Tatizo utawatofautishaje polisi na watekaji. Kujihami ni swala la lazima. Ukishindwa kutoa msaada rekodi hata video urushe.Tukio la Kibaha mkoa wa Pwani Tanzania limesababisha maoni mgongano katika mitandao ya kijamii
View attachment 3245572
Polisi wafuate Sheria .lkn tumewajuwa WAUWAJI WA TANZANIAHuyo kijana ni mhalifu anatuhumiwa kupora na kutumia pikipiki kukimbia....pikipiki yake anaikunja "plate number"....
Wakijitambulisha hao raia hao raia wanahakiki vipi kama wana vitambulisho feki au halali ? Na hiyo.operation wana hakiki vipi kama genuine au siyo? Wapige simu huko ndiko wanajua kila kitu kinaendelea eneo hiloKipi rahisi, wao kujitambulisha au raia kupiga simu?
Pumbavu wewe!Chadema wana changamoto kwenye vichwa vyao
Nashauri hospitali ya vichaa mirembe ifungue matawi kila lilipo tawi na la Chadema kusogeza huduma karibu na wateja wao
Wakijitambulisha hao raia hao raia wanahakiki vipi kama wana vitambulisho feki au halali ? Na hiyo.operation wana hakiki vipi kama genuine au siyo? Wapige simu huko ndiko wanajua kila kitu kinaendelea eneo hilo
Raia hawezi hakiki kwa kuwauliza tu
Lisu aache ujinga kulaumu jeshi la polisi kuwa wahalifu mahakama pekee ndiyo yenye uwezo wa kusema polisi wahallfu kukamata huyo bodabodaMambo kama haya yanatakiwa yakemewa kwa sauti kubwa, la sivyo tutakuwa wote ndani ya gereza kuu la wazi tukiwa mahabusu tunaotembea mitaani na vijijini, nje ya ngome za magereza rasmi.
View attachment 3245622
Unaf*rwa.Hawa bodaboda wakwapua vitu akina mama ndio wahanga wakubwa na pochi zao
husogeza pikipiki akiwa mwanamke amebeba pochi yake akiwa anatembea kwa miguu au akiongea na simun hunyakua kwa spidi ya mwewe na kukimbia na pikipiki
Wanawake wanawajua vizuri asante jeshi la polisi
Majambazi ya Chadema na watetezi wa hao Majambazi walioko Chadema hawajui hayo au hufanya kusudi sababu ni Majambazi wenzao waliojificha Chadema
Kwa Tanzania polisi ni vibaka, wauaji na waporaji zaidi ya wezi na majambazi. Kilichomuokoa huyo dogo ni video kusambaa mitandaoni otherwise wangemuua kwa lengo la kumuibia pikipiki.Shida inakuja unatofautisha vipi polisi na wahalifu polisi hawana uniform, wana tatoo, kama anavyosema. Utajuaje kama ni askari?
Mawazo ya ki*enge sana hayo, mtu anatekwa raia wasimuokoe are you serious? Huwa kuna taratibu za ukamataji na kwenda kama majambazi siku watakapokutana na watu wanaojielewa watakula kichapo au hata kuuawa kabisa mpaka serikali itakuja na longolongo za ooh mara walikuwa TRA mara sijui watu gani kutafuta tu justification ya ubaradhuli wanaoufanya.Mfano huyo angesema natekwa halafu wananchi hawamjui wakawashambulia na kuua hao polisi unajua nini kingewapata hao wananchi baadaye huyo mtu wakiambiwa alikuwa jambazi wakimkimbiza
Wao watahesabika sehemu ya huyo jambazi na kupewa kesi ya mauaji ya kuua polisi
Njia nzuri kwenye hilo ni kupiga simu polisi upesi au kuripoti kituo cha polisi cha karibu upesi au kwa mjumbe au kiongozi wa mtaa eneo hilo haraka haraka sana kwa simu au bodaboda anakimbia haraka kuripoti
Usichukue sheria mkononi hata apige kelele anatekwa
Kama huna uhakika hao wanabeba ni polisi au la na huna uhakika kama huyo mlia natekwa ni raia mwema au la tumia hizo nimekupa kama raia mwema unayeona tukio
Usitoe maamuzi haraka kuwa wake ni polisi au la na kuwa yule ni raia mwema au la
Ukachukua hatua kipofu pofu yaweza kukugharimu ikithibitika hatua uliyochukua sio kama ulivyochukua sababu ya mihemko ya kichadema maamuzi ukaozea jela au kunyongwa kwa kununua kesi isiyo yako na kuchukua hatua mbaya
Very stupid police force, kusambaa kwa video clip ndiyo kumewaumbua. Angekuwa jambazi kweli asingepewa hata dhamana.Walisema katafutwa muda mrefu sasa naona wamemwachia🤣🤣🤣
THey are not stupif, they know what they are doingVery stupid police force, kusambaa kwa video clip ndiyo kumewaumbua. Angekuwa jambazi kweli asingepewa hata dhamana.
😲😲😲.
View: https://m.youtube.com/watch?v=4upFAaJHGvgNiliona gari yenye vioo vyeusi aina ya Alphard ikinifuatilia ... Rajab Hassan almaarufu Marco Charlie nikiwa Tumbi Kibaha nikaona watu wanataka kuniteka .. nikatumia njia za medani kuwakwepa nikaenda chama cha mabodaboda ... sasa wakati nikiwa na viongozi wa bodaboda tukaiona gari katika shell kituo cha mafuta..
Wakaniuliza kwanini utatuletea nzi hapa shell ndipo mkaona katika video hao wasiojulikana tuliotaka kuwafahamu wakaanza kunishambulia na kunichukua kwa nguvu ndani ya gari hadi kituo cha Polisi, ...
Pale kituoni Polisi sikupelekwa counter kuandikshwa bali nilipitishwa uani na kuingizwa katika ofisi na kutupwa chini nyuma ya meza ili nisionekane wakati ndugu na marafiki waliopokuwa wanafutilia nipo kituo gani cha polisi
Soma Pia:
- Jeshi la polisi latolea ufafanuzi tukio la bodaboda kusemekana kutekwa, wasema ni mhalifu aliyekuwa anatafutwa muda mrefu na polisi
- Video: Mtanzania adaiwa kutekwa mchana kweupe huko Kibaha
Niliendelea kupigwa kichapo kwa kutumia chepeo ambalo askari rastaman dreadlocks alinishambulia kisha akaja mwingine na ubao wakaendelea kunishambulia...
Nikanyimwa dhamana na nikatupwa selo ...
Kwahiyo viongozi wa bodaboda walimsaidia nini maana kutakwa kuliendeleaWakaniuliza kwanini utatuletea nzi hapa shell ndipo mkaona katika video hao wasiojulikana tuliotaka kuwafahamu wakaanza kunishambulia na kunichukua kwa nguvu ndani ya gari hadi kituo cha Polisi, ...
Hawa bodaboda wakwapua vitu akina mama ndio wahanga wakubwa na pochi zao
husogeza pikipiki akiwa mwanamke amebeba pochi yake akiwa anatembea kwa miguu au akiongea na simun hunyakua kwa spidi ya mwewe na kukimbia na pikipiki
Wanawake wanawajua vizuri asante jeshi la polisi
Majambazi ya Chadema na watetezi wa hao Majambazi walioko Chadema hawajui hayo au hufanya kusudi sababu ni Majambazi wenzao waliojificha Chadema
😲😲😲Yupo kwenye Wheelchair?
Hii ni Habari njema sana hii.