wanabeba ni polisi au la na huna uhakika kama huyo mlia natekwa ni raia mwema au la tumia hizo nimekupa kama raia mwema unayeona tukio

Usitoe maamuzi haraka kuwa wake ni polisi au la na kuwa yule ni raia mwema au la

Ukachukua hatua kipofu pofu yaweza kukugharimu ikithibitika hatua uliyochukua sio kama ulivyochukua sababu ya mihemko ya kichadema maamuzi ukaozea jela au kunyongwa kwa kununua kesi isiyo yako na kuchukua hatua mbaya
Sheria inasema polisi wajitambulishe ikiwezekana watoe hata vitambulisho wakija kukukamata. Wao wanavunja sheria wanazotakiwa kuzilinda.
Ipo siki watakungutwa zaidi.
 
Wanaoiba mabilioni wanalindwa, haya lile li luka lishamba lilivyoshadadia hovyo kabisa.
Huyo kijana ni mhalifu anatuhumiwa kupora na kutumia pikipiki kukimbia....pikipiki yake anaikunja "plate number"....
 
Hii tabia ya WAHALIFU kukaidi kukamatwa kisheria na polisi wetu na kuwasingizia kuwa "hawajulikani" inaendelea kuota MIZIZI........

Tuikemee kwa nguvu zote kwani itakwenda kuhatarisha usalama wa polisi wetu wanaofanya kazi ngumu......

#Kemea Wahalifu Kutotaka kukamatwa !!
#Kemea kuwaita polisi wetu kuwa hawajulikani !
Kitu gani kinakufanya ujue kuwa hao ni polisi. Hawajitambulishi, hawana gari lenye plate number za polisi, hawana uniform, wana rasta sasa wewe unajuaje kuwa ni polisi. Na ni jambo gani liliwashinda kuwambia wananchi waliouliza wao ni akina nani kuwa wao ni polisi na hata wakaonyesha vitambulisho?
 
Chadema wana changamoto kwenye vichwa vyao

Nashauri hospitali ya vichaa mirembe ifungue matawi kila lilipo tawi na la Chadema kusogeza huduma karibu na wateja wao
Ha ha ha hakika jamaa hawa wanastahili kutibiwa katika hizo hospitali......
 
Kitu gani kinakufanya ujue kuwa hao ni polisi. Hawajitambulishi, hawana gari lenye plate number za polisi, hawana uniform, wana rasta sasa wewe unajuaje kuwa ni polisi. Na ni jambo gani liliwashinda kuwambia wananchi waliouliza wao ni akina nani kuwa wao ni polisi na hata wakaonyesha vitambulisho?
Wale polisi "anti-robbery" wanakuwa na uniform na utambulisho usemao ?!!

Mkuu mbona siasa hata kwenye masuala nyeti ya polisi wetu ?!!

Kama polisi ina watu wa vitengo vyote....manesi na madokta watakosa kuwa na wenye RASTA ?!! Khaaa kuwa serious mkuu....
 
Sheria inasema polisi wajitambulishe ikiwezekana watoe hata vitambulisho wakija kukukamata. Wao wanavunja sheria wanazotakiwa kuzilinda.
Ipo siki watakungutwa zaidi.
Porojo za somo la kisheria za mwaka wa kwanza degree ya sheria hizo inategemea mazingira sio yote yako hivyo na vi notes vyako ulivyokariri mwaka wa kwanza degree ya sheria ufaulu kimtihani cha semester ya kwanza
 
Wale polisi "anti-robbery" wanakuwa na uniform na utambulisho usemao ?!!

Mkuu mbona siasa hata kwenye masuala nyeti ya polisi wetu ?!!
Sasa hapo wanakamata mtu asiye na silaha hadharani, watu wanauliza kuna shida gani kuwambia kuwa wao ni polisi na wakaonyesha vitambulisho?
Sisemi wasikamate wahalifu ila sasa raia wanatofautishaje kati ya watekaji na wahalifu kama polisi wenyewe hawana cha kuwatambulisha kuwa ni polisi?
 
Huyo kijana ni mhalifu anatuhumiwa kupora na kutumia pikipiki kukimbia....pikipiki yake anaikunja "plate number"....

Kwani upi hasa ni utaratibu wa Kisheria wa ukamataji wa wahalifu?

FYI: Pikipiki nyingi sana zenye number plate ambazo zimekunjwa au kuharibiwa makusudi ili kuficha Utambulisho wake mara nyingi sana huwa zinatumika na Mawakala wa Siri wa kutekeleza uhalifu kutoka Jeshi la Polisi na/au Tiss. Hata magari yao ya Operesheni za uhalifu wanayotumia huwa yanakuwa na number plate za kupachikwa, na huwa wanakuwa nazo nyingi ndani ya magari hayo. Pale wanapokuwa wamefanya 'matukio yao kama hili la huko Kibaha' basi wanabadilisha number plate na kisha wanapachika Namba nyingine.

Hii ni kutokana na Uchunguzi wa kina kabisa uliofanywa kuhusiana na masuala haya.
 
Porojo za somo la kisheria za mwaka wa kwanza degree ya sheria hizo inategemea mazingira sio yote yako hivyo na vi notes vyako ulivyokariri mwaka wa kwanza degree ya sheria ufaulu kimtihani cha semester ya kwanza
Mimi sijasoma sheria. Ila kuna shida gani wakijitambulisha kwa waliokuwa wanawauliza? Hawakuwa wakirushiana risasi na majambazi, mtuhumiwa alikuwa ashadhibitiwa. Narudia tena kwa jinsia walivyokuwa unawatifautishaje na watekaji?
 
Back
Top Bottom